Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 102,676
- 126,840
Safi sn njaa 55 wote wafukuzwe
Ni kundi la kitapeli tupuTangu Mrema aongee ule utumbo nimezarau sana kundi lake
Sijaelewa mkuu, barua gani hiyo?Acha uvivu soma baru hapo juu alafu sema kama kuna kanuni/sheria haijafuatwa
Nje ya vikao?Misingi ya demokrasia kuifuata yote ni kazi ngumu mno.maana demokrasia inataka hata wachache,wenye mawazo tofauti na ya wengi,nao waheshimiwe!
Hao hawana mawazo tofauti. Bali wanania ya kuukwamisha uongozi mpya. Wao wanataka cdm iingie kwenye uchaguzi bila reforms wanaakili kweli? Ati cdm imeua ndoto za vijana waliotaka kugombea...Misingi ya demokrasia kuifuata yote ni kazi ngumu mno.maana demokrasia inataka hata wachache,wenye mawazo tofauti na ya wengi,nao waheshimiwe!
Haeleweki kabisa sijui ana matatizo ya ufahamu kwa sasa au alikuwa mleviSasa anataka chama kiingie chaguzi, kwa mazingira ya kihuni yale yale 2019,2020,2024. --- hawa ni wakutimua tu
Hapa ni kukubali tu wapo katika nyakati ngumu--- kuingia uchaguzi na mambo yale yale huku ni kujidanganya tu.Haeleweki kabisa sijui ana matatizo ya ufahamu kwa sasa au alikuwa mlevi