Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
Hujui nini unakifanya zaidi ya kujichanganyaHahahaaaaaaaa ulonianza si wewe, kaa uumie na maumivu yako hayanihusu mimi.
Hujui nini unakifanya zaidi ya kujichanganyaHahahaaaaaaaa ulonianza si wewe, kaa uumie na maumivu yako hayanihusu mimi.
Hujui unajibu kitu gani,rudi darasa la jf utaelewa tu kuliko kukurupuka kujibuUkweli unauma ati...😉
weweee wananchi walizinduka. baada ya kuona watuhumiwa wa ufisadi ni dhambi kwenda ikulu. ikulu ni mahali patakatifu unadhani kila mtu anaweza kwenda pale? ? hebu tumieni akili zenu kufikiri. haya hata kama hamuwezi kufikiri, hata Dr Slaa hamkumsikia wosia wake? jamani hata viongozi wengine hamkuwahi wasikia wakizungumzia ufisadi na mafisadi??, Lissu, Mnyika, Msigwa,Lema, Mbowe, Kubenea na wengine wengii tu. you should take their first statement and never their refreshed statement because we believe the refreshed on comes after some incentives.Mkuu wa Uchakachuaji na kamati za Ufundi January ndiyo aliyegeuza matokeo na kuwa yalivyo sasa , kinyume na Hapo Leo hii ccm ingekuwa chama cha upinzani Kama KANU ya Kenya .
Huo ndio ukweli, ccm haikushindaUsilitaje bure jina la muumba wako. Porojo za siasa zisikutoe akili.
Bado unaogelea kwenye bwawa la ruba,hujui nini unafanya
Hujui nini unakifanya zaidi ya kujichanganya
Hujui unajibu kitu gani,rudi darasa la jf utaelewa tu kuliko kukurupuka kujibu
Muda unakaribia wa kujongea ofisini kwakoLOL....hahahaaaa....lmao
Ukae salama, pole.
Stroke ikipanda kichwani unaishia kuwa zuzuukawa haikuwahi kushinda uchaguzi wowote ule.
Atakuja kukanusha sio yeye, Pasco bhana!!
ni kweli mimi sio Pasco, mimi ni Paskali Mayalla, ambaye ni verified member na hili ni jina langu halisi, ila Pasco pia namjua!.Anasema yeye sio Pasco ni Pascal Mayalla
wasira yeye mwenyewe anajua c hakushinda ataachaje kukubali.mm namkubali mh wasira alipeleka kesi mahakamani kupinga ushindi wa bulaya akaambiwa ameshindwa akakubali. kimbembe kipo kwa wapinzani hawakubali mpk waandaman e, leo hii kafulila kila siku anashinda mahakamani aiseeee pesa za ubunge tamu
vip kwenye uteuzi wa bwana mkubwa uliowakanganya wengi tulitegemea ungekwepo kulikonini kweli mimi sio Pasco, mimi ni Paskali Mayalla, ambaye ni verified member na hili ni jina langu halisi, ila Pasco pia namjua!.
Pasco
Labda tuanzie kwako, unadhani ningekuwepo kwa vigezo gani?!.vip kwenye uteuzi wa bwana mkubwa uliowakanganya wengi tulitegemea ungekwepo kulikoni
Ni kweli, naandika haya, na kuyasema haya ili angalau nipate hata ujumbe wa nyumba kumi utanitosha!.Anataka cheo serikalini huyo!
Nguli kwa UFISADINilichokiongea unaweza kukipata hapa toka mdomoni mwa nguli wa siasa Mhe. Lowassa Lowassa: CHADEMA tume graduate kutoka kuwa wanaharakati hadi chama cha siasa
Ukiona mtu anatumia hoja za nguvu baadala ya nguvu za hoja mwogope kama ukoma. Nimekueleza kuwa maandamano kwa sasa ni uanaharakati wala si kujenga chama. Chama kinajengwa na wakareketwa. Mikutano ya hadhara haijengi chama bali ni kama burudani.Ihurumie familia yako mimi nakuhusu nini? Jibu hoja hakuna huruma humu JF, unajibu hoja, siyo kul;eta unachoambiwa na CCM, uwe na mawazo huru
tunataka maendeleo sio maandamano, mnyika miaka 5 anaandamana kila mara badala ya kuleta maendeleo kutahamaki uchaguzi huu na jimboni hakuna alichofanya akaamua kuhama jimbo