Papa mpya Robert Prevost kachaguliwa kimkakati

Papa mpya Robert Prevost kachaguliwa kimkakati

Kanisa takatifu la mitume wa kwanza mashoga.....
Saint Sergis na Saint Bacchu....

1746750412543.png
 
Ukizingatia maana na asili ya neno catholic, sioni ajabu kwa yanayofanyika ,kwani hili linaloitwa kanisa takatifu ni serikali inayojua nini inafanya,kama wewe ni mfuatiliaji kuna mzuri utagundua the roman catholic church imefanya blasphemy nyingi tokea miaka ya zamani mpaka kesho jioni . Ukisoma THE GREAT ENCYCLICAL LETTERS OF
POPE LEO XIII.

Chapter: THE REUNION OF CHRISTENDOM (page 303-307)
utaona jinsi gani kanisa hili lisivyo husiana kabisa na Mungu wa kweli badala yake linapotosha watu.
 
Ushaambiwa ndiye alikua mshauri mkuu WA papa Francis, Hata ajenda za ushoga alizokua alizitamka Kila mara, tunapaswa kuamini aliemshauri ni yeye.

Maana hakuwai kujiuzulu wadhfa wake (Kama mshauri mkuu) Wala kuzikemea Kwa cheo chake kingine (Kama kiongozi mkuu wa makardinari)
Tunapaswa kuamini? Said who?
Zile zilikuwa kauli binafsi za pope si msimamo wa kanisa katoliki.
kila pope huwa ana characters zake na agenda zake
 
Ukizingatia maana na asili ya neno catholic, sioni ajabu kwa yanayofanyika ,kwani hili linaloitwa kanisa takatifu ni serikali inayojua nini inafanya,kama wewe ni mfuatiliaji kuna mzuri utagundua the roman catholic church imefanya blasphemy nyingi tokea miaka ya zamani mpaka kesho jioni . Ukisoma ENCYCLICAL OF POPE LEO XIII utaona jinsi gani kanisa hili lisivyo husiana kabisa na Mungu wa kweli badala yake linapotosha watu.
Kanisa lipi ambalo watumish wake hawana record chafu?
 
Kwa kuangalia cv ya papa mpya, Cardinali Robert provost Toka marekani.

Ndiye ndiye aliekua mshauri mkuu WA papa Francis aliefariki, na wakatoriki duniani kote tunakumbuka vema papa Francis aliefariki alivokua akitoa kauli tata Sana kuhusu ajenda zinazohusu mashoga na ushoga kiujumla.

Na kwa kuzingatia msimamo thabiti WA papa aliefariki kwenye ajenda hizo, Basi Tutajua kabisa mshauri wake mkuu alikua ni mtu namna gani, ukzingatia marekani (atokako) majimbo mengi ishu za mashoga na ushoga vimeruhusiwa rasmi.

Binafsi Kama mkatoriki mzalendo, baada ya uchaguzi huu nafasi yangu imekosa Nuru kabisa, na Moja Kwa Moja najua hapa, kanisa katoriki Africa tumepigwa tena.

KIUHALISIA,
Huyu papa LEO XIV Anakuja Kuendeleza alikoishia papa Francis aliefariki, yaani kuhalalisha Ushoga na kubariki mashoga.

Nimeamini, Masupa pawa (maboss WA New world order) wakishaamua jambo lao, ni ngumu Sana sisi (shit hole countries) kuchomoka.

TUMEKAMATIKA TENA😢
Mlishaambiwa hizi dini si zetu tumeletewa tu ili kuchezewa akili lakini bado tu hamtaki kujitambua. Imagine Mwafrika unajiita Mkristu ama Muislam ili iweje, hivi hamuoni haibu kweli?
 
Kwa kuangalia cv ya papa mpya, Cardinali Robert provost Toka marekani.

Ndiye ndiye aliekua mshauri mkuu WA papa Francis aliefariki, na wakatoriki duniani kote tunakumbuka vema papa Francis aliefariki alivokua akitoa kauli tata Sana kuhusu ajenda zinazohusu mashoga na ushoga kiujumla.

Na kwa kuzingatia msimamo thabiti WA papa aliefariki kwenye ajenda hizo, Basi Tutajua kabisa mshauri wake mkuu alikua ni mtu namna gani, ukzingatia marekani (atokako) majimbo mengi ishu za mashoga na ushoga vimeruhusiwa rasmi.

Binafsi Kama mkatoriki mzalendo, baada ya uchaguzi huu nafasi yangu imekosa Nuru kabisa, na Moja Kwa Moja najua hapa, kanisa katoriki Africa tumepigwa tena.

KIUHALISIA,
Huyu papa LEO XIV Anakuja Kuendeleza alikoishia papa Francis aliefariki, yaani kuhalalisha Ushoga na kubariki mashoga.

Nimeamini, Masupa pawa (maboss WA New world order) wakishaamua jambo lao, ni ngumu Sana sisi (shit hole countries) kuchomoka.

TUMEKAMATIKA TENA😢

Mimi nilifikiri Papa anachaguliwa na Yesu, sasa Yesu amechagua kimkakati? Kwq huyo unasema Africa mmepigwa na Yesu au?

Scam
 
Kwa kuangalia cv ya papa mpya, Cardinali Robert provost Toka marekani.

Ndiye ndiye aliekua mshauri mkuu WA papa Francis aliefariki, na wakatoriki duniani kote tunakumbuka vema papa Francis aliefariki alivokua akitoa kauli tata Sana kuhusu ajenda zinazohusu mashoga na ushoga kiujumla.

Na kwa kuzingatia msimamo thabiti WA papa aliefariki kwenye ajenda hizo, Basi Tutajua kabisa mshauri wake mkuu alikua ni mtu namna gani, ukzingatia marekani (atokako) majimbo mengi ishu za mashoga na ushoga vimeruhusiwa rasmi.

Binafsi Kama mkatoriki mzalendo, baada ya uchaguzi huu nafasi yangu imekosa Nuru kabisa, na Moja Kwa Moja najua hapa, kanisa katoriki Africa tumepigwa tena.

KIUHALISIA,
Huyu papa LEO XIV Anakuja Kuendeleza alikoishia papa Francis aliefariki, yaani kuhalalisha Ushoga na kubariki mashoga.

Nimeamini, Masupa pawa (maboss WA New world order) wakishaamua jambo lao, ni ngumu Sana sisi (shit hole countries) kuchomoka.

TUMEKAMATIKA TENA😢
Tatizo hili… mnaweka siasa kila sehemu

Catholic Church is not the biggest kibwegebwege… na kamwe haliendi Kwa namna unavyotaka

Values zake, procedures zako na malengo ya miaka 2000 ijayo ni zaidi ya Siri na yamini
 
Kwa kuangalia cv ya papa mpya, Cardinali Robert provost Toka marekani.

Ndiye ndiye aliekua mshauri mkuu WA papa Francis aliefariki, na wakatoriki duniani kote tunakumbuka vema papa Francis aliefariki alivokua akitoa kauli tata Sana kuhusu ajenda zinazohusu mashoga na ushoga kiujumla.

Na kwa kuzingatia msimamo thabiti WA papa aliefariki kwenye ajenda hizo, Basi Tutajua kabisa mshauri wake mkuu alikua ni mtu namna gani, ukzingatia marekani (atokako) majimbo mengi ishu za mashoga na ushoga vimeruhusiwa rasmi.

Binafsi Kama mkatoriki mzalendo, baada ya uchaguzi huu nafasi yangu imekosa Nuru kabisa, na Moja Kwa Moja najua hapa, kanisa katoriki Africa tumepigwa tena.

KIUHALISIA,
Huyu papa LEO XIV Anakuja Kuendeleza alikoishia papa Francis aliefariki, yaani kuhalalisha Ushoga na kubariki mashoga.

Nimeamini, Masupa pawa (maboss WA New world order) wakishaamua jambo lao, ni ngumu Sana sisi (shit hole countries) kuchomoka.

TUMEKAMATIKA TENA😢
mungu akusamehe kwa kuwa ujui usemalo..Papa ana wasaidizi /washauri zaidi ya 10.Na akuna ishu ya katoliki kukumbatia Ushoga.na wala Katoliki awana na awabariki Ushoga na aitotokea kama vile kuja kuwa na Mapadre wa kike au mapadre kuja kuoa...Ni mapema mno kumuhukumu huyu new pope tumpe muda
 
Kwa kuangalia cv ya papa mpya, Cardinali Robert provost Toka marekani.

Ndiye ndiye aliekua mshauri mkuu WA papa Francis aliefariki, na wakatoriki duniani kote tunakumbuka vema papa Francis aliefariki alivokua akitoa kauli tata Sana kuhusu ajenda zinazohusu mashoga na ushoga kiujumla.

Na kwa kuzingatia msimamo thabiti WA papa aliefariki kwenye ajenda hizo, Basi Tutajua kabisa mshauri wake mkuu alikua ni mtu namna gani, ukzingatia marekani (atokako) majimbo mengi ishu za mashoga na ushoga vimeruhusiwa rasmi.

Binafsi Kama mkatoriki mzalendo, baada ya uchaguzi huu nafasi yangu imekosa Nuru kabisa, na Moja Kwa Moja najua hapa, kanisa katoriki Africa tumepigwa tena.

KIUHALISIA,
Huyu papa LEO XIV Anakuja Kuendeleza alikoishia papa Francis aliefariki, yaani kuhalalisha Ushoga na kubariki mashoga.

Nimeamini, Masupa pawa (maboss WA New world order) wakishaamua jambo lao, ni ngumu Sana sisi (shit hole countries) kuchomoka.

TUMEKAMATIKA TENA😢
Hatukumuelewa Trump alipost kavaa vazi la papa ila baada ya hili tendo tumemuelewa kwanini alipost vile
 
Kwa kuangalia cv ya papa mpya, Cardinali Robert provost Toka marekani.

Ndiye ndiye aliekua mshauri mkuu WA papa Francis aliefariki, na wakatoriki duniani kote tunakumbuka vema papa Francis aliefariki alivokua akitoa kauli tata Sana kuhusu ajenda zinazohusu mashoga na ushoga kiujumla.

Na kwa kuzingatia msimamo thabiti WA papa aliefariki kwenye ajenda hizo, Basi Tutajua kabisa mshauri wake mkuu alikua ni mtu namna gani, ukzingatia marekani (atokako) majimbo mengi ishu za mashoga na ushoga vimeruhusiwa rasmi.

Binafsi Kama mkatoriki mzalendo, baada ya uchaguzi huu nafasi yangu imekosa Nuru kabisa, na Moja Kwa Moja najua hapa, kanisa katoriki Africa tumepigwa tena.

KIUHALISIA,
Huyu papa LEO XIV Anakuja Kuendeleza alikoishia papa Francis aliefariki, yaani kuhalalisha Ushoga na kubariki mashoga.

Nimeamini, Masupa pawa (maboss WA New world order) wakishaamua jambo lao, ni ngumu Sana sisi (shit hole countries) kuchomoka.

TUMEKAMATIKA TENA😢
Pole mvàa kobazi unateseka ukiwa wapi?

PAPA MPYA ni sahibi , Trump suala la usboga alishalipinga na amewafukuza KAZI wote waliobadili jinsia.

Na Trump amesema anataka kuurejesha ukristo marekani na misingi yake.

Lakini papa mpya ambae anatoka marekani ataweza pia kumshawishi Trump aingilie kati huko Nigeria kwani Kila mwezi mapadre wanauliwa.

Hivyo papa mpya atakuwa na mvutio kwa Trump ili aweze kuingilia suala la Amani kwa wakristo huko Nigeria.

Pole sana mvàa makobazi.
 
Papa mpya amechaguliwa ataisema ajenda yake within the next few days.
Lakini wewe mwenzetu umeshajua Papa atafanya nini hata kabla hajaongea.
Kama akisema ushoga ni jambo zuri sana,basi tena,kwa sababu sasa tumeshazoea hawa viongozi wa juu kabisa wa Dini kusema mambo ya ajabu.
Kwa hiyo akili kichwani kwako,bwana.
Ah yes,naona hapa maneno hayaishi.
Huyu Cardinali inasemekana kwamba aliwahi kupuuzia sex scandal zilipotokea.
Lakini sasa hivi kuna Trade War duniani ambayo imeanzishwa na Trump. Mi naona kumchagua American Pope wakati huu ni apt.

Raymond Arroyo anasema Cardinals 108 kati ya wale 133 waliokuwa wanapiga kura wamechaguliwa na Pope Francis,kwa hiyo,wataendeleza sera za Pope Francis.
Halafu kuna tatizo la hela: deficit ya $2 billion katika Kanisa
$400,000,000 in pensions kwa hiyo makadinali kutoka Africa na sehemi zingine wakaona tumlete huyu Mmarekani labda itasaidia..

Anapinga homosexuality.
Nadhani hivyo ndivyo alivyopata broad support from the third world countries.
 
Njoo uvae abaya,achana na wahuni wanaojipa utakatifu wakati Wana dhambi kedekede,papa aliyefariki alikua baunsa wa night club huko Bueno saires argentina,akaleta mambo ya night club vatican kwa kushajiisha uchoko
Aliyekamilika ni Mungu peke yake watu hudhani mitume na manabii ,zamani hawakuwa na dhambi mtizame hata Daudi tu kama case study ..... Wewe mwenyewe umekamilik?
 
Back
Top Bottom