johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 86,342
- 146,903
Nilikuwa nikipita pale na Kiswele bus lazima nibebe mkangafu Lita 5!Umenikumbusha mbali saana
Ulanzi mtogwa mixer mkangafu
Muziki virunga
Location Tanangozi.......Mafinga
90's
Nilikuwa nikipita pale na Kiswele bus lazima nibebe mkangafu Lita 5!Umenikumbusha mbali saana
Ulanzi mtogwa mixer mkangafu
Muziki virunga
Location Tanangozi.......Mafinga
90's
😄MkangafuuUmenikumbusha mbali saana
Ulanzi mtogwa mixer mkangafu
Muziki virunga
Location Tanangozi.......Mafinga
90's
Papa siku za karibuni ameng'ang'ana sana na Mapenzi ya kinyume cha maumbileSoma uelewe kwanza, shida yenu UWT hamtafakari, jaribu kumwelewa Papa
Papa anataka watu wote waombewe bila ubaguzi wala hana nia mbaya, ulitaka azikwe Makete?Papa siku za karibuni ameng'ang'ana sana na Mapenzi ya kinyume cha maumbile
Halafu kaagiza akifa asizikwe Vatican
Utata mtupu!
Azikwe Rau Madukani labda Ugaidi utaishaPapa anataka watu wote waombewe bila ubaguzi wala hana nia mbaya, ulitaka azikwe Makete?
Haya maelezo yana tofauti gani na maelezo ya Kiharage aliyekuwa MD wa TANESCO kwamba hakuna mgao wa umeme isipokuwa kuna upungufu wa umeme?Msipotoshe kuhusu Papa
Papa Francis amewaruhusu mapadre kuwabariki wapenzi wa jinsi moja, yakiwa ni maendeleo makubwa kwa watu wanaoshiriki mapenzi ya jinsi moja na mahusiano mengine ya kijinsia wanaofahamika kama LGBT katika Kanisa Katoliki la Roma.
Kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki la Roma amesema makasisi wanapaswa kuruhusiwa kuwabariki wapenzi wa jinsi moja na wanandoa "isiyo ya kawaida", kwa misingi ya hali fulani.
Lakini Vatikani ilisema baraka hazipaswi kuwa sehemu ya taratibu za kawaida za Kanisa au zinazohusiana na miungano ya kiraia au harusi.
Iliongeza kuwa inaendelea kuiona ndoa kuwa kati ya mwanamume na mwanamke.
Papa Francis aliidhinisha waraka uliotolewa na Vatican kutangaza mabadiliko hayo siku ya Jumatatu.
Vaticani ilisema inapaswa kuwa ishara kwamba "Mungu anawakaribisha wote", lakini hati hiyo inasema makuhani lazima waamue kwa msingi wa kesi baada ya kesi.
Akitambulisha andiko hilo, Kardinali Víctor Manuel Fernández, ambaye ni msimamizi wa Kanisa, alisema kwamba tamko jipya limebakia kuwa "imara kwenye fundisho la kimapokeo la Kanisa kuhusu ndoa".
Lakini aliongeza kuwa kwa kuzingatia "maono ya kichungaji" ya Papa" ya "kupanua" ombi la Kanisa Katoliki, miongozo mipya inawaruhusu mapadre kubariki uhusiano ambao bado unachukuliwa kuwa wa dhambi.
Watu wanaopokea baraka "haifai kuhitajika kuwa na ukamilifu wa kimaadili wa awali", kulingana na tamko hilo.
Katika Kanisa Katoliki, baraka ni maombi au ombi, ambalo kwa kawaida hutolewa na mhudumu, akimwomba Mungu ambariki mtu au watu wanaobarikiwa.
Kardinali Fernández alisisitiza kwamba msimamo huo mpya hauhalalishi hadhi ya wapenzi wa jinsia moja mbele ya Kanisa Katoliki.
Hii ni taarifa ya BBC
Hukuisoma taarifa ya Papa vizuri, ndiyo maana umeamua kupotosha bila sababuSidhani kama bado tuko Kwenye nyakati za Manabii wa Ukweli' kwa Sababu dalili zote zinaonyesha Ule Mwisho wa Ulimwengu huu umekaribia
Tunaishi katika Nyakati ngumu sana Joshua Mollel kachinjwa kama ngamia
Kana Kwamba hiyo haitoshi Papa Francisco anayeketi kitini pake mtume Petro anahalalisha Ndoa za Jinsia Moja, Watoto wetu wamekwisha
Ghadhabu ya Mungu wa mbinguni itakuwa Zaidi ya Sodoma na Gomola
Na Nchi zinazoishi kwa Mikopo Ndoa za Jinsia Moja zaweza Kuwa Sharti la kukopesheka
Mungu wa mbinguni Uturehemu Sisi!
Mbona babu yako kazikwa Makete na ushirikina ndiyo ukashika kasi kwa wakinga?Azikwe Rau Madukani labda Ugaidi utaisha
Hawa wanawake wa UWT ni wajinga sn hawachambui mamboHukuisoma taarifa ya Papa vizuri, ndiyo maana umeamua kupotosha bila sababu
Warombo wengi wanakuja Makete kununua ndumba siku Hizi kama unabisha muulize Esta!Mbona babu yako kazikwa Makete na ushirikina ndiyo ukashika kasi kwa wakinga?
Acha ujinga, Ester mke wa Mwigulu? warombo ni watu wa dini haswaWarombo wengi wanakuja Makete kununua ndumba siku Hizi kama unabisha muulize Esta!
Mbona amekazania sana sasa baada ya Machanjo mbalimbali?Hukuisoma taarifa ya Papa vizuri, ndiyo maana umeamua kupotosha bila sababu
Kwani Mwigullu ni mchagga?Acha ujinga, Ester mke wa Mwigulu? warombo ni watu wa dini haswa
Kaoa mchaga, hawezi kuona wanyiramba wenzake hawana akiliKwani Mwigullu ni mchagga?
Kwahiyo ndio sababu Tumbiri naye kaoa mchagga baada ya kupigwa talaka?!Kaoa mchaga, hawezi kuona wanyiramba wenzake hawana akili
Hata Mkapa na Sumaye nao wameoa uchagani kwa wachapa kazi huwezi kusikia ameoa Iramba au PwaniKwahiyo ndio sababu Tumbiri naye kaoa mchagga baada ya kupigwa talaka?!
Nenda skynews, bbc, cnn, just Google!Bwana Crocodiletooth, naomba full link nami nisome hizo screenshot unazoma
Mods wapuuzi sana wamefuta mada yangu ya kuhusu ushoga wa Vatican licha ya kuweka credible source