Part 6: TISS Bado safari ngumu

Part 6: TISS Bado safari ngumu

Huyu ni muuza bari pia anauza milungi na bangi pande za Kenya

Nilikuwa peke yangu kwenye gari narudi halafu anasema kuna mtu yupo karibu na mimi ananivizia anipige picha hahhaha anachekesha sana

Hata hizo hadithi za Australia hakuna lolote ni ujanja ujanja wa kipuuzi humuState agentView attachment 1256013View attachment 1256015View attachment 1256016

Sikujua ya kwamba kumbe hadi Siku hizi bado kuna Watanzania wanadhani kusema kuwa wako Ulaya huko basi wataogopwa au kuonekana wa maana. Na ni jambo la Kusikitisha sana kama unajijua kabisa kuwa uko Tandahimba Kimakazi na Kishughuli halafu humu Mitandaoni unajitapa kuwa upo Melbourne au Kwingineko huko Ulaya / Marekani.
 
Huwa ni kutokana na bangi ,wataalamu wanadai hivyo

Kujiita bosi wakati unalala njaa kila siku ni matatizo ya akili ila inapunguza msogo yaani uko kawe unajiona upo USA

State agent
Sikujua ya kwamba kumbe hadi Siku hizi bado kuna Watanzania wanadhani kusema kuwa wako Ulaya huko basi wataogopwa au kuonekana wa maana. Na ni jambo la Kusikitisha sana kama unajijua kabisa kuwa uko Tandahimba Kimakazi na Kishughuli halafu humu Mitandaoni unajitapa kuwa upo Melbourne au Kwingineko huko Ulaya / Marekani.
 
Sikujua ya kwamba kumbe hadi Siku hizi bado kuna Watanzania wanadhani kusema kuwa wako Ulaya huko basi wataogopwa au kuonekana wa maana. Na ni jambo la Kusikitisha sana kama unajijua kabisa kuwa uko Tandahimba Kimakazi na Kishughuli halafu humu Mitandaoni unajitapa kuwa upo Melbourne au Kwingineko huko Ulaya / Marekani.
Umasikini umewaathiri sana watanzania kisaikolojia, yaani unaona mtu akiishi Ulaya na Marekani ni Kama yupo peponi?
Nyie ndo huwa mnakula wali na nyama siku za sikukuu na kuvalisha watoto nguo nzuri.
Nidanganye so what? Na hunijui Kwanza?
Kwani nikisema nipo Buguruni nani atanipata?
I'm in Australia dude!
CCM imewafanya vilaza sana
 
Maelezo yako yanajichanganya sana Mkuu. Unasema kuwa una Siri zake nyingi tu na unamjua ndani nje lakini hapo hapo tena unataka Watu wamvizie wampige Picha kisha wakurushie. Sina tatizo na Ugomvi wenu ila kama Wewe ni Mtumishi wa TISS basi watakuwa wamepata Kapi la uhakika. Ni Mtu uliyejawa na Ujivuni, Sifa na Kupenda kuonekana kana kwamba mambo mengi ya TISS au Mambo ya Kiusalama unayajua wakati huenda ukawa unaishia Kuhadithiwa tu na Matapeli wa Mjini na Wewe unakuja na Chambuzi zako za Pwagu na Pwaguzi hapa Mtandaoni. Kama uko TISS nadhani DG Diwani Athumani Msuya ana Kazi ya ziada hasa katika Kuwaibua Wana Usalama wenye Uweledi na siyo wa Kupayuka hovyo na Kujisifia hivi.
Mkuu kuna sehemu nimesema kuwa mimi ni TISS?
Huyo chizi yupo huko Lumumba anaganga njaa ndo Eti alijifanya TISS ananitishia, mwenzake keshakimbia yeye Bado yupo kakomaa tu, kuna watu wako naye Lumumba ndo wamenitaarifu
 
Jamii Forum imekuwa kama sehemu ya watoto kucheza ndio maana watu wengine hawachangii chochote wanachungulia na kutoka. Mimi TISS naamini ni taasisi imara sana kuna watu makini ndani tatizo lipo kwenye sera ya kuanzishwa kwake ya mwaka 1996. ukiisoma utaelewa so point apa tunatakiwa kubadilisha sheria ya idala ya usalama wa taifa kwanza ndio mambo mengine yafuate.


Sheria ya Usalama ya Mwaka 1996 Ibara ya 5:29(10)
 
Very unfortunately mimi sinaga siri, niko very open and transparent. Usitafute pa kutokea kwa kupitia kutengeneza bifu na mimi, alishindwa yule kichaa utakuwa wewe?. Kama una lolote kunihusu, limwage tuu usitake kutisha watu humu.
P
Nakupa last warning Pasco, kaa mbali na mimi mwache huyo chizi wa CCM apayuke, any support on him I will strike you to death.
 
Nani alimtuma aniandike kwenye Uzi kimsingi hakukuwa na hoja kwenye Uzi huu zaidi ya kuniattack sema hakujua mimi sio wa kawaida vita ya mitandao nimeianza miaka 20 iliyopita yeye akiwa anachunga ng'ombe mwanza View attachment 1256001
Wewe ni chizi tu ,unafukua nini wakati Hizo ni mada zilizo wazi na zimeshasomwa na wote humu?
Fukua mapya jinga la CCM wewe ndo tutajua wewe ni agent, yaani una copy mada ambazo zipo wazi kwa wote kuna jipya gani hapo?
Pumbavu sana
 
Kweli wewe ni mbumbumbu la kutupwa, hujui kuwa nilikuwa natoa kejeli, halafu bwana mdogo huna lolote la kunifanya, Hakunaga Duniani state agent dizaini yako, pole sana, wewe ni buku 7 tu.
Tazama unavyohangaika ku copy mada zangu, hata English hujui.
Duh kumbe wewe ni chizi acha nikupuuze kabisa
Huyu anatamani angekuwa lakini hajawa
 
Wewe ni chizi tu ,unafukua nini wakati Hizo ni mada zilizo wazi na zimeshasomwa na wote humu?
Fukua mapya jinga la CCM wewe ndo tutajua wewe ni agent, yaani una copy mada ambazo zipo wazi kwa wote kuna jipya gani hapo?
Pumbavu sana

mkuu ukifanikiwa kuja likizi TZ ntashukuru sana ukiniletea kipande cha ngozi ya warmbat
ni dawa kari sana ya pumu mkuu.
natanguliza shukrani kaka
 
Nakupa last warning Pasco, kaa mbali na mimi mwache huyo chizi wa CCM apayuke, any support on him I will strike you to death.
Kuzaliwa ni siku moja, na kufa pia ni siku moja!, hakuna atakayeishi milele!, if you strike me to death, then hiyo ndio siku yangu na kifo hicho ndicho nilichoandikiwa, and if not, kama sio mpango wa Mungu mimi nife hivyo, then you can strike as much as you can and I will stand firm!. Kwa vile wewe sio Mungu, just do what you can!, strike!.
P
 
Sikujua ya kwamba kumbe hadi Siku hizi bado kuna Watanzania wanadhani kusema kuwa wako Ulaya huko basi wataogopwa au kuonekana wa maana. Na ni jambo la Kusikitisha sana kama unajijua kabisa kuwa uko Tandahimba Kimakazi na Kishughuli halafu humu Mitandaoni unajitapa kuwa upo Melbourne au Kwingineko huko Ulaya / Marekani.
Mkuu CELLULAIRE, kiukweli humu jf, tuna vichaa wengi kuliko tunavyojidhania!.
P
 
Kuna watu jana mlisema mtataja majina halisi ya watu vipi mbona hamtaji?
Mkuu Chief Kabikula, hivi na wewe unawaaminia hao vichaa!. Hakuna Tiss yoyote hapo, wala hakuna yoyote mwenye jina lolote!. Kitu ninachokijua ni kuwa humu jf tuna ma Tiss ya ukweli yapo na yamejinyamazia tuu, halafu kuna hawa vichaa wanaojia tia kuwa ni Tiss, wengine wakitishia nyau members humu kuwa wao ni Tiss na wanazo siri za watu watamwaga humu!. They are nothing, they know nothing, hawana lolote wala chochote, wakati ma Tiss wenyewe humu wapo na wako kimya!.

Mimi I'm very fortunate nimezaliwa kwenye familia ya pure Tiss kwa baba na mama, hivyo nimezaliwa with natural intelligence, sasa ninapowaona hawa vichaa wa humu ambao hawana lolote kujifanya ma Tiss, nawaangalia tuu na kuwasubiria wamwage hizo data!.
P
 
Nilikuwaga nakuheshimu sana zamani sikujua kuwa kumbe ndo ulivyo
Ni ushauri tu nakupa.
Andika mada zilizo ndani ya uwezo wako wa kudadavua.
Na ukiwa challenged as you must be intellectually, dont go negative.
Facts will always be challenged by facts and logic.
Hao Mossad na CIA unao wasifia wataenda kuchambua hata position ya dot na coma ili kupata meaning ya sentesi.
 
Back
Top Bottom