PostGE2025 Pascal Mayalla: Media zetu ni waoga kutangaza mambo ambayo wanahisi serikali haitafurahia, mfano yaliyotokea Oktoba 29

PostGE2025 Pascal Mayalla: Media zetu ni waoga kutangaza mambo ambayo wanahisi serikali haitafurahia, mfano yaliyotokea Oktoba 29

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,782
Reaction score
6,104
“Tunajiita tuna uhuru wa habari, lakini tuna tatizo linaloitwa ‘media oga’, yaani media zetu ni waoga. Ni waoga kutangaza jambo wanapohisi kwamba serikali haitafurahia. Kwa maana hiyo, karibu media zote za mainstream, ukiondoa media za online, zimekuwa zikijisitiri. Labda mtandao pekee ambao umesimama bila kuyumba wala kuegemea upande wowote ninaweza kusema ni JamiiForums.

Lakini hizi mainstream media, baada ya kuona serikali imezima internet, vyombo vingi vya habari vimekuwa vikisubiri taarifa kutoka serikalini au kutoka Tume ya Uchaguzi. Cha kushangaza ni kwamba hata yale matukio wanayopita mtaani na kuyaona kwa macho yao, hakuna vyombo vya habari vya ndani vinavyoyatangaza. Badala yake, matukio hayo yamekuwa yakitangazwa na vyombo vya habari vya nchi jirani.” — Pascal Mayalla

Soma Pia:
Pascal Mayalla ameyasema hayo kupitia Nijuze Podcast akigusua yale yote yalitokea Oktoba 29 lakini pia na Uhuru wa Vyombo vya Habari Nchini

 
Back
Top Bottom