Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,193
Ni Kamanda la vita mda wote ambaye kwa jina ni James Kabarebe.
Kwa msiofahamu, bwana James ndiye Kamanda aliyepata kuhudumu akiwa CDF wa Nchi mbili tofauti ambazo ni Congo na Rwanda.
Kabarebe, ni mtu anayeaminiwa mno na Rais wa Rwanda na anatajwa ndiye mrithi wa baadae wa Paul Kagame bila kujali umri wake.
Yamhusuyo huyo Jemedari ni mengi. Nakualika peruzi kwenye mitandao ya Kijamii ili ujifunze mengi yamhusuyo.
Pia soma,
1. James Kabarebe na Jack Nzinza waonesha nia ya kugombea urais 2024
2. James Kabarebe: Rwanda haipatani na nchi majirani zote, Raia wake watakua hawana pa kwenda
Kwa msiofahamu, bwana James ndiye Kamanda aliyepata kuhudumu akiwa CDF wa Nchi mbili tofauti ambazo ni Congo na Rwanda.
Kabarebe, ni mtu anayeaminiwa mno na Rais wa Rwanda na anatajwa ndiye mrithi wa baadae wa Paul Kagame bila kujali umri wake.
Yamhusuyo huyo Jemedari ni mengi. Nakualika peruzi kwenye mitandao ya Kijamii ili ujifunze mengi yamhusuyo.
Pia soma,
1. James Kabarebe na Jack Nzinza waonesha nia ya kugombea urais 2024
2. James Kabarebe: Rwanda haipatani na nchi majirani zote, Raia wake watakua hawana pa kwenda