Wanaofwata ujue wapo kwenye list wezi wanajurikana basi tu kuleana leanaTuwe na sheria kama China. Kesi iendeshwe, halafu hukumu. Suala la kuwafuata nyumbani, tunaweza kupoteza hata wasio na hatia.
Kwa hiyo mkuu risasi ndio hukumu yao ?Wanaofwata ujue wapo kwenye list wezi wanajurikana basi tu kuleana leana
Kama ni shaba, wote wale shaba! Nimekuelewa mkuuKwa hiyo mkuu risasi ndio hukumu yao ?
Rejea post 121 ndoo uje uongeze au upunguze maneno
Hitaji kuu ni usawa mbele ya sheria
Tofauti hao wanaiba kwa kalamu, wale wanaiba kwa kutumia nguvuKundi la vijana wanaojulikana kama Panya road' limekuwa ni tishio kwa wananchi kwa siku za hivi karibuni!
Vijana hawa wamekuwa wakitishia usalama wa jamii na hata kufanya mauwaji mbalimbali kwa lengo LA kuiba na kupora kila kilicho mbele ya macho yao!
Tunapenda kulishukuru Jeshi la police kwa kuanza kudhibiti hawa vijana na kuanza kurudisha amani katika mitaa iliyokuwa ikivamiwa Mara kwa Mara kwa kuwakamata hawa vijana alimarufu kwa jina la Panya road
Mbali na kuwakamata, wengine wamekuwa wakipigwa risasi na kufa papo hapo, adhabu hii ndiyo inayopelekea kuuliza juu ya wezi wa Mabilion ya fedha za kodi za wananchi
Wezi hawa wa kodi zetu, ndio wauwaji wakubwa wa watu wanaokufa kwa kukosa huduma mahospitalini!
Watu wanaokufa kwa kukosa gari la wagonjwa ili tu kuwahi huduma katika hospital zetu kuu!
Wajawazito wanakufa kutokana na mtu mmoja tu kuiba kodi ambazo zingeondoa kero hiyo, halafu police wetu wana ng'aa ng'aa sharubu badala ya kutandika risasi liuwaji kama hilo
Badala yake, anauliwa kijana mwenye njaa tuu, kaiba kuku ili akale na wanae, anatandikwa risasi badala ya kukamatwa ili akajibu makosa yake
Ni lini yataanza kupigwa risasi majizi na mauwaji ya wananchi haya yanayoiba kodi zetu ambapo zingewezesha upatikanaji wa huduma nzuri mahospitalini na kuweza kupatiwa bima kwa watanzania wote?
La hatutaki kuwashuti hawa wezi wa mabilioni yetu, tusiwauwe na hawa wanaoiba Mchele ili wakakidhi njaa zao
Wepi ni bora kati ya wanaotumia kalamu au nguvuTofauti hao wanaiba kwa kalamu, wale wanaiba kwa kutumia nguvu
Hilo ndio tatizo lao kuu. !! Inaonyesha hawana chembe ya huruma. !!Mkuu ushasikia fisadi amekata mtu mapanga? Au kumuua mtu live kisa aibe hela. Hii story ndo headline ya panyarodi., yani wakikushika lazima wakutie kilema.
Wote ni wauaji Direct na indirect !!Wepi ni bora kati ya wanaotumia kalamu au nguvu
Na hamna sababu ya kuwaonea hurumaHilo ndio tatizo lao kuu. !! Inaonyesha hawana chembe ya huruma. !!
Nilishawahi kukamatwa mara tatu na zote sikua nahusika, si watetei panda Road ila kunawengine uenda muonekano wao ukawapoza na kupoteza maisha bila hatiaMtu anakuchana chana na sijui nyembe, panga mara bisibisi ili akunyang'anye simu ya laki hana maana.
Wale waliojenga kibanda Kwa ml 11 mbona hawakuuwawa???Kundi la vijana wanaojulikana kama Panya road' limekuwa ni tishio kwa wananchi kwa siku za hivi karibuni!
Vijana hawa wamekuwa wakitishia usalama wa jamii na hata kufanya mauwaji mbalimbali kwa lengo LA kuiba na kupora kila kilicho mbele ya macho yao!
Tunapenda kulishukuru Jeshi la police kwa kuanza kudhibiti hawa vijana na kuanza kurudisha amani katika mitaa iliyokuwa ikivamiwa Mara kwa Mara kwa kuwakamata hawa vijana alimarufu kwa jina la Panya road
Mbali na kuwakamata, wengine wamekuwa wakipigwa risasi na kufa papo hapo, adhabu hii ndiyo inayopelekea kuuliza juu ya wezi wa Mabilion ya fedha za kodi za wananchi
Wezi hawa wa kodi zetu, ndio wauwaji wakubwa wa watu wanaokufa kwa kukosa huduma mahospitalini!
Watu wanaokufa kwa kukosa gari la wagonjwa ili tu kuwahi huduma katika hospital zetu kuu!
Wajawazito wanakufa kutokana na mtu mmoja tu kuiba kodi ambazo zingeondoa kero hiyo, halafu police wetu wana ng'aa ng'aa sharubu badala ya kutandika risasi liuwaji kama hilo
Badala yake, anauliwa kijana mwenye njaa tuu, kaiba kuku ili akale na wanae, anatandikwa risasi badala ya kukamatwa ili akajibu makosa yake
Ni lini yataanza kupigwa risasi majizi na mauwaji ya wananchi haya yanayoiba kodi zetu ambapo zingewezesha upatikanaji wa huduma nzuri mahospitalini na kuweza kupatiwa bima kwa watanzania wote?
La hatutaki kuwashuti hawa wezi wa mabilioni yetu, tusiwauwe na hawa wanaoiba Mchele ili wakakidhi njaa zao
Bora bakwe yeye mke wake hana kosa lolote.Subiri
Siku mke wako amebakwa ndiyo utajua
Alafu Cha ajabu watu wa aina utakuta wanalalilia ben saanane kuwaawa alafu hao hao wanawatetea panya roadWakianza kuwapukutisha mnaowataka mtaanza kulalamika mfano bado mpo naslogan ya ben,azory,lissu(ukute walianzanae mkalalamika kaonewa) kila kukicha.
Acha kutetea panya road. Angalia hapo kwa akina selasin na mbatia nani aliyejua nccr ina utajiri wa kutosha. Angeporomoshewa risasi mbatia wote mngeibuka kulaumu na kutetea sio fisadi
Pole boss. Ni kuwa na umakini wa kutofanana na panya kipindi hichi.Nilishawahi kukamatwa mara tatu na zote sikua nahusika, si watetei panda Road ila kunawengine uenda muonekano wao ukawapoza na kupoteza maisha bila hatia
Umenifanya niifikirie nchi ya China mkuu.Kundi la vijana wanaojulikana kama Panya road' limekuwa ni tishio kwa wananchi kwa siku za hivi karibuni!
Vijana hawa wamekuwa wakitishia usalama wa jamii na hata kufanya mauwaji mbalimbali kwa lengo LA kuiba na kupora kila kilicho mbele ya macho yao!
Tunapenda kulishukuru Jeshi la police kwa kuanza kudhibiti hawa vijana na kuanza kurudisha amani katika mitaa iliyokuwa ikivamiwa Mara kwa Mara kwa kuwakamata hawa vijana alimarufu kwa jina la Panya road
Mbali na kuwakamata, wengine wamekuwa wakipigwa risasi na kufa papo hapo, adhabu hii ndiyo inayopelekea kuuliza juu ya wezi wa Mabilion ya fedha za kodi za wananchi
Wezi hawa wa kodi zetu, ndio wauwaji wakubwa wa watu wanaokufa kwa kukosa huduma mahospitalini!
Watu wanaokufa kwa kukosa gari la wagonjwa ili tu kuwahi huduma katika hospital zetu kuu!
Wajawazito wanakufa kutokana na mtu mmoja tu kuiba kodi ambazo zingeondoa kero hiyo, halafu police wetu wana ng'aa ng'aa sharubu badala ya kutandika risasi liuwaji kama hilo
Badala yake, anauliwa kijana mwenye njaa tuu, kaiba kuku ili akale na wanae, anatandikwa risasi badala ya kukamatwa ili akajibu makosa yake
Ni lini yataanza kupigwa risasi majizi na mauwaji ya wananchi haya yanayoiba kodi zetu ambapo zingewezesha upatikanaji wa huduma nzuri mahospitalini na kuweza kupatiwa bima kwa watanzania wote?
La hatutaki kuwashuti hawa wezi wa mabilioni yetu, tusiwauwe na hawa wanaoiba Mchele ili wakakidhi njaa zao
Waingereza wamebahatika kuwa na lugha nyepesi, once ukishaielewa, it speaks for itself. Hii mada yako dhaifu, unalinganisha panyaroad na wezi wa makanikia, sawa. Hii ya panyaroad inaeleweka, wanamkaba mke wako wanamtishia bisibisi wanamnyanganya hereni zake, inauma, inaeleweka. Hii ya makanikia inaanzia dhahabu ya Chunya au Buyulang'hulu, wachimbaji weusi. Wamiliki ni wazungu wakisaidiwa na weusi wenzetu, wengi tu, wanaofahamika zaidi ni fatmakarume na tundulissu. Ni mafundi kupindisha sheria. Watendaji serkalini, Wizarani au STAMICO au TRA, kwa kutumia nyaraka za kitaalanu za fatmakarume, wanaiba billions and billions. Hawa ni hela nyingi na inaumiza wengi zaidi (kuliko mkeo peke yake kwa panyaroad), lakini Waingereza husema mada yako ni FAR-FETCHED. Ni nani utamkamata? Panyaroad yule unamuona na bisibisi zake na nondo, unamkamata. Lakini tundulissu na Barrick na BP utawashikaje? Ni wataalamu, wasomi, wanajua kujitetea. CONCLUSION? WEWE NDIYO UNATETEA WAOVU, PANYAROAD NI WABAYA LAKINI UNAWATETEA KWA KULINGANISHA NA FATMAKARUME? Utaanzia wapi?Kundi la vijana wanaojulikana kama Panya road' limekuwa ni tishio kwa wananchi kwa siku za hivi karibuni!
Vijana hawa wamekuwa wakitishia usalama wa jamii na hata kufanya mauwaji mbalimbali kwa lengo LA kuiba na kupora kila kilicho mbele ya macho yao!
Tunapenda kulishukuru Jeshi la police kwa kuanza kudhibiti hawa vijana na kuanza kurudisha amani katika mitaa iliyokuwa ikivamiwa Mara kwa Mara kwa kuwakamata hawa vijana alimarufu kwa jina la Panya road
Mbali na kuwakamata, wengine wamekuwa wakipigwa risasi na kufa papo hapo, adhabu hii ndiyo inayopelekea kuuliza juu ya wezi wa Mabilion ya fedha za kodi za wananchi
Wezi hawa wa kodi zetu, ndio wauwaji wakubwa wa watu wanaokufa kwa kukosa huduma mahospitalini!
Watu wanaokufa kwa kukosa gari la wagonjwa ili tu kuwahi huduma katika hospital zetu kuu!
Wajawazito wanakufa kutokana na mtu mmoja tu kuiba kodi ambazo zingeondoa kero hiyo, halafu police wetu wana ng'aa ng'aa sharubu badala ya kutandika risasi liuwaji kama hilo
Badala yake, anauliwa kijana mwenye njaa tuu, kaiba kuku ili akale na wanae, anatandikwa risasi badala ya kukamatwa ili akajibu makosa yake
Ni lini yataanza kupigwa risasi majizi na mauwaji ya wananchi haya yanayoiba kodi zetu ambapo zingewezesha upatikanaji wa huduma nzuri mahospitalini na kuweza kupatiwa bima kwa watanzania wote?
La hatutaki kuwashuti hawa wezi wa mabilioni yetu, tusiwauwe na hawa wanaoiba Mchele ili wakakidhi njaa zao
Lakini askari mara nyingi wanavyo vyanzo vyao vingi vya kupata taarifa wanazozihitaji japo wakati mwingine makosa ya kibinadamu yanaweza kujitokeza !!Nilishawahi kukamatwa mara tatu na zote sikua nahusika, si watetei panda Road ila kunawengine uenda muonekano wao ukawapoza na kupoteza maisha bila hatia
Meh ! Hatar sn !!Na hamna sababu ya kuwaonea huruma
Mmh !Na hamna sababu ya kuwaonea huruma