Panya road wanauawa kwa risas. Je, wezi wa mabilioni ya kodi za Watanzania wanabakije salama?

Hii nchi bhana yaani watu hawajui wanataka nini, wakati panya road wanakamatwa na kutoka watu waluongea jeshi la police dhaifu sasa hizi wanawaweka chuma mnalalamika dah, ila mimi wawatandike chuma wote hakuna wa kwenda jera wote vyuma tu
 
Kundi la vijana wanaojulikana kama Panya road' limekuwa ni tishio kwa wananchi kwa siku za hivi karibuni!

Vijana hawa wamekuwa wakitishia usalama wa jamii na hata kufanya mauwaji mbalimbali kwa lengo LA kuiba na kupora kila kilicho mbele ya macho yao!

Tunapenda kulishukuru Jeshi la police kwa kuanza kudhibiti hawa vijana na kuanza kurudisha amani katika mitaa iliyokuwa ikivamiwa Mara kwa Mara kwa kuwakamata hawa vijana alimarufu kwa jina la Panya road

Mbali na kuwakamata, wengine wamekuwa wakipigwa risasi na kufa papo hapo, adhabu hii ndiyo inayopelekea kuuliza juu ya wezi wa Mabilion ya fedha za kodi za wananchi

Wezi hawa wa kodi zetu, ndio wauwaji wakubwa wa watu wanaokufa kwa kukosa huduma mahospitalini!

Watu wanaokufa kwa kukosa gari la wagonjwa ili tu kuwahi huduma katika hospital zetu kuu!

Wajawazito wanakufa kutokana na mtu mmoja tu kuiba kodi ambazo zingeondoa kero hiyo, halafu police wetu wana ng'aa ng'aa sharubu badala ya kutandika risasi liuwaji kama hilo

Badala yake, anauliwa kijana mwenye njaa tuu, kaiba kuku ili akale na wanae, anatandikwa risasi badala ya kukamatwa ili akajibu makosa yake

Ni lini yataanza kupigwa risasi majizi na mauwaji ya wananchi haya yanayoiba kodi zetu ambapo zingewezesha upatikanaji wa huduma nzuri mahospitalini na kuweza kupatiwa bima kwa watanzania wote?

La hatutaki kuwashuti hawa wezi wa mabilioni yetu, tusiwauwe na hawa wanaoiba Mchele ili wakakidhi njaa zao
Tofauti hao wanaiba kwa kalamu, wale wanaiba kwa kutumia nguvu
 
Mkuu ushasikia fisadi amekata mtu mapanga? Au kumuua mtu live kisa aibe hela. Hii story ndo headline ya panyarodi., yani wakikushika lazima wakutie kilema.
Hilo ndio tatizo lao kuu. !! Inaonyesha hawana chembe ya huruma. !!
 
Mtu anakuchana chana na sijui nyembe, panga mara bisibisi ili akunyang'anye simu ya laki hana maana.
Nilishawahi kukamatwa mara tatu na zote sikua nahusika, si watetei panda Road ila kunawengine uenda muonekano wao ukawapoza na kupoteza maisha bila hatia
 
Kundi la vijana wanaojulikana kama Panya road' limekuwa ni tishio kwa wananchi kwa siku za hivi karibuni!

Vijana hawa wamekuwa wakitishia usalama wa jamii na hata kufanya mauwaji mbalimbali kwa lengo LA kuiba na kupora kila kilicho mbele ya macho yao!

Tunapenda kulishukuru Jeshi la police kwa kuanza kudhibiti hawa vijana na kuanza kurudisha amani katika mitaa iliyokuwa ikivamiwa Mara kwa Mara kwa kuwakamata hawa vijana alimarufu kwa jina la Panya road

Mbali na kuwakamata, wengine wamekuwa wakipigwa risasi na kufa papo hapo, adhabu hii ndiyo inayopelekea kuuliza juu ya wezi wa Mabilion ya fedha za kodi za wananchi

Wezi hawa wa kodi zetu, ndio wauwaji wakubwa wa watu wanaokufa kwa kukosa huduma mahospitalini!

Watu wanaokufa kwa kukosa gari la wagonjwa ili tu kuwahi huduma katika hospital zetu kuu!

Wajawazito wanakufa kutokana na mtu mmoja tu kuiba kodi ambazo zingeondoa kero hiyo, halafu police wetu wana ng'aa ng'aa sharubu badala ya kutandika risasi liuwaji kama hilo

Badala yake, anauliwa kijana mwenye njaa tuu, kaiba kuku ili akale na wanae, anatandikwa risasi badala ya kukamatwa ili akajibu makosa yake

Ni lini yataanza kupigwa risasi majizi na mauwaji ya wananchi haya yanayoiba kodi zetu ambapo zingewezesha upatikanaji wa huduma nzuri mahospitalini na kuweza kupatiwa bima kwa watanzania wote?

La hatutaki kuwashuti hawa wezi wa mabilioni yetu, tusiwauwe na hawa wanaoiba Mchele ili wakakidhi njaa zao
Wale waliojenga kibanda Kwa ml 11 mbona hawakuuwawa???
 
Wakianza kuwapukutisha mnaowataka mtaanza kulalamika mfano bado mpo naslogan ya ben,azory,lissu(ukute walianzanae mkalalamika kaonewa) kila kukicha.

Acha kutetea panya road. Angalia hapo kwa akina selasin na mbatia nani aliyejua nccr ina utajiri wa kutosha. Angeporomoshewa risasi mbatia wote mngeibuka kulaumu na kutetea sio fisadi
Alafu Cha ajabu watu wa aina utakuta wanalalilia ben saanane kuwaawa alafu hao hao wanawatetea panya road
 
Nilishawahi kukamatwa mara tatu na zote sikua nahusika, si watetei panda Road ila kunawengine uenda muonekano wao ukawapoza na kupoteza maisha bila hatia
Pole boss. Ni kuwa na umakini wa kutofanana na panya kipindi hichi.
 
Kundi la vijana wanaojulikana kama Panya road' limekuwa ni tishio kwa wananchi kwa siku za hivi karibuni!

Vijana hawa wamekuwa wakitishia usalama wa jamii na hata kufanya mauwaji mbalimbali kwa lengo LA kuiba na kupora kila kilicho mbele ya macho yao!

Tunapenda kulishukuru Jeshi la police kwa kuanza kudhibiti hawa vijana na kuanza kurudisha amani katika mitaa iliyokuwa ikivamiwa Mara kwa Mara kwa kuwakamata hawa vijana alimarufu kwa jina la Panya road

Mbali na kuwakamata, wengine wamekuwa wakipigwa risasi na kufa papo hapo, adhabu hii ndiyo inayopelekea kuuliza juu ya wezi wa Mabilion ya fedha za kodi za wananchi

Wezi hawa wa kodi zetu, ndio wauwaji wakubwa wa watu wanaokufa kwa kukosa huduma mahospitalini!

Watu wanaokufa kwa kukosa gari la wagonjwa ili tu kuwahi huduma katika hospital zetu kuu!

Wajawazito wanakufa kutokana na mtu mmoja tu kuiba kodi ambazo zingeondoa kero hiyo, halafu police wetu wana ng'aa ng'aa sharubu badala ya kutandika risasi liuwaji kama hilo

Badala yake, anauliwa kijana mwenye njaa tuu, kaiba kuku ili akale na wanae, anatandikwa risasi badala ya kukamatwa ili akajibu makosa yake

Ni lini yataanza kupigwa risasi majizi na mauwaji ya wananchi haya yanayoiba kodi zetu ambapo zingewezesha upatikanaji wa huduma nzuri mahospitalini na kuweza kupatiwa bima kwa watanzania wote?

La hatutaki kuwashuti hawa wezi wa mabilioni yetu, tusiwauwe na hawa wanaoiba Mchele ili wakakidhi njaa zao
Umenifanya niifikirie nchi ya China mkuu.
 
Kundi la vijana wanaojulikana kama Panya road' limekuwa ni tishio kwa wananchi kwa siku za hivi karibuni!

Vijana hawa wamekuwa wakitishia usalama wa jamii na hata kufanya mauwaji mbalimbali kwa lengo LA kuiba na kupora kila kilicho mbele ya macho yao!

Tunapenda kulishukuru Jeshi la police kwa kuanza kudhibiti hawa vijana na kuanza kurudisha amani katika mitaa iliyokuwa ikivamiwa Mara kwa Mara kwa kuwakamata hawa vijana alimarufu kwa jina la Panya road

Mbali na kuwakamata, wengine wamekuwa wakipigwa risasi na kufa papo hapo, adhabu hii ndiyo inayopelekea kuuliza juu ya wezi wa Mabilion ya fedha za kodi za wananchi

Wezi hawa wa kodi zetu, ndio wauwaji wakubwa wa watu wanaokufa kwa kukosa huduma mahospitalini!

Watu wanaokufa kwa kukosa gari la wagonjwa ili tu kuwahi huduma katika hospital zetu kuu!

Wajawazito wanakufa kutokana na mtu mmoja tu kuiba kodi ambazo zingeondoa kero hiyo, halafu police wetu wana ng'aa ng'aa sharubu badala ya kutandika risasi liuwaji kama hilo

Badala yake, anauliwa kijana mwenye njaa tuu, kaiba kuku ili akale na wanae, anatandikwa risasi badala ya kukamatwa ili akajibu makosa yake

Ni lini yataanza kupigwa risasi majizi na mauwaji ya wananchi haya yanayoiba kodi zetu ambapo zingewezesha upatikanaji wa huduma nzuri mahospitalini na kuweza kupatiwa bima kwa watanzania wote?

La hatutaki kuwashuti hawa wezi wa mabilioni yetu, tusiwauwe na hawa wanaoiba Mchele ili wakakidhi njaa zao
Waingereza wamebahatika kuwa na lugha nyepesi, once ukishaielewa, it speaks for itself. Hii mada yako dhaifu, unalinganisha panyaroad na wezi wa makanikia, sawa. Hii ya panyaroad inaeleweka, wanamkaba mke wako wanamtishia bisibisi wanamnyanganya hereni zake, inauma, inaeleweka. Hii ya makanikia inaanzia dhahabu ya Chunya au Buyulang'hulu, wachimbaji weusi. Wamiliki ni wazungu wakisaidiwa na weusi wenzetu, wengi tu, wanaofahamika zaidi ni fatmakarume na tundulissu. Ni mafundi kupindisha sheria. Watendaji serkalini, Wizarani au STAMICO au TRA, kwa kutumia nyaraka za kitaalanu za fatmakarume, wanaiba billions and billions. Hawa ni hela nyingi na inaumiza wengi zaidi (kuliko mkeo peke yake kwa panyaroad), lakini Waingereza husema mada yako ni FAR-FETCHED. Ni nani utamkamata? Panyaroad yule unamuona na bisibisi zake na nondo, unamkamata. Lakini tundulissu na Barrick na BP utawashikaje? Ni wataalamu, wasomi, wanajua kujitetea. CONCLUSION? WEWE NDIYO UNATETEA WAOVU, PANYAROAD NI WABAYA LAKINI UNAWATETEA KWA KULINGANISHA NA FATMAKARUME? Utaanzia wapi?
 
Nilishawahi kukamatwa mara tatu na zote sikua nahusika, si watetei panda Road ila kunawengine uenda muonekano wao ukawapoza na kupoteza maisha bila hatia
Lakini askari mara nyingi wanavyo vyanzo vyao vingi vya kupata taarifa wanazozihitaji japo wakati mwingine makosa ya kibinadamu yanaweza kujitokeza !!
 
Back
Top Bottom