Ni zile zile, za kule kule 🤔John Mallya wakili
Wewe shida yako nini?Lissu alikiuka taratibu za chama kwa kufanya mikutano bila idhini ya chama, kuongea na wanachama bila idhini ya chama na nafasi yake hairuhusu kufanya hivyo, mbona hakufukuzwa?
Waliogawana pesa ambazo Lissu anasema ni za mama Abdul wamefukuzwa lini?
Wenje alipeleka rushwa kwa Lissu kwanini hafukuzwi?
Lissu anasema mbowe alitafuna pesa za chama, kwanini Mbowe hafukuzwi?
inatakiwa mawazo yao wachache wasikilizwe, ila nao wasilazimishe mawazo yao kufuatwaMisingi ya demokrasia kuifuata yote ni kazi ngumu mno.maana demokrasia inataka hata wachache,wenye mawazo tofauti na ya wengi,nao waheshimiwe!
Fukuzeni mamluki wote hadi wabakie wanachama na viongozi waaminifu wa Cdm.Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia Tawi la Msimbazi, Kata ya Tabata, Jimbo la Segerea mkoa wa kichama wa chama hicho wa Ilala mkoani Dar es Salaam kimemvua rasmi uanachama mwanachama wake Patrick John Assenga, kwa kile kilichoelezwa kupinga hadharani maazimio rasmi ya chama, yakiwemo ya ajenda ya No Reforms No Election.
Katika barua iliyoandikwa Mei 6, 2025 na Katibu wa Tawi, Jacob Roman kwenda kwa Assenga, chama kimesema Assenga ambaye ni mjumbe wa Mkutano Mkuu Taifa, amevuliwa uanachama kwa kukiuka Katiba ya chama toleo la mwaka 2019, hasa Kanuni ya Maadili kifungu kidogo (iii) kinachokataza kupinga misimamo ya chama nje ya vikao.
“Chama kilikupa siku 14 kuwasilisha maelezo yako kwa njia ya maandishi hukufanya hivyo, Hivyo basi chama hakitasita kuchukua hatua za kinidhamu dhidi yako kwa kosa ulilotenda makusudi ukijua unavunja katiba ya chama ya mwaka 2006 toleo la 2019 kipenele cha 03 kanuni ya maadili kifungu kidogo cha (iii)”, imeeleza sehemu ya barua hiyo.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Tawi limeeleza kuwa kwa msingi wa Ibara ya 5.4.3 ya Katiba ya CHADEMA, Assenga anakosa sifa ya kuendelea kuwa mwanachama, na hivyo amevuliwa rasmi uanachama wake kutokana na mwenendo unaodaiwa kuwa kinyume cha itikadi, falsafa, madhumuni, maadili na sera za chama.
Pia soma: Pre GE2025 - John Mrema avuliwa uanachama wa CHADEMA
“Pamoja na kushindwa kuwasilisha maelezo yako katika siku za nyongeza kamati tendaji ya Tawi imeketi na kupitia kwa umakini tuhuma zako ambazo ukiwa kiongozi hukupaswa kuzitenda, hivyo basi kwa kosa hili adhabu yake inaangukia Ibara ya 5.4 inayosema "kukoma kwa uanachama" ukiwa mwanachama wa CHADEMA mwenye usajili wa kadi No. cdme 11126 ya tarehe 22/06/2021 ambayo ni ya kidijiti”, imeeleza barua hiyo.
Chama kimetoa taarifa kuwa Assenga ana haki ya kukata rufaa katika ngazi ya juu ya chama kama ilivyoainishwa katika Katiba.
View attachment 3326318
Wapi😀😀1. Mrema
2. Asenga
3. ........?
Ni zile zile, za kule kule 🤔
Maoni mbadala nje ya kikao ni usaliti, bahati nzuri kanuni hiyo viongozi hao wanaijua ni wimbo wao wa kila siku wa kimaadili.Chama kinachopigania uhuru wa kutoa maoni chafanya udikteta kwa kufukuza wanachama wanaotoa maoni mbadala.
Hakuna democracy chadema kwasasa, kinachoendelea ni udikteta, Nina imani mishale aliyopigwa Mbowe akipigwa Lissu na Heche watafukuza kilamtu 🤣Wewe shida yako nini?
Wa Kishumundu wewe bila shaka. Mbowe ameondoka kiroho safi yale yalikuwa mambo ya kampeni mbona na Lissu naye alitukanwa saba. Shida mliokuwa mnabunya ruzuku pale HQ ndiyo mnaendelea kubweka na wewe kama siyo John Mrema bahati. Kubalini matokeo.Hakuna democracy chadema kwasasa, kinachoendelea ni udikteta, Nina imani mishale aliyopigwa Mbowe akipigwa Lissu na Heche watafukuza kilamtu 🤣
mbona kama unafoka sasaLissu alikiuka taratibu za chama kwa kufanya mikutano bila idhini ya chama, kuongea na wanachama bila idhini ya chama na nafasi yake hairuhusu kufanya hivyo, mbona hakufukuzwa?
Waliogawana pesa ambazo Lissu anasema ni za mama Abdul wamefukuzwa lini?
Wenje alipeleka rushwa kwa Lissu kwanini hafukuzwi?
Lissu anasema mbowe alitafuna pesa za chama, kwanini Mbowe hafukuzwi?
mchukueni atoe maoni uko kwenuChama kinachopigania uhuru wa kutoa maoni chafanya udikteta kwa kufukuza wanachama wanaotoa maoni mbadala.
Kama nje ni madikteta hivi kwenye hicho kikao ndo angepewa uhuru wa kutoa maoni?Maoni mbadala nje ya kikao ni usaliti, bahati nzuri kanuni hiyo viongozi hao wanaijua ni wimbo wao wa kila siku wa kimaadili.
Tena kati kati ya mkwamo unaopitia Cdm, huko ni kuonesha nia ya wazi ya kugawana fito.
Wacha wapumzishwe tu, maana hakuna namna.
Barua makini iliyoandikwa kitaalamu (professionalized letter) tena toka kwa kiongozi wa ngazi ya chini ya tawi tu...Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia Tawi la Msimbazi, Kata ya Tabata, Jimbo la Segerea mkoa wa kichama wa chama hicho wa Ilala mkoani Dar es Salaam kimemvua rasmi uanachama mwanachama wake Patrick John Assenga, kwa kile kilichoelezwa kupinga hadharani maazimio rasmi ya chama, yakiwemo ya ajenda ya No Reforms No Election.
Katika barua iliyoandikwa Mei 6, 2025 na Katibu wa Tawi, Jacob Roman kwenda kwa Assenga, chama kimesema Assenga ambaye ni mjumbe wa Mkutano Mkuu Taifa, amevuliwa uanachama kwa kukiuka Katiba ya chama toleo la mwaka 2019, hasa Kanuni ya Maadili kifungu kidogo (iii) kinachokataza kupinga misimamo ya chama nje ya vikao.
“Chama kilikupa siku 14 kuwasilisha maelezo yako kwa njia ya maandishi hukufanya hivyo, Hivyo basi chama hakitasita kuchukua hatua za kinidhamu dhidi yako kwa kosa ulilotenda makusudi ukijua unavunja katiba ya chama ya mwaka 2006 toleo la 2019 kipenele cha 03 kanuni ya maadili kifungu kidogo cha (iii)”, imeeleza sehemu ya barua hiyo.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Tawi limeeleza kuwa kwa msingi wa Ibara ya 5.4.3 ya Katiba ya CHADEMA, Assenga anakosa sifa ya kuendelea kuwa mwanachama, na hivyo amevuliwa rasmi uanachama wake kutokana na mwenendo unaodaiwa kuwa kinyume cha itikadi, falsafa, madhumuni, maadili na sera za chama.
Pia soma: Pre GE2025 - John Mrema avuliwa uanachama wa CHADEMA
“Pamoja na kushindwa kuwasilisha maelezo yako katika siku za nyongeza kamati tendaji ya Tawi imeketi na kupitia kwa umakini tuhuma zako ambazo ukiwa kiongozi hukupaswa kuzitenda, hivyo basi kwa kosa hili adhabu yake inaangukia Ibara ya 5.4 inayosema "kukoma kwa uanachama" ukiwa mwanachama wa CHADEMA mwenye usajili wa kadi No. cdme 11126 ya tarehe 22/06/2021 ambayo ni ya kidijiti”, imeeleza barua hiyo.
Chama kimetoa taarifa kuwa Assenga ana haki ya kukata rufaa katika ngazi ya juu ya chama kama ilivyoainishwa katika Katiba.
View attachment 3326318
View attachment 3326414
Mawazo tofauti yanaheshimiwa kwenye vikao halali lakini kupinga maamuzi halali ya vikao ni uhaini!Misingi ya demokrasia kuifuata yote ni kazi ngumu mno.maana demokrasia inataka hata wachache,wenye mawazo tofauti na ya wengi,nao waheshimiwe!
Unataka ushahidi gani zaidi ya kuona matendo yao na matamshi yao dhidi ya Chama?Swala la kwamba wanatumika lina Ushahidi au ni hisia tu?
C busara ila nyama ya kansa ni kuikata kabla haijaeneaSidhani kama kuwafukuza chama ni busara.