Dahh,,Nahisi kabisa kuna watu, wako nyuma ya kundi la hawa magaidi Lengo lao ni hii nchi isitawalike
atashuka kuokoa au vipi. nyie ndio mtu anaangamia na moto unafanya maombi badala ya kuzima moto. Mungu ameshaweka mamlaka duniani,zitake zifanye kaziMungu mkuu hajawahi kushindwa, ataokoa Tu waja wake Kwa namna yake!
😀😀😀atashuka kuokoa au vipi. nyie ndio watu anaangamia na moto unafanya maombi badala ya kuzima moto. Mungu ameshaweka mamlaka duniani,zitake zifanye kazi
Kwa hjinga alionao huyo anaweza asikueleweatashuka kuokoa au vipi. nyie ndio watu anaangamia na moto unafanya maombi badala ya kuzima moto. Mungu ameshaweka mamlaka duniani,zitake zifanye kazi
🤣👍atashuka kuokoa au vipi. nyie ndio mtu anaangamia na moto unafanya maombi badala ya kuzima moto. Mungu ameshaweka mamlaka duniani,zitake zifanye kazi
Kwanini haya matukio ya uhalifu wa mtaani,hujirudia kwa baadhi ya awamu?
Maana sio tu kwa Dar, hata mkoani watu wanalalamika wizi wa mtaani kurudi kwa kasi. Tatizo ni nini???
Hali ya maisha kuwa ngumu!! Na serikali kukaa kimya mpaka maji yafike shongoniKwanini haya matukio ya uhalifu wa mtaani,hujirudia kwa baadhi ya awamu?
Maana sio tu kwa Dar, hata mkoani watu wanalalamika wizi wa mtaani kurudi kwa kasi. Tatizo ni nini???
Siri ipi ya polisi iliovuja? Usaliti hapa ni kuachia hali ya uchumi kuwa ngumu kwa kipato cha chiniMkuu hata mikoani wamerudi kwa speed sana. Wanaiba tu wanavyotaka wao. Lakini ukichunguza kwa makini utagundua kuna kausaliti flani kati ya polisi(vijana 22-27yrs) na wakubwa wao. Polisi vijana wanajisahau sana kiasi kwamba raia(vijana) hawaoni cha kuwatishia. Siri nyingi za polisi zinavuja kuliko za Jwtz.
Jombi hajulikani alipo?Hili swala waende wakapate uzoefu kwa mzee wa kiraracha yy anajua walichofanya na mzee mkapa rip kuwamaliza majambazi hasa waliokuwa. Mby rpc akiwa kova au mwema kama sijakosea na rc alikuwa mramba majambazi wa chunya na kila eneo walikimbia hadi leo jombi hajulikani alipo miaka mid 90's hapo hakuna jambazi aalikuwa anakamatwa anapelekwa eti kituo cha polis
Ningekuwa mm ningefanya silent cleaning kama ya oparesheni tokomeza ya jk mpaka leo majangili wamepungua
Nahisi kabisa kuna watu, wako nyuma ya kundi la hawa magaidi Lengo lao ni hii nchi isitawalike