Part 1: TISS bado safari ngumu

Part 1: TISS bado safari ngumu

[emoji38][emoji38][emoji38] View attachment 1206727
Ukiiangalia hii picha kwa makini sana utaona utofauti mkubwa.
Hapo Membe na JK walikuwa wanafanya kazi zao kila mmoja akimheshimu mwenzie na kumuhitaji.
Very friendly, hapo hakuna kumuambia mwingine pumbaf au kusema kanitoa jalalani.
Sasa hivi foreign minister anaogopa hata kumsogelea! Watashaurianaje? Uso wa Kabudi akiwa karibu na rais unaonyesha woga kama mwanafunzi mtoro mbele ya Headmaster, kuna ufanisi kweli hapo?
Awamu iliyojaa uoga na unafiki mtupu ndio maana vitu vingi havifanikiwi.
 
Chukulia mfano amebanwa korodani na koleo kutakiwa atoe Ushahidi kuthibitisha anao? Andiko lake limejaa story za vijiweni kuanzia mwanzo Hadi mwisho.
Ona sasa hiyo thinking yenu?? Mataga bwana.
 
Idara nyeti inapaswa kuwa na watu ambao brains zao zinacharge kweli kweli
Watu wenye upeo mkubwa kiakili na kinidhamu.

Idara inapaswa iwe na cream of the cream ya nchi

Siyo unachukua watu kwa milengo ya kisiasa matokeo yake hata analysis simple tu za mambo yanayojiri nchini hawawezi na hawana inputs zozote za maana!

Siyo lazima wachukue wenye madigrii tu bali wachukue watu bright kisha wawaendeleze, maana kuna watu hawakwenda shule za madarasani lakini wana akili kishenzi!

Kiukweli mambo yaliyokuwa yakifanyika nchini ndani ya miaka minne iliyopita utadhani yanapangwa na kufanywa na amateurs, kuanzia scripts za matukio feki ambazo raia siku hizi wanacheka tu!

Wewe imagine mtu anapiga picha kijijini kakaa na Jiwe anajifanya eti na yeye ni mmoja wa wazee masikini wa huko Chato kumbe ni.mmoja wa waambata wa Jiwe kwenye matukio mengine na picha zake zipo!

Eti mwanamama yuko hospitali anajifanya kumuomba raisi hela ya kukomboa maiti, halafu eti yuko peke yake na hakuwa cleared njiani anapopita rais, umewahi kuona wapi hii zaidi ya script?

Eti mtu anaenda bandarini na kisha kuokota vichwa vya treni

Vijana kufuatiliwa facebook kwa comment za maoni yao tu ya kisiasa na kupewa msoto mkali!

Unaenda kuandaa script ya maandamano kwenye ubalozi wa nchi nyingine kinyume cha protokali za Kidiplomasia duniani eti kushinikiza nchi iingilie mchakato wa madai yaliyoko mahakamani

Mambo gani haya ya ajabu kabisa!

TUNATAKA IDARA SMART, SHARP, JUST na YENYE KULINDA USALAMA WA NCHI KWANZA SIYO POLITICAL ambitions za MTU

Msilamu awamu ya tano kwa tatizo lolote lile kwani uozo Rais wa nchi ameukuta kama alivyokuta hapakuwa na nidhamu makazini, ufisidi wa viwanda na mashirika yote ya umma alituachia Baba wa Taifa, viongozi walikuwa wanapishana angani kama mbayumbayu kwenda nchi za nje, Nchi ilipouzwa kwa Oman/China 2014/2015 kwa miaka zaidi ya 100, kumbuka Mjeruma alitawala Tanganyika kwa miaka 30, Mwengereza(UK) miaka 40 lakini pwani yote ya Tz makao makuu yao yakiwa Bandari ya Bagamoyo, TISS ilikuwa wapi, uzalendo wa viongozi ulikuwa wapi? Kama siyo Rais Dr Magufuli kufutilia mbali mikataba ya “KIBEBERU” yaan viongozi wa Tz wakiwa ndo Mabeberu na siyo Wachina wala Wa Oman nchi ingekuwa chini ya himaya ya Oman kwa zaidi ya miaka 100!!!!!!!!
 
Ukiiangalia hii picha kwa makini sana utaona utofauti mkubwa.
Hapo Membe na JK walikuwa wanafanya kazi zao kila mmoja akimheshimu mwenzie na kumuhitaji.
Very friendly, hapo hakuna kumuambia mwingine pumbaf au kusema kanitoa jalalani.
Sasa hivi foreign minister anaogopa hata kumsogelea! Watashaurianaje? Uso wa Kabudi akiwa karibu na rais unaonyesha woga kama mwanafunzi mtoro mbele ya Headmaster, kuna ufanisi kweli hapo?
Awamu iliyojaa uoga na unafiki mtupu ndio maana vitu vingi havifanikiwi.
Ukweli mtupu !
 
Msilamu awamu ya tano kwa tatizo lolote lile kwani uozo Rais wa nchi ameukuta kama alivyokuta hapakuwa na nidhamu makazini, ufisidi wa viwanda na mashirika yote ya umma alituachia Baba wa Taifa, viongozi walikuwa wanapishana angani kama mbayumbayu kwenda nchi za nje, Nchi ilipouzwa kwa Oman/China 2014/2015 kwa miaka zaidi ya 100, kumbuka Mjeruma alitawala Tanganyika kwa miaka 30, Mwengereza(UK) miaka 40 lakini pwani yote ya Tz makao makuu yao yakiwa Bandari ya Bagamoyo, TISS ilikuwa wapi, uzalendo wa viongozi ulikuwa wapi? Kama siyo Rais Dr Magufuli kufutilia mbali mikataba ya “KIBEBERU” yaan viongozi wa Tz wakiwa ndo Mabeberu na siyo Wachina wala Wa Oman nchi ingekuwa chini ya himaya ya Oman kwa zaidi ya miaka 100!!!!!!!!
Huna lolote , Mshamba mkubwa weeee !!!!
 
Kichekesho kweli..inaonekana hujui unachoandika. Yaani unasema wanaipeleka dunia puta kwa maslahi ya mataifa yao. Si ni nyie ndio mlisema ripoti ya makinikia ni proffeserial rubbish na kwamba tutashtakiwa? We unadhani ile kazi ilifanywa na nani na maslahi ya nani?
 
Kati ya mambo mengi yanayonishangaza kuhusu taasisi hii ni pamoja na lila LA mwakilishi wake huko kigoma "kumpoteza" diwani hadi Leo!! Eti kwakuwa tu angeweza kumchallenge Rais!!!

Mungu wangu!! Laana ya damu isiyo na hatia itaitesa nchi hii muda mrefu sana!

Kumchallenge rais hupelekwi hata mahakamani!!! Taasisi wamejipa leseni ya kuua!!

Sasa hivi TISS macho na akili zote ni kusikiliza watu wanaomsema vibaya jiwe!! Kweli hapa tutegemee maendeleo katika nchi hii? Ni rais gani duniani asienangwa!?

Mambo ya maana ya kufuatilia nchi hii yako kibao, lkn wala hawajishulishi...!
 
Wapo wengi tu, TISS imepandikiza mamluki wengi sana kwenye vyama vya siasa, taasisi mbalimbali za Serikali na za binafsi, hasa ktk awamu hii.
Nasikia mpaka vyuo vikuu kuna wanafunzi maalum wanamulika yanayo endelea huko!!!! Wale wenzangu mimi tusiokua na kaba ndiyo hivyo tena.
 
Idara nyeti inapaswa kuwa na watu ambao brains zao zinacharge kweli kweli
Watu wenye upeo mkubwa kiakili na kinidhamu.

Idara inapaswa iwe na cream of the cream ya nchi

Siyo unachukua watu kwa milengo ya kisiasa matokeo yake hata analysis simple tu za mambo yanayojiri nchini hawawezi na hawana inputs zozote za maana!

Siyo lazima wachukue wenye madigrii tu bali wachukue watu bright kisha wawaendeleze, maana kuna watu hawakwenda shule za madarasani lakini wana akili kishenzi!

Kiukweli mambo yaliyokuwa yakifanyika nchini ndani ya miaka minne iliyopita utadhani yanapangwa na kufanywa na amateurs, kuanzia scripts za matukio feki ambazo raia siku hizi wanacheka tu!

Wewe imagine mtu anapiga picha kijijini kakaa na Jiwe anajifanya eti na yeye ni mmoja wa wazee masikini wa huko Chato kumbe ni.mmoja wa waambata wa Jiwe kwenye matukio mengine na picha zake zipo!

Eti mwanamama yuko hospitali anajifanya kumuomba raisi hela ya kukomboa maiti, halafu eti yuko peke yake na hakuwa cleared njiani anapopita rais, umewahi kuona wapi hii zaidi ya script?

Eti mtu anaenda bandarini na kisha kuokota vichwa vya treni

Vijana kufuatiliwa facebook kwa comment za maoni yao tu ya kisiasa na kupewa msoto mkali!

Unaenda kuandaa script ya maandamano kwenye ubalozi wa nchi nyingine kinyume cha protokali za Kidiplomasia duniani eti kushinikiza nchi iingilie mchakato wa madai yaliyoko mahakamani

Mambo gani haya ya ajabu kabisa!

TUNATAKA IDARA SMART, SHARP, JUST na YENYE KULINDA USALAMA WA NCHI KWANZA SIYO POLITICAL ambitions za MTU
Scrips ambazo mtoto wa sekondari anaweza zitambua.
 
My son drink Beer Nitalipa.
Kuna watu wanadhani kuondoka kwa mzee wangu wa Kanisa,TISS ndugu Kipilimba basi mambo yanaenda kubadilika na kuifanya idara hiyo ifanye kazi nzuri la hasha.

TISS bado ina safari ndefu mno ili iwe idara bora Kama zingine, recruitment ya TISS imejaa viroja na maajabu, tofauti na mashirika mengi ya kijasusi Duniani.

TISS imejaa kina "kamlete ",yaani watu wanaopewa ajira na ndugu zao kwa sababu ya ugumu wa maisha ya Bongo, hakuna usahili wa uhakika, madhara yake kumejaa ma agent ambao wakiona post Kama hii wanatamani wamkamate mtoa mada na kumpoteza.
Haina watu wazalendo kwa Taifa lao bali wazalendo wa chama tawala cha CCM chenye ndoto za kutawala Tanzania milele.

TISS haiwezi kumwajiri mwanachama wa CHADEMA au mpinzani yoyote bali Lazima awe mfia CCM na siyo mfia Tanzania.

Kazi kubwa za idara za kijasusi ni kuhakikisha nchi iko salama wakati wote na kuhakikisha hakuna umaskini ktk nchi kwa gharama yoyote ile.

Hongera zenu CIA, MI6, MOSSAD nyie ndo mnaipeleka Dunia puta kwa maslahi ya mataifa yenu, hamna muda na siasa.

Kazi ya idara ya usalama wa taifa ni kuwa loyal kwa nchi na si kwa wanasiasa...

INAENDELEA
 
Usalama wa Taifa wa Tz huwa wanaviloja mkuu, kuna mmoja nlikutana nae hospital ni pale Posta mtaa wa mtendeni kwa Dr. Hassanali. Jamaa kaja hospital kakuta foleni, kaona dah muda unaenda ntachelewa. Mwanawe ndo alikuwa anaumwa, basi jamaa likaamua kukunja sura likaenda mpaka pale mapokezi likajitambulisha kwa yule mdada kwa cheo chake cha usalama wa taifa. Yule msita akawa anamnyenyekea na watu tukaanza kumchora huyu bwana kumbe ni big huko majuu, lenyewe likaona sifa na upara wake
Hahahahahahahah wengine nasikia wakiwa kwenye vilaji ukiwazingua wanakwambia UNANIJUA MIMI NI NANI?,enzi za kina Mkapa na Mwinyi watu kama ilikuwa tunawasikia tuu ...
 
Back
Top Bottom