Kampuni yenye unafuu wa gharama.
Kwanza turejee kwenye tittle: "Parcel from UK to Tanzania. Kampuni gani inasafirisha haraka?"
Pili tulejee kwenye huu mstari: "Kampuni yenye unafuu wa gharama."
- Hakuna kampuni ambayo ni "nafuu na haraka"
- Sababu haraka huenda sambamba na gharama kubwa , si nafuu.
Je unaposema "haraka " una maanisha minimum siku ngapi? ,
Sidhani kamam kuna kampuni nyingine zaidi ya DHL hapo tunazungumzia mzigo kukufikia toka UK ndani ya saa 72.
Ukubwa wa mzigo vipi?, Hii taarifa muhimu ili kupata recommendation sahihiNa zisiwe hizo giant companies such as DHL, FedEx, and the like. Hizi hapana!
Kc global links ya chris lukosi mzee wa makinikia