GP
JF-Expert Member
- Feb 5, 2009
- 2,049
- 160
nimekua nikimuona mwandishi wa habari na mtangazaji maarufu Pascal Mayalla akiendesha vipindi vyake, right now yupo hewani anaendesha kipindi cha Nane Nane.
lakini mara zote nikimuonaga kwenye luninga namuona mkono wa kushoto always upo mkononi,
naomba kujua ana matatizo gani legendary huyu??
lakini mara zote nikimuonaga kwenye luninga namuona mkono wa kushoto always upo mkononi,
naomba kujua ana matatizo gani legendary huyu??