Ya Frank Bruno yule aliyekuwa mwana masubwi inasikitisha zaidi, pesa yake nyingi ya kupigana alinunua mansion huko country side, baada ya divorce mke amepewa nyumba na watoto, kwa huruma mke amempa servants courter ajistiri amasivyo angekuwa homeless. Akiamka anaona limansion alilopigania lileee.Duh wanawake viumbe hatari kwa hela kwa mujibu wa maelezo yako.
Uko vizuri! Nilijua tu kwa hali hiyo lazima kuna laana zinamuandamaHuyu jamaa nilianza kusoma habari zake kwenye OK na HELLO magazine mwaka 95, wakati huo alikuwa Golden boy wao, wanawake pia wanachangia, alimoa mdada alieitwa Shirley wakati huo harusi ilikua kwenye HELLO pamoja na OK, Jamaa pia alikua wife bitter lakini mwanamama aliminya mpaka wino ulivyodondoka kwenye cheti cha ndoa ndio akasema anapigwa, divorce ilibidi wagawane na mwanamke alipata zaidi kwakua alikua na mtoto nae mmoja wa kiume. Toka pale jamaa akaanza kwenda down south emotionally.
No more left of him except that history he made! This life is so strangeGaza ana depression so he is drinking his self to death...kaachwa na wife, katumia pesa vibaya na kapoteza marafiki na wachache alio baki nao wameanza kumchoka.
Kuna kipindi alichangiwa pesa akapelekwa rehabilitation..... Inasikitisha sana.But despite everything he is going through.... Huyu jamaa alikua ni mwingereza anaeujua mpira,ile real talent.Kuna yeye,best(RIP),na currently Wilshire.
Huyo ndio gazza waqt yupo Italy lazio walikuwa na game gazza haonekani kupekua pekua wakamkuta anavua samaki hata khabari ya game hana.Siku ya nusu fainali 96 vs German wakati wa upigaji wa penalty yeye alikuwa anapiga story na wachezaji wa German yaani kama anawaambia mimi nikienda pale nafunga na kweli alipiga penalty nzuri.
Hiki kipawa chako kinatisha mkuu, hakuna aijuaye keshoRest in Peace in advance THE LEGEND....
hapo kwa Wilshire nahisi ni mapenzi binafsiGaza ana depression so he is drinking his self to death...kaachwa na wife, katumia pesa vibaya na kapoteza marafiki na wachache alio baki nao wameanza kumchoka.
Kuna kipindi alichangiwa pesa akapelekwa rehabilitation..... Inasikitisha sana.But despite everything he is going through.... Huyu jamaa alikua ni mwingereza anaeujua mpira,ile real talent.Kuna yeye,best(RIP),na currently Wilshire.
SI MTUAMBIE HUYU KWENYE PICHA NI NANI?huyu alianzakuvuta na mama yake akiwa na miaka mitano xo mtasubir sanaaa
wiz khalifa.SI MTUAMBIE HUYU KWENYE PICHA NI NANI?
...labda,inawezekana!.lakini si kwa kesi moja..kunahitajika 'ushahidi' zaidi wa kisayansi!
...anyway,nice to see you 'mzee kigogo!'...adimu sana siku hizi!