Mkuu ni aibu kila siku kushadidia ya jana. Lazima ifike wakati masuala ya nani alikosa na nani alishinda tuachane nayo, after all katika kutafuta ushindi kuna mbinu nyingi ukishindwa hizo mbinu kubali umeshindwa. Je, Wamarekani wakati ule si walilalamika lakini wakaendelea na ujenzi wa nchi yao? Hivi mikutano ya hadhara ikiendelea tutapata wapi nafasi ya kufanya kazi? Aliyekosa 2015 asubiri 2020 ila asimbane aliyeshinda ili ikifika 2020 aonekane hajafanya lolote. Nchi gani iliongozwa kwa maandamano jamani, kama ni vikao vya ndani nani kazuia mbona CUF wanafanya, Chadema walichagua Katibu Mkuu n.k. Tumechoka sasa