Status
Not open for further replies.
ametumia mkurupuko kuleta bandiko
Uzi wake ni zile nyuzi za unaambiwa, amini usiamini, nilisikia kuwa kwamba
20231003_120954.jpg
 
Nafikiri huu ndio wakati wa wakatoliki kusilimu au kurejea kwenye dini za mababu.

Sisemi kuwa miongoni mwa waislamu hakuwa watu wanao fanya mambo hayo? La haha! Mambo hayo yanafanywa na watu wa dini zote wakristu kwa waislamu. Tatizo ni pale taasisi kama taasisi ya kidini inapo yatambua mapenzi ya namna hiyo.

Poleni sana wakatoliki.

====


"Hatuwezi kuwahukumu ambao wanakanusha tu, kukataa na kuwatenga,"

Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis amependekeza kuwa atakuwa tayari kuona Kanisa Katoliki likibariki wapenzi wa jinsia moja.

Akijibu kundi la makadinali waliomuomba ufafanuzi juu ya suala hilo, alisema ombi lolote la baraka linapaswa kushughulikiwa na "hisani ya kichungaji".

Aliongeza, hata hivyo, Kanisa Katoliki bado linachukulia uhusiano wa jinsia moja "kuwa dhambi" na halitatambua ndoa za jinsia moja.

Ombi hilo lilikuwa mojawapo ya maombi yaliyotumwa kwa Papa kabla ya mkutano wa kimataifa wa wiki nzima kujadili mustakabali wa Kanisa unaotarajiwa kuanza mjini Vatican siku ya Jumatano.

Katika Kanisa Katoliki, baraka ni maombi au ombi, ambalo kwa kawaida hutolewa na kiongozi wa kiroho, akimwomba Mungu amtazame mtu au watu wanaobarikiwa.

BBC
umetumia mkurupuko wa 5G kuleta bandiko la upotoshaji kutoka kwenye chanzo na mwandishi potoshi.

nimesoma mara 13 kuona nukuu ya kuruhusu jambo hilo.

Naona msukumo wa kipepo ndani yako ama unatamani kua miongoni mwa wanajamii wa jinsia moja?

na sasa unatafuta uungwaji mkono?
 
Leta hata ushahidi basi iwe website link, picha au screenshot kusudi utuamshe hisia kali za kuchangia vitu heavy....
barua hii hapa aliyotumiwa na ma cardinal watano akiulizwa maswali mbali mbali ikiwemo hilo la ndoa za jinsia moja, pamoja na majibu yake

nimeweka na ya kiswahili ila sijui kama itaeleweka vizuri nimetumia google translate
 

Attachments

  • rc_con_cfaith_risposta-dubia-2023 (1).docx
    93.6 KB · Views: 1
  • rc_con_cfaith_risposta-dubia-2023 (1) (1).docx
    93.3 KB · Views: 1
mimi nadhani pope amezeeka vibaya, 2021 alipinga ila saivi amebadilika.

amependekeza lakini, sio kwamba ndo kapitisha rasmi
Wala hajapendekeza. Fuatilieni habari kwa undani na upana wake. Kasema, tena karudia kauli yake ya awali kuwa tusiwatenge wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja. Tena ikiwezekana tuwape baraka maana ni wakosaji.

Maana yake ni kuwa mwenye dhambi asitengwe na apewe ushirikiano ktk harakati za kuondoka dhambini.
 
umetumia mkurupuko wa 5G kuleta bandiko la upotoshaji kutoka kwenye chanzo na mwandishi potoshi.

nimesoma mara 13 kuona nukuu ya kuruhusu jambo hilo.

Naona msukumo wa kipepo ndani yako ama unatamani kua miongoni mwa wanajamii wa jinsia moja?

na sasa unatafuta uungwaji mkono?
BBC na wao picha waliyoweka ikiwa na heading "Kabisa katoliki kubariki ndoa za jibsia moja " nao wamekurupuka ?
 
Nafikiri huu ndio wakati wa wakatoliki kusilimu au kurejea kwenye dini za mababu.

Sisemi kuwa miongoni mwa waislamu hakuwa watu wanao fanya mambo hayo? La haha! Mambo hayo yanafanywa na watu wa dini zote wakristu kwa waislamu. Tatizo ni pale taasisi kama taasisi ya kidini inapo yatambua mapenzi ya namna hiyo.

Poleni sana wakatoliki.

====


"Hatuwezi kuwahukumu ambao wanakanusha tu, kukataa na kuwatenga,"

Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis amependekeza kuwa atakuwa tayari kuona Kanisa Katoliki likibariki wapenzi wa jinsia moja.

Akijibu kundi la makadinali waliomuomba ufafanuzi juu ya suala hilo, alisema ombi lolote la baraka linapaswa kushughulikiwa na "hisani ya kichungaji".

Aliongeza, hata hivyo, Kanisa Katoliki bado linachukulia uhusiano wa jinsia moja "kuwa dhambi" na halitatambua ndoa za jinsia moja.

Ombi hilo lilikuwa mojawapo ya maombi yaliyotumwa kwa Papa kabla ya mkutano wa kimataifa wa wiki nzima kujadili mustakabali wa Kanisa unaotarajiwa kuanza mjini Vatican siku ya Jumatano.

Katika Kanisa Katoliki, baraka ni maombi au ombi, ambalo kwa kawaida hutolewa na kiongozi wa kiroho, akimwomba Mungu amtazame mtu au watu wanaobarikiwa.

BBC
😂😂😂😂😂 RC Kanisa la wasengerema 😁😁😁😁😁
 
Haviendani hata kidogo na nilichosema. Kanisa limeweka bayana kuwa mapenzi ya jinsia moja ni dhambi na halitambui ndoa za jinsia moja. Wanaihitaji baraka koz uenda wakabadili mienendo yao na kurudi ktk njia iliyonyooka.
Mkuu Acha zako bhna ubadili mwenendo kwa kupewa Baraka Ya kuozeshwa?...

Mkuu hiyo ni psychology ya aina gani.? Kupromote uovu kwamba unaweza ukaisha...

Kama ndiyo mawazo ya Papa hayo nasema kuwa washauri wake wa psychology wmemdanganya...
Huwezi kuruhusu Utumiaji wa mdawa eti ukiamini kwakuwa nimeruhusu watu wataacha kutumia watarudi kwenye njia nzuri Iz this even make Fu**# sense...
Hata yesu alipomkuta Mariam magdalena anadanya umalaya/Ukahaba hakumwambia kwamba nenda kafanye ili ukiwiwa ubadilike alimwambia nenda zako na usifanye dhambi tena na akakemea dhambi yake...kupongeza na kubariki dhambi hakuwezi kufanya dhambi hiyo ikaondoka
 
BBC na wao picha waliyoweka ikiwa na heading "Kabisa katoliki kubariki ndoa za jibsia moja " nao wamekurupuka ?
BBC waache kushabikia wanachokipenda kweli?
s nii lazima warembe sana kwamba jambo hili lina ladha tamu sana ili uvutike jomba,
si ndivyo wanavyotaka dunia iwe siku zote
au wamebadika?

Na RT wanasemaje kuhusu jambo hilo?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom