Hapa kaka sijakuelewa kabisa. Msaada tafadhali.Mimi ni roho, sina mwili ,ningekuwa na mwili wangeweza kunipata, sasa
Hapa kaka sijakuelewa kabisa. Msaada tafadhali.Mimi ni roho, sina mwili ,ningekuwa na mwili wangeweza kunipata, sasa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mpe 10 apunguze udangaji mana njaa lumumba ni kali kama chad
ohoo basi sawa!...nimekutahadharisha kwa sababu naamini wewe ni mtu muhimu jamvini ni vyema ukabaki na heshima yako..maana nimeshaona aliyeleta hii mada kashakumind kitendo ambacho sio kizuri ataachana na state agent atakuja kwako hasa ikizingatia pasco wa zamani sio wa sasa..atalinganisha thread zako za zamani hasa za kuponda ikiwemo na hiyo niliyokudokeza kuwa umemuita mheshimiwa akili zake hazipo sawa na ataweka na thread za sasa unazosifia mwishoni ataconclude kwa kukupa hata jina baya sana...thus why nkakushauri ukae pembeni waache waparangane wenyewe
Tayari nina deep information kuhusu wewe, ukizidi kuniandama nitakuweka uchi kabisa humu, kumbuka wewe ni mwili na mimi ni roho, yaani maisha yako yapo wazi ,uko wakati mimi nipo invisible ,Kama huamini jaribu nikufungue kazi.
Umesema unafukua yaliyojificha,kwahiyo hayo makaburi unayofukua ndio hizi screen short za post ambazo huwa anapost?!,....Unazo au bado unachunga ng'ombe View attachment 1255388
Umesema unafukua yaliyojificha,kwahiyo hayo makaburi unayofukua ndio hizi screen short za post ambazo huwa anapost?!,....
Nasubiri anichokonoe nimpe discipline, na mods wakiifuta hiyo mada ya kumwanika naihamishia Kenyan ForumTunasubiri mkuu
YEHODAYA ni bwege kilaza tuWeka picha zao humu mkuu..mimi Yehodaya nilidhani anafanya kazi vodacom mwenzio
I don't deal with petty personalities issues za kumuandama mtu yoyote humu, usitake kujitafutia maujiko kuwa eti unaandamwa, who the hell are you hadi useme nakuandama?, nikuendame kwa lipi?. Mimi huwa na deal na issues na sio na watu, and always niko very open and transparent, kama ni kweli una any deep info za kunihusu, be free to offload them wherever you wish as long as they are relevant to the public yetu ya jf.Tayari nina deep information kuhusu wewe, ukizidi kuniandama nitakuweka uchi kabisa humu, kumbuka wewe ni mwili na mimi ni roho, yaani maisha yako yapo wazi ,uko wakati mimi nipo invisible ,Kama huamini jaribu nikufungue kazi.
Very unfortunately mimi sinaga siri, niko very open and transparent. Usitafute pa kutokea kwa kupitia kutengeneza bifu na mimi, alishindwa yule kichaa utakuwa wewe?. Kama una lolote kunihusu, limwage tuu usitake kutisha watu humu.Kuna mtu yupo naye halafu Pasco naye akiingia kwenye 18 zangu namvua nguo humu, nina hasira naye sana, naye Tayari siri zake ninazo
Nasubiri anichokonoe nimpe discipline, na mods wakiifuta hiyo mada ya kumwanika naihamishia Kenyan Forum
Nasubiri anichokonoe nimpe discipline, na mods wakiifuta hiyo mada ya kumwanika naihamishia Kenyan Forum
Very unfortunately mimi sinaga siri, niko very open and transparent. Usitafute pa kutokea kwa kupitia kutengeneza bifu na mimi, alishindwa yule kichaa utakuwa wewe?. Kama una lolote kunihusu, limwage tuu usitake kutisha watu humu.
P
Mkuu tulishasema huko.nyuma, mada haina substance.Nimekimbilia kusoma uzi huu umekuja kuwa wa OVYO kuliko niko
Pg 42 out 89 naona nipasho tu.
Mashoga mnaingiaje humu au ndio haki sawa?
Fogofu...... hapa ujue babu anechukia askari wa muingereza
Fogofu,..,.........Fuckoff
[emoji86]uzi umekuwa Vita[emoji1787]
Kuna mtu yupo naye Karibu, anamvizia ampige picha kisha anirushie, halafu Pasco naye akiingia kwenye 18 zangu namvua nguo humu, nina hasira naye sana, naye Tayari siri zake ninazo
State agentMaelezo yako yanajichanganya sana Mkuu. Unasema kuwa una Siri zake nyingi tu na unamjua ndani nje lakini hapo hapo tena unataka Watu wamvizie wampige Picha kisha wakurushie. Sina tatizo na Ugomvi wenu ila kama Wewe ni Mtumishi wa TISS basi watakuwa wamepata Kapi la uhakika. Ni Mtu uliyejawa na Ujivuni, Sifa na Kupenda kuonekana kana kwamba mambo mengi ya TISS au Mambo ya Kiusalama unayajua wakati huenda ukawa unaishia Kuhadithiwa tu na Matapeli wa Mjini na Wewe unakuja na Chambuzi zako za Pwagu na Pwaguzi hapa Mtandaoni. Kama uko TISS nadhani DG Diwani Athumani Msuya ana Kazi ya ziada hasa katika Kuwaibua Wana Usalama wenye Uweledi na siyo wa Kupayuka hovyo na Kujisifia hivi.