MAGARI7
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 2,401
- 1,298
Kuokoka ni Neema Kubwa sana ...Shetani anatesa sana watu. Kuna raha gani kutumikishwa kiasi hiki?
Kuokoka ni Neema Kubwa sana ...Shetani anatesa sana watu. Kuna raha gani kutumikishwa kiasi hiki?
Duh, kumbe wewe wa zamani ...Huyu jamaa nilianza kusoma habari zake kwenye OK na HELLO magazine mwaka 95, wakati huo alikuwa Golden boy wao, wanawake pia wanachangia, alimoa mdada alieitwa Shirley wakati huo harusi ilikua kwenye HELLO pamoja na OK, Jamaa pia alikua wife bitter lakini mwanamama aliminya mpaka wino ulivyodondoka kwenye cheti cha ndoa ndio akasema anapigwa, divorce ilibidi wagawane na mwanamke alipata zaidi kwakua alikua na mtoto nae mmoja wa kiume. Toka pale jamaa akaanza kwenda down south emotionally.
Ni ngumu kueleweka, ila huo ndio ukweli.Wanapandishwa na kushushwa..
Kwani Hello na OK ni adult magazine kuwa ilibidi niwe 18+ ndiyo niyasome?Duh, kumbe wewe wa zamani ...
Huyu mtu alikuwa anaujua mpira na vituko vingi kuna siku timu ya taifa wanafanya mazoezi sasa kulikuwa na kijiukuta kapanda Paul Ince(kaka mkuu)gazza alikuwa nyuma yake akamvua bukta Ince alikuwa mbabe kweli basi kwa ghadhabu akageuka ili ashambulie tahamaki anamkuta gazza ikabidi achake.
Kituko kingine refa alidondonda kadi ya njano basi gazza akaiokota na kunyoosha juu kuwa kampa kadi refa kwa uzembe wa kuidondosha.Atabaki kuwa ni mtu mwenye kipaji kati ya waingereza.
hahaha aisee
Sasa hivi hakuna anaemsaidia, jamaa akivuta utaona social media, magazeti, tv ect he was the best, we are sorry, he was uniques...... Lakini Chris Evans alijitahidi sana kumpa support ila nadhani ameshindwa.
...labda,inawezekana!.lakini si kwa kesi moja..kunahitajika 'ushahidi' zaidi wa kisayansi!Hapa ndipo inabidi mtu akubali kuwa Alcohol addiction inaweza kuwa sawa au kuizidi drug addiction.....
....charity begins at home bhana!..hebu anza na Ray C!Wamlete Bagamoyo
Ni nani huyuKuna huyu mjinga nayeye mtamsikia tu muda si mrefu.
Duh wanawake viumbe hatari kwa hela kwa mujibu wa maelezo yako.Huyu jamaa nilianza kusoma habari zake kwenye OK na HELLO magazine mwaka 95, wakati huo alikuwa Golden boy wao, wanawake pia wanachangia, alimoa mdada alieitwa Shirley wakati huo harusi ilikua kwenye HELLO pamoja na OK, Jamaa pia alikua wife bitter lakini mwanamama aliminya mpaka wino ulivyodondoka kwenye cheti cha ndoa ndio akasema anapigwa, divorce ilibidi wagawane na mwanamke alipata zaidi kwakua alikua na mtoto nae mmoja wa kiume. Toka pale jamaa akaanza kwenda down south emotionally.
Rest in Peace in advance THE LEGEND....