Paul Kagame: Dikteta katili anayefugwa na Wamarekani

Safi Sana mkuu,na hyo ya USA kuwa nyuma yake kagame sio bahati mbaya Mana walimuandaa wao kwa malengo yao. Naomba mkasome kitabu Cha bwana Howard French titled a continent for taking kuna mengi kuwahusu hawa madhalimu was Kiafrika wanavoandaliwa na mabeberu wenyewe akiwamo kagame specifically kuandaliwa na USA na hats mafunzo ya kijeshi kayapata huko.
 
Kagame anapata sifa nyingi sana hasa kwenye vyombo vya habari vya magharibi lakini ukweli ni kwamba sababu kubwa ya kupendwa ni kwamba yeye pamoja na Museveni ndio walinzi wakuu wa western interests katika great lakes region ( hasa Marekani).

Katika historia ya Afrika mashariki na kati hakuna mtu aliyehusika kuua watu wengi zaidi either directly au indirectly kama Paul Kagame.

Report ya ICTR ( International criminal tribunal for Rwanda) ilipata Ushahidi wa kutosha kumshitaki Kagame kwa Genocide kwamba yeye na majeshi yake ndio chanzo kikuu kilichosababisha mauaji ya Kimbari ya mwaka 1994 .

Wamarekani walikataa kufuatilia matokeo ya uchunguzi wa ICTR kwa sababu zao wenyewe. ICTR ilitoa maujumisho yafuatayo kuhusu ni nani aliyetungua ndege iliyomuua Habyarimana.

1) Frank Nziza wa RPA( RPF sasa) ndiye aliyekuwa mkuu wa timu ya RPF iliyotungua ndege. Huyu alikiri kuwa ndiye aliyefyatua mizinga iliyotungua ndege
2) Matayenga Nyakarundi (wa RPF) ndiye aliyempa Frank hayo makombora mawili yaliyosafirishwa kwenda Masaka ( Rwanda, karibu na airport) ambapo yalitumika kutungua ndege.Makombora yalifichwa kwenye shamba la Didier Mazimpaka, karibu na uwanja wa ndege.
3) Kayumba Nyamaswa( sasa yuko South Afrika) alihudhuria mikutano mitatu ndani ya RPF iliyopanga kutungua ndege. Mikutano hiyo ilikuwa ‘chaired’ na Paul Kagame.Kayumba alisha kiri kuwa RPF ilitungua hiyo ndege.

4) Serial numbers za Kombora lililotumika kutungua ndege zilikuwa traced mpaka kwenye maghala ya silaha ya jeshi la Uganda. Makombora ya namna hiyo hayajawahi kutumika katika jeshi la Burundi. Kumbuka RPF ilikuwa sehemu ya jeshi la Uganda( waasi) na walitumia silaha zilizotoka Uganda.

Kuna report ya wafaransa pamoja na nyingine ya serikari ya Spain ambazo zilitoa majumuisho hayohayo kwamba RPF ndio waliotungua ndege ya Habyarimana. Kagame aliua watu wengi sana Rwanda (maelfu kwa maelfy ya wahutu) pamoja na wacongo( kutoka ripoti za mashirika ya haki za kibinadamu) lakini kwa sababu ni mtoto mteule haguswi na mtu yoyote.

Kagame hakupenda mapatano yaliyokuwa yanazumgumzwa Arusha, ambapo walikubaliana kugawana madaraka na Habyarimana .Wakaamua kutungua ndege ili wachukue madaraka peke yao kwa kuwa jeshi lao kwa wakati huo lilikuwa na nguvu kuliko la Burundi.

Ila mwishoni, kama ilivyotokea kwa Mobutu, wamarekani watamchoka na siku hiyo ikija, hatakuwa na pa kukimbilia, na madhambi aliyoyafanya yatalipizwa kisasi na wanyarwanda na waathirika wengine wengi wa RPF maziwa makuu.






Sent from my SM-A505FN using JamiiForums mobile app
Mwanangu hapa una pwenti ila chunga sana wasikumalize maana wapo kila mahali wakifukia uchafu wao. Ukweli ni kwamba iko siku ukweli utakuja julikana na utaiweka dunia huru.
 
Ni kamungu mtu hàko, huko kwao wanakaogopa hatari.
Siku si nyingi hata huku kwetu tutaanza "kukaogopa" hako 'kamungu'.

Si unaona wanavyojigamba huko Msumbiji? Kule Afrika ya Kati nako 'kamungu' kanajitanua huko.

Nani ajuaye yanayokuja hapa kwetu katika hali hii tuliyomo sasa hivi. 'Kamungu' hako ndio katakuwa kanaamrisha, sisi tunafuata!

Watu husema "Mdharau mwiba mguu hufanyaje...?" Guu letu hili linatupeleka pabaya, na watu kama 'kamungu' hako kanaona fursa inayojitokeza mlangoni pake!

Hako 'kamungu', kanaigiza kuwa "Israel" ya eneo hili, na uigizaji wake hadi sasa unakwenda vizuri.
 
Kama ni vyombo vya habari binafsi vinampa sifa hiyo siyo Marekani rasmi. Hivyo vyombo vya habari binafsi vina ajenda zao ambazo zinaweza kuwa tofauti na sera za Marekani
Inaonekana huijui Marekani mkuu, kama hujui kwamba vyombo hivyo vya habari binafsi na serikali yao ni kitu kimoja.
 
Kagame anapata sifa nyingi sana hasa kwenye vyombo vya habari vya magharibi lakini ukweli ni kwamba sababu kubwa ya kupendwa ni kwamba yeye pamoja na Museveni ndio walinzi wakuu wa western interests katika great lakes region ( hasa Marekani).

Katika historia ya Afrika mashariki na kati hakuna mtu aliyehusika kuua watu wengi zaidi either directly au indirectly kama Paul Kagame.

Report ya ICTR ( International criminal tribunal for Rwanda) ilipata Ushahidi wa kutosha kumshitaki Kagame kwa Genocide kwamba yeye na majeshi yake ndio chanzo kikuu kilichosababisha mauaji ya Kimbari ya mwaka 1994 .

Wamarekani walikataa kufuatilia matokeo ya uchunguzi wa ICTR kwa sababu zao wenyewe. ICTR ilitoa maujumisho yafuatayo kuhusu ni nani aliyetungua ndege iliyomuua Habyarimana.

1) Frank Nziza wa RPA( RPF sasa) ndiye aliyekuwa mkuu wa timu ya RPF iliyotungua ndege. Huyu alikiri kuwa ndiye aliyefyatua mizinga iliyotungua ndege
2) Matayenga Nyakarundi (wa RPF) ndiye aliyempa Frank hayo makombora mawili yaliyosafirishwa kwenda Masaka ( Rwanda, karibu na airport) ambapo yalitumika kutungua ndege.Makombora yalifichwa kwenye shamba la Didier Mazimpaka, karibu na uwanja wa ndege.
3) Kayumba Nyamaswa( sasa yuko South Afrika) alihudhuria mikutano mitatu ndani ya RPF iliyopanga kutungua ndege. Mikutano hiyo ilikuwa ‘chaired’ na Paul Kagame.Kayumba alisha kiri kuwa RPF ilitungua hiyo ndege.

4) Serial numbers za Kombora lililotumika kutungua ndege zilikuwa traced mpaka kwenye maghala ya silaha ya jeshi la Uganda. Makombora ya namna hiyo hayajawahi kutumika katika jeshi la Burundi. Kumbuka RPF ilikuwa sehemu ya jeshi la Uganda( waasi) na walitumia silaha zilizotoka Uganda.

Kuna report ya wafaransa pamoja na nyingine ya serikari ya Spain ambazo zilitoa majumuisho hayohayo kwamba RPF ndio waliotungua ndege ya Habyarimana. Kagame aliua watu wengi sana Rwanda (maelfu kwa maelfy ya wahutu) pamoja na wacongo( kutoka ripoti za mashirika ya haki za kibinadamu) lakini kwa sababu ni mtoto mteule haguswi na mtu yoyote.

Kagame hakupenda mapatano yaliyokuwa yanazumgumzwa Arusha, ambapo walikubaliana kugawana madaraka na Habyarimana .Wakaamua kutungua ndege ili wachukue madaraka peke yao kwa kuwa jeshi lao kwa wakati huo lilikuwa na nguvu kuliko la Burundi.

Ila mwishoni, kama ilivyotokea kwa Mobutu, wamarekani watamchoka na siku hiyo ikija, hatakuwa na pa kukimbilia, na madhambi aliyoyafanya yatalipizwa kisasi na wanyarwanda na waathirika wengine wengi wa RPF maziwa makuu.






Sent from my SM-A505FN using JamiiForums mobile app
Uzi mzuri..
Asante Mkuu.
 
Siku si nyingi hata huku kwetu tutaanza "kukaogopa" hako 'kamungu'.

Si unaona wanavyojigamba huko Msumbiji? Kule Afrika ya Kati nako 'kamungu' kanajitanua huko.

Nani ajuaye yanayokuja hapa kwetu katika hali hii tuliyomo sasa hivi. 'Kamungu' hako ndio katakuwa kanaamrisha, sisi tunafuata!

Watu husema "Mdharau mwiba mguu hufanyaje...?" Guu letu hili linatupeleka pabaya, na watu kama 'kamungu' hako kanaona fursa inayojitokeza mlangoni pake!

Hako 'kamungu', kanaigiza kuwa "Israel" ya eneo hili, na uigizaji wake hadi sasa unakwenda vizuri.

ni kamungu furani ivi si ka kudharau hata kidogo
 
Vipimo vya rais kupendwa na Marekani ni vipi? Kama ni sifa tuu kwenye vyombo vya habari labda ufafanue ni vyombo vipi maana vingi ni vya binafsi siyo vya serikali. Kama ni vyombo vya habari binafsi vinampa sifa hiyo siyo Marekani rasmi. Hivyo vyombo vya habari binafsi vina ajenda zao ambazo zinaweza kuwa tofauti na sera za Marekani. Kama vipimo ni ushirikiano baina ya nchi, hata sisi tunao ushirikiano mzuri tuu na Marekani. Haina maana Marekani inailinda serikali ya CCM kwa sababu Tanzania na Marekani wana ushirikiano.
Wanampenda kwa sababu anawasaidia kuiba madini Congo!
 
Kigali ni safest place ya kutoreshea madini ya congo na tanzania kwenda yuropu
 
Back
Top Bottom