Part 6: TISS Bado safari ngumu

Part 6: TISS Bado safari ngumu

Mkuu Chief Kabikula, hivi na wewe unawaaminia hao vichaa!. Hakuna Tiss yoyote hapo, wala hakuna yoyote mwenye jina lolote!. Kitu ninachokijua ni kuwa humu jf tuna ma Tiss ya ukweli yapo na yamejinyamazia tuu, halafu kuna hawa vichaa wanaojia tia kuwa ni Tiss, wengine wakitishia nyau members humu kuwa wao ni Tiss na wanazo siri za watu watamwaga humu!. They are nothing, they know nothing, hawana lolote wala chochote, wakati ma Tiss wenyewe humu wapo na wako kimya!.

Mimi I'm very fortunate nimezaliwa kwenye familia ya pure Tiss kwa baba na mama, hivyo nimezaliwa with natural intelligence, sasa ninapowaona hawa vichaa wa humu ambao hawana lolote kujifanya ma Tiss, nawaangalia tuu na kuwasubiria wamwage hizo data!.
P
Anayejifanya TISS ni huyo mpuuzi uliyekuwa umeanza kum support, ndo maana nikakuambia kuwa ukiendelea nitakuvunjia heshima kabisa, mimi nakuheshimu Kama kaka yangu when taken into an account kwamba sote ni wasukuma, kwa kukusaidia tu, vichaa ni hao wanaoshangaa mtu kuishi Australia ,hao ndo vichaa kabisa, to them every good thing is impossible, watu dizaini hiyo usitarajie kuwaona wakifanikiwa kimaisha hata siku moja, sana sana wakizeeka huishia kuwa wachawi.
Ni ajabu ipi mtu kuishi Australia au US?
Nilifikishwa hapa kwa msaada hadi nime settle, ajabu iko wapi?
Mimi siyo TISS, ni mwandishi tu, where did I proud that I'm a TISS agent?
Linda heshima yako Pasco, kaa mbali na hao vichaa.
 
Ni ushauri tu nakupa.
Andika mada zilizo ndani ya uwezo wako wa kudadavua.
Na ukiwa challenged as you must be intellectually, dont go negative.
Facts will always be challenged by facts and logic.
Hao Mossad na CIA unao wasifia wataenda kuchambua hata position ya dot na coma ili kupata meaning ya sentesi.
Wewe uliharibu kum support huyo chizi anayejiita state agent, wakati hakuna sehemu nimekashifu idara au Serikali zaidi ya kushauri tu
 
Umasikini umewaathiri sana watanzania kisaikolojia, yaani unaona mtu akiishi Ulaya na Marekani ni Kama yupo peponi?
Nyie ndo huwa mnakula wali na nyama siku za sikukuu na kuvalisha watoto nguo nzuri.
Nidanganye so what? Na hunijui Kwanza?
Kwani nikisema nipo Buguruni nani atanipata?
I'm in Australia dude!
CCM imewafanya vilaza sana

Una matatizo makubwa ya Akili jitahidi umpate Daktari akusaidie kulitatua hilo tatizo lako kabla halijakuathiri ziaidi tafadhali.
 
Mkuu kuna sehemu nimesema kuwa mimi ni TISS?
Huyo chizi yupo huko Lumumba anaganga njaa ndo Eti alijifanya TISS ananitishia, mwenzake keshakimbia yeye Bado yupo kakomaa tu, kuna watu wako naye Lumumba ndo wamenitaarifu

Na siyo kila unayoambiwa kuhusu Mtu fulani yakawa ni sahihi Huenda hata hao waliokuambia walishajua mapungufu yako ya kuwa ni Mtu wa Kukurupuka, kutaka Sifa huku ukiwa na Kiherehere Kingi ndiyo wakaona wakudanganye na Kimoyomoyo wakiwa wanakusanifu pia. Sasa kama kumbe unakiri kuwa unamjua au mnajuana kwanini msimalizane huko huko na mje mtupe mrejesho wenu wa nani Kamuua mwenzie ili tuamini huku Kujimwambafai Kwenu hapa Mtandaoni kusiko na maana sana? Na inaonyesha pia ya kwamba humjui vyema huyo unayepambana nae bali unachokifanya ni Kubahatisha tu kwa Kuhisi na kuwa na Utoto mwingi.
 
Mkuu CELLULAIRE, kiukweli humu jf, tuna vichaa wengi kuliko tunavyojidhania!.
P
Hii mada inaishi hatimaye tukapata kichaa mkuu.
 
Yule uliyemtuma anipige kumbe wewe kilaza muuza bar ,huna lolote huko Lumumba na mm wapi na wapi famba tu
Nimeshaambiwa makao yako ni ofisi za CCM Lumumba ngoja wanirushie picha niziweke humu chizi wewe
Screenshot_2019-11-06-02-41-07.jpeg
 
Mfanyabiashara ndogondogo wa kuuza konyagi na bangi unajua nn
Wewe ni chizi tu ,unafukua nini wakati Hizo ni mada zilizo wazi na zimeshasomwa na wote humu?
Fukua mapya jinga la CCM wewe ndo tutajua wewe ni agent, yaani una copy mada ambazo zipo wazi kwa wote kuna jipya gani hapo?
Pumbavu sana
Screenshot_2019-11-06-19-59-22.jpeg
 
Yupo Kenya anauza Bia baada ya biashara yake ya nguo langolango kufa hii ni baada ya kuchunga mbuzi mee hadi akachoka
mkuu ukifanikiwa kuja likizi TZ ntashukuru sana ukiniletea kipande cha ngozi ya warmbat
ni dawa kari sana ya pumu mkuu.
natanguliza shukrani kaka
Screenshot_2019-11-06-10-11-33.jpeg
Screenshot_2019-11-06-02-25-02.jpeg
Screenshot_2019-11-06-02-41-20.jpeg
 
Huku ndio Australian
Anayejifanya TISS ni huyo mpuuzi uliyekuwa umeanza kum support, ndo maana nikakuambia kuwa ukiendelea nitakuvunjia heshima kabisa, mimi nakuheshimu Kama kaka yangu when taken into an account kwamba sote ni wasukuma, kwa kukusaidia tu, vichaa ni hao wanaoshangaa mtu kuishi Australia ,hao ndo vichaa kabisa, to them every good thing is impossible, watu dizaini hiyo usitarajie kuwaona wakifanikiwa kimaisha hata siku moja, sana sana wakizeeka huishia kuwa wachawi.
Ni ajabu ipi mtu kuishi Australia au US?
Nilifikishwa hapa kwa msaada hadi nime settle, ajabu iko wapi?
Mimi siyo TISS, ni mwandishi tu, where did I proud that I'm a TISS agent?
Linda heshima yako Pasco, kaa mbali na hao vichaa.
Screenshot_2019-11-06-02-41-20.jpeg
 
Una matatizo makubwa ya Akili jitahidi umpate Daktari akusaidie kulitatua hilo tatizo lako kabla halijakuathiri ziaidi tafadhali.
Nani mgonjwa wa akili Kati yangu na wewe?
Unabishana na upepo? Wewe hunijui kabisa, zaidi ya kujua ID yangu fake, sasa utakataaje kwamba sipo Australia na wakati hunijui? Kubishana na jambo usilojua fact yake ni kichaa tosha, wewe ndo ukatibiwe, vichaa mko wengi mno humu
 
Na siyo kila unayoambiwa kuhusu Mtu fulani yakawa ni sahihi Huenda hata hao waliokuambia walishajua mapungufu yako ya kuwa ni Mtu wa Kukurupuka, kutaka Sifa huku ukiwa na Kiherehere Kingi ndiyo wakaona wakudanganye na Kimoyomoyo wakiwa wanakusanifu pia. Sasa kama kumbe unakiri kuwa unamjua au mnajuana kwanini msimalizane huko huko na mje mtupe mrejesho wenu wa nani Kamuua mwenzie ili tuamini huku Kujimwambafai Kwenu hapa Mtandaoni kusiko na maana sana? Na inaonyesha pia ya kwamba humjui vyema huyo unayepambana nae bali unachokifanya ni Kubahatisha tu kwa Kuhisi na kuwa na Utoto mwingi.
Watanzania mme changanyikiwa na maisha magumu, nilifanya vyema kuikimbia hiyo nchi
 
Hii mada imeshaharibika tayari, siyo sehemu tena ya intelligent people kusoma.
Am out
 
Back
Top Bottom