Part 1: TISS bado safari ngumu

Part 1: TISS bado safari ngumu

Sasa mkuu kwa uelewa wako unaona kuna kipi hapa kinachojadiliwa ambacho ni nyeti sana toka huko idarani?
Mimi naona ni ngonjera zisizo na maana
Ndio maana nikaandika hapo juu kuwa wasiotakiwa kujua kuhusu TISS wamejua kupitiliza ( kwamba wanajua yaliyo ya muhimu, ya kweli au ngonjera) huu unaweza kuwa mjadala mwingine.
Au Ni tabia tu ya Watanzania kujadili kila kitu bila kujali "authenticity" ya kinachojadiliwa.
Nakubaliana na wewe kwamba hakuna jambo nyeti ambalo linajadiliwa kwa sasa ukiacha "tetesi" za kuhusishwa kwa idara hii katika majaribio ya mauaji,utekaji na kupotezwa kwa watu.
 
Usalama wa Taifa wa Tz huwa wanaviloja mkuu, kuna mmoja nlikutana nae hospital ni pale Posta mtaa wa mtendeni kwa Dr. Hassanali. Jamaa kaja hospital kakuta foleni, kaona dah muda unaenda ntachelewa. Mwanawe ndo alikuwa anaumwa, basi jamaa likaamua kukunja sura likaenda mpaka pale mapokezi likajitambulisha kwa yule mdada kwa cheo chake cha usalama wa taifa. Yule msita akawa anamnyenyekea na watu tukaanza kumchora huyu bwana kumbe ni big huko majuu, lenyewe likaona sifa na upara wake
Mngelipiga makwenzi

Alaa yaani kuna Tiss mmoja aliniletea dharau

Baadae anamleta binti yake afanyiwe operation ananikuta mi ndo chief .... Na mashavu yangu yametuna

Hahaha nlicheka .... Sema wanazngua sana hawa maarifu
 
Naishi Australia, hapa hakuna vijiwe wala vilinge kila mtu yupo busy, ni bora ungekaa kimya kuliko kuonyesha ujinga wako humu, TISS kupeleka Majasusi upinzani wapate Taarifa za CHADEMA kuna faida gani kwa nchi? Kwa nini wasipeleke spies Japan wakaibe technology za kutengeneza magari ili nchi ipae kiuchumi, habari za Siri za CHADEMA zina maslahi gani kwa nchi?
Wewe ni zero brain kabisa, kwanza mada yangu hujaielewa, mtu mjinga Kama ulivyo wewe eti unakuta ni agent wa TISS, pathetic kabisa.
Dah kuna stori nilitaka niweke hapa

Ila ngoja nikae kimya ila Tiss wanazngua sana

Inshort intelligence za africa za kijinga sana
 
Kuna watu wanadhani kuondoka kwa mzee wangu wa Kanisa,TISS ndugu Kipilimba basi mambo yanaenda kubadilika na kuifanya idara hiyo ifanye kazi nzuri la hasha.

TISS bado ina safari ndefu mno ili iwe idara bora Kama zingine, recruitment ya TISS imejaa viroja na maajabu, tofauti na mashirika mengi ya kijasusi Duniani.

TISS imejaa kina "kamlete ",yaani watu wanaopewa ajira na ndugu zao kwa sababu ya ugumu wa maisha ya Bongo, hakuna usahili wa uhakika, madhara yake kumejaa ma agent ambao wakiona post Kama hii wanatamani wamkamate mtoa mada na kumpoteza.
Haina watu wazalendo kwa Taifa lao bali wazalendo wa chama tawala cha CCM chenye ndoto za kutawala Tanzania milele.

TISS haiwezi kumwajiri mwanachama wa CHADEMA au mpinzani yoyote bali Lazima awe mfia CCM na siyo mfia Tanzania.

Kazi kubwa za idara za kijasusi ni kuhakikisha nchi iko salama wakati wote na kuhakikisha hakuna umaskini ktk nchi kwa gharama yoyote ile.

Hongera zenu CIA, MI6, MOSSAD nyie ndo mnaipeleka Dunia puta kwa maslahi ya mataifa yenu, hamna muda na siasa.

Kazi ya idara ya usalama wa taifa ni kuwa loyal kwa nchi na si kwa wanasiasa...

INAENDELEA
Yerico Nyerere alishasema sana haya.
 
Kuna watu wanadhani kuondoka kwa mzee wangu wa Kanisa,TISS ndugu Kipilimba basi mambo yanaenda kubadilika na kuifanya idara hiyo ifanye kazi nzuri la hasha.

TISS bado ina safari ndefu mno ili iwe idara bora Kama zingine, recruitment ya TISS imejaa viroja na maajabu, tofauti na mashirika mengi ya kijasusi Duniani.

TISS imejaa kina "kamlete ",yaani watu wanaopewa ajira na ndugu zao kwa sababu ya ugumu wa maisha ya Bongo, hakuna usahili wa uhakika, madhara yake kumejaa ma agent ambao wakiona post Kama hii wanatamani wamkamate mtoa mada na kumpoteza.
Haina watu wazalendo kwa Taifa lao bali wazalendo wa chama tawala cha CCM chenye ndoto za kutawala Tanzania milele.

TISS haiwezi kumwajiri mwanachama wa CHADEMA au mpinzani yoyote bali Lazima awe mfia CCM na siyo mfia Tanzania.

Kazi kubwa za idara za kijasusi ni kuhakikisha nchi iko salama wakati wote na kuhakikisha hakuna umaskini ktk nchi kwa gharama yoyote ile.

Hongera zenu CIA, MI6, MOSSAD nyie ndo mnaipeleka Dunia puta kwa maslahi ya mataifa yenu, hamna muda na siasa.

Kazi ya idara ya usalama wa taifa ni kuwa loyal kwa nchi na si kwa wanasiasa...

INAENDELEA

Mkuu, una hoja ila uache kuongelea hili suala kishabiki.

Uwe "objective" ili kila mtu akuelewe kwa uzuri.

Kumbuka hii waita Part 1 na utaleta Part 2

Sie twasubiri madini.
 
TISS ina matatizo makubwa sana tofauti na watu wengi wanavyofikiri.

Tatizo kubwa kabisa linaloifanya TISS kuonekana kuwa ni taasisi ya hovyo, isiyofaa NA kuonekana kuwa ni taasisi ambayo ni adui mkubwa wa umma wa Tz ni kutokana na Sheria anzilishi ya Taasisi hii, pamoja na Sheria zingine, kanuni, na Miongozo inayotumika ktk kuendesha shughuli za kila siku za taasisi yenyewe.

Sheria na Kanuni zinazosimamia TISS ni mbaya, zimepitwa NA wakati, hazilengi ktk kuikomboa nchi hii na wananchi wake wote KWA ujumla kutokana na vitisho mbalimbali vya kiusalama pamoja na kuikomboa nchi na watu wake kutoka kwenye janga kubwa LA umaskini KWA kufanya UJASUSI wa Kiuchumi.

Kutokana na Sheria na Kanuni zilizopo, TISS inalazimika kuwa ni taasisi ya Kumlinda Rais, Urais, Viongozi wa Serikali, hasa wa nyadhifa za juu tu pamoja Serikali yenyewe, pamoja na Chama Tawala kilichopo Madarakani, basi.Hivyo basi, hata akiajiriwa nani ndani ya taasisi hii ya TISS anajikuta analazimika kutii kwa lazima matwaka haya ya Sheria ya Kulinda NA kutetea maslahi ya Viongozi wa Serikali tu na ya Chama Tawala kilichopo madarakani badala ya Kulinda NA Kuitetea Maslahi Mapana ya Umma wa wananchi wa Tz.
kwa maelezo haya tiss ni kama chama cha ccm tu.
 
Hizi kweli ni stori za Vijiweni
1. Afisa wa TISS huwa hajitanbulishi popote hata kwa mwenza wake wala wanawe. Katika mazingira yoyote Yale hawezi kujitamulisha kwa cheo wala kazi yake bali kazi mbadala
2. Huwa wana marafiki katika sehemu mbalimbali za huduma ambako hawafahamiki kama TISS hivyo anaweza kufanikisha matibabu kwa mwanae bila foleni wala kubembeleza mapokezi.
3. Kama Ulikuwa kwenye foleni naye akapitilisha kwenda mapokezi, sio rahisi utambue alivyojitambulisha
Ndo hivyo sasa, mtoa mada amesema TISS ya sasa hivi imekuwa ya hovyo... U-Hovyo wenyewe ndo huo wa kujitambulisha...

Mi jamaa mingi ya TISS tuko nayo baa inakunywa hovyo na kulewa hovyo na kuanza kuropoka ropoka... si tuko na nyie huku mitaani...??? Ndio maana tunasema weledi wa recruitment umepungua, matoke yake huko TISS wamejaa vijana wa Lumumba FC Barcelona

Ahsanta
 
Idara nyeti inapaswa kuwa na watu ambao brains zao zinacharge kweli kweli
Watu wenye upeo mkubwa kiakili na kinidhamu.

Idara inapaswa iwe na cream of the cream ya nchi

Siyo unachukua watu kwa milengo ya kisiasa matokeo yake hata analysis simple tu za mambo yanayojiri nchini hawawezi na hawana inputs zozote za maana!

Siyo lazima wachukue wenye madigrii tu bali wachukue watu bright kisha wawaendeleze, maana kuna watu hawakwenda shule za madarasani lakini wana akili kishenzi!

Kiukweli mambo yaliyokuwa yakifanyika nchini ndani ya miaka minne iliyopita utadhani yanapangwa na kufanywa na amateurs, kuanzia scripts za matukio feki ambazo raia siku hizi wanacheka tu!

Wewe imagine mtu anapiga picha kijijini kakaa na Jiwe anajifanya eti na yeye ni mmoja wa wazee masikini wa huko Chato kumbe ni.mmoja wa waambata wa Jiwe kwenye matukio mengine na picha zake zipo!

Eti mwanamama yuko hospitali anajifanya kumuomba raisi hela ya kukomboa maiti, halafu eti yuko peke yake na hakuwa cleared njiani anapopita rais, umewahi kuona wapi hii zaidi ya script?

Eti mtu anaenda bandarini na kisha kuokota vichwa vya treni

Vijana kufuatiliwa facebook kwa comment za maoni yao tu ya kisiasa na kupewa msoto mkali!

Unaenda kuandaa script ya maandamano kwenye ubalozi wa nchi nyingine kinyume cha protokali za Kidiplomasia duniani eti kushinikiza nchi iingilie mchakato wa madai yaliyoko mahakamani

Mambo gani haya ya ajabu kabisa!

TUNATAKA IDARA SMART, SHARP, JUST na YENYE KULINDA USALAMA WA NCHI KWANZA SIYO POLITICAL ambitions za MTU
We jamaa una akili kinoma bana
Me nakupa dada yangu
 
Naishi Australia, hapa hakuna vijiwe wala vilinge kila mtu yupo busy, ni bora ungekaa kimya kuliko kuonyesha ujinga wako humu, TISS kupeleka Majasusi upinzani wapate Taarifa za CHADEMA kuna faida gani kwa nchi? Kwa nini wasipeleke spies Japan wakaibe technology za kutengeneza magari ili nchi ipae kiuchumi, habari za Siri za CHADEMA zina maslahi gani kwa nchi?
Wewe ni zero brain kabisa, kwanza mada yangu hujaielewa, mtu mjinga Kama ulivyo wewe eti unakuta ni agent wa TISS, pathetic kabisa.
Na wewe usitubabaishe na Australia yako.Kujua Siri za chama hujui maana yake? Kama chadema mfano inataka kupindua nchi kwa kumwaga damu za watanzania unataka TISS wasijue? au chadema Ina kikundi Cha magaidi wa kimataifa wenye mpango wa kutaka kulipua Australia unataka TISS wasijue eti ohhh huko kila mtu Yuko busy ya vyama hayawahusu uongo mtupu kweli maskini akipata shida hadi marekani wanajua Kuna vyama vya siasa vya kigaidi nchi zingine na wanaviweka kwenye list kabisa.Chadema na vyama vyote vya siasa pote duniani hawakuwepi.mikono ya TISS hata huko Australia lazima wawemo kwenye vyama.Australia Austaralia ha ha ha ha!!!!! Mtu uko buguruni kwa kimbegele unajitia uko Australia
 
Idara nyeti inapaswa kuwa na watu ambao brains zao zinacharge kweli kweli
Watu wenye upeo mkubwa kiakili na kinidhamu.

Idara inapaswa iwe na cream of the cream ya nchi

Siyo unachukua watu kwa milengo ya kisiasa matokeo yake hata analysis simple tu za mambo yanayojiri nchini hawawezi na hawana inputs zozote za maana!

Siyo lazima wachukue wenye madigrii tu bali wachukue watu bright kisha wawaendeleze, maana kuna watu hawakwenda shule za madarasani lakini wana akili kishenzi!

Kiukweli mambo yaliyokuwa yakifanyika nchini ndani ya miaka minne iliyopita utadhani yanapangwa na kufanywa na amateurs, kuanzia scripts za matukio feki ambazo raia siku hizi wanacheka tu!

Wewe imagine mtu anapiga picha kijijini kakaa na Jiwe anajifanya eti na yeye ni mmoja wa wazee masikini wa huko Chato kumbe ni.mmoja wa waambata wa Jiwe kwenye matukio mengine na picha zake zipo!

Eti mwanamama yuko hospitali anajifanya kumuomba raisi hela ya kukomboa maiti, halafu eti yuko peke yake na hakuwa cleared njiani anapopita rais, umewahi kuona wapi hii zaidi ya script?

Eti mtu anaenda bandarini na kisha kuokota vichwa vya treni

Vijana kufuatiliwa facebook kwa comment za maoni yao tu ya kisiasa na kupewa msoto mkali!

Unaenda kuandaa script ya maandamano kwenye ubalozi wa nchi nyingine kinyume cha protokali za Kidiplomasia duniani eti kushinikiza nchi iingilie mchakato wa madai yaliyoko mahakamani

Mambo gani haya ya ajabu kabisa!

TUNATAKA IDARA SMART, SHARP, JUST na YENYE KULINDA USALAMA WA NCHI KWANZA SIYO POLITICAL ambitions za MTU
Usalama wenye nguvu uaotaka wewe ni ndoto kuupata maana CCM itakufa na wajaza matumbo watakufaa njaa hilo haliwezi kutokea kirahisi.
 
Na wewe usitubabaishe na Australia yako.Kujua Siri za chama hujui maana yake? Kama chadema mfano inataka kupindua nchi kwa kumwaga damu za watanzania unataka TISS wasijue? au chadema Ina kikundi Cha magaidi wa kimataifa wenye mpango wa kutaka kulipua Australia unataka TISS wasijue eti ohhh huko kila my Yuko busy ya vyama hayawahusu uongo mtupu kweli maskini akipata shida hadi marekani wanajua Kuna vyama vya siasa vya kigaidi nchi zingine na wanaviweka kwenye list kabisa.Chadema na vyama vyote vya siasa pote duniani hawakuwepo.mikono ya TISS hata huko Australia lazima wawemo kwenye vyama.Australia Austaralia ha ha ha ha!!!!! Mtu uko buguruni kwa kimbegere unajitia uko Australia
Hakuna lolote makachero waliotumwa chadema badala wafatilie mambo kama hayo uliyotaja yenye kuathiri ustawi wa taifa( which is good) wao kule ni kwenda kukidhofisha chama, kujua siri za nani anaenda kuwa mwenyekiti au katibu ,kwemda kufatilia Heche atafanya mkutano lini na wanannchi wake. Mavi matupu.
 
Miundo ya vyombo vyetu karibu vyote vya usalama viko chini ya Utawala wa kisiasa. Mnayoyataka hayawezekani.

Rais, Wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya,
Viko kulinda maadui wa ndani zaidi ya external expansion. Na pia viko vichache.

Haya yafanyike. Kama tunataka mabadiliko ya haraka.

1. Unda TISS ibaki na mambo ya ndani tu ( isiwe idara ndani ya idara
2. TISS nje, independent
3. Halafu tuwe Tanzania National Into. Agency ( TNIA) iunge zote hizo pamoja na za Jeshi, etc. Hizi ziwe na mifumo yao ya mafunzo, ziwe na uwezo wa kuchunguza yeyote, na ziondokane na ujinga ujinga wa kitu kinaitwa kamati za usalama za mikoa, sijui wilaya, etc. Zibaki kupiga kazi



TISS ina matatizo makubwa sana tofauti na watu wengi wanavyofikiri.

Tatizo kubwa kabisa linaloifanya TISS kuonekana kuwa ni taasisi ya hovyo, isiyofaa NA kuonekana kuwa ni taasisi ambayo ni adui mkubwa wa umma wa Tz ni kutokana na Sheria anzilishi ya Taasisi hii, pamoja na Sheria zingine, kanuni, na Miongozo inayotumika ktk kuendesha shughuli za kila siku za taasisi yenyewe.

Sheria na Kanuni zinazosimamia TISS ni mbaya, zimepitwa NA wakati, hazilengi ktk kuikomboa nchi hii na wananchi wake wote KWA ujumla kutokana na vitisho mbalimbali vya kiusalama pamoja na kuikomboa nchi na watu wake kutoka kwenye janga kubwa LA umaskini KWA kufanya UJASUSI wa Kiuchumi.

Kutokana na Sheria na Kanuni zilizopo, TISS inalazimika kuwa ni taasisi ya Kumlinda Rais, Urais, Viongozi wa Serikali, hasa wa nyadhifa za juu tu pamoja Serikali yenyewe, pamoja na Chama Tawala kilichopo Madarakani, basi.Hivyo basi, hata akiajiriwa nani ndani ya taasisi hii ya TISS anajikuta analazimika kutii kwa lazima matwaka haya ya Sheria ya Kulinda NA kutetea maslahi ya Viongozi wa Serikali tu na ya Chama Tawala kilichopo madarakani badala ya Kulinda NA Kuitetea Maslahi Mapana ya Umma wa wananchi wa Tz.
 
Umejihangaisha kumjibu bure, kwenye majukumu ya TISS hilo la kuvifanyia surveillance vyama vya upinzani haimo.

Huyo ndo Kati yao, Lumumba buku7
Hebu rudia kusoma huo ujinga wako ulioandika
 
Kuna watu wanadhani kuondoka kwa mzee wangu wa Kanisa,TISS ndugu Kipilimba basi mambo yanaenda kubadilika na kuifanya idara hiyo ifanye kazi nzuri la hasha.

TISS bado ina safari ndefu mno ili iwe idara bora Kama zingine, recruitment ya TISS imejaa viroja na maajabu, tofauti na mashirika mengi ya kijasusi Duniani.

TISS imejaa kina "kamlete ",yaani watu wanaopewa ajira na ndugu zao kwa sababu ya ugumu wa maisha ya Bongo, hakuna usahili wa uhakika, madhara yake kumejaa ma agent ambao wakiona post Kama hii wanatamani wamkamate mtoa mada na kumpoteza.
Haina watu wazalendo kwa Taifa lao bali wazalendo wa chama tawala cha CCM chenye ndoto za kutawala Tanzania milele.

TISS haiwezi kumwajiri mwanachama wa CHADEMA au mpinzani yoyote bali Lazima awe mfia CCM na siyo mfia Tanzania.

Kazi kubwa za idara za kijasusi ni kuhakikisha nchi iko salama wakati wote na kuhakikisha hakuna umaskini ktk nchi kwa gharama yoyote ile.

Hongera zenu CIA, MI6, MOSSAD nyie ndo mnaipeleka Dunia puta kwa maslahi ya mataifa yenu, hamna muda na siasa.

Kazi ya idara ya usalama wa taifa ni kuwa loyal kwa nchi na si kwa wanasiasa...

INAENDELEA
Labda wale wasiotakiwa kujulikana wajulikane ''i.e unknown criminals''
 
Mambo yamebadilika sana yaani watu tunajadili masuala ya TISS rahisi rahisi tu 😁.
Miaka ile ya akina mzee Apson unaweza kukaa hata mwaka mzima na usikutane na habari ya TISS.
Walau miaka ya mzee wangu mzanzibar Othuman na msaidizi Balozi Jack Zoka tulikuwa tunasikia habari za idara walau Mara mbili kwa mwaka lakini miaka hii kila siku tunajadili TISS.
Sisemi kuwa ni jambo baya lakini kwa asili ya idara yenyewe na mambo yanayojadiliwa nadhani aidha idara imekuwa wazi sana au wasiotakiwa kujua masuala ya TISS basi wamejua habari nyingi kupitiliza.
Ufanisi wa idara hizi popote duniani umejengwa kwenye "usiri wa kutotabirika" kwenye mipango yake na mfumo wake wa kiutendaji.
Achana na hizo old ideologies miaka ya 90 mgejadilia wapi?? kwenye magazeti?? au kwenye redio au kwenye mkutano?? Unashindwa kujua kuwa teknolojia imetukusanya pamoja watu wa aina mbali mabli na wenye kada mbali mbali na kwa pamoja na kwa ya muda huohuo tunajadili??

Watu kama nyie ndio mliokuwa watumishi wa TISS chini ya Zoka na Huyo Othmani ambao hata akili ndogo tu hamna, ila mnashangaa watu kujadili TISS ambayo hata sheria yake iko wazi na inajadirika. Kweli TISS yenu ilikuwa ya hovyo sana.
 
Back
Top Bottom