John Gregory
JF-Expert Member
- Jul 14, 2019
- 1,060
- 1,957
Nimesikitika sana kuona pamoja na adha ya mwendokasi na mateso wanayopitia abiria, serikali kuondoa/kupunguza mabasi na kuruhusu baadhi kutumika kwa watu wachache na kuwaacha maelfu wamekwama vituoni wakisubiri usafiri.
Hata kama kuna abiria ndani, Je vipi kuhusu usumbufu wanaopata abiria wengine ambao hawana interest na mpira? Je huu usumbufu serikali imeruhusu? Mkuu wa DART amekusanya kiasi gani cha fedha kwa shughuli hii? Waziri analitambua hili?
Inasikitisha sana.
Hata kama kuna abiria ndani, Je vipi kuhusu usumbufu wanaopata abiria wengine ambao hawana interest na mpira? Je huu usumbufu serikali imeruhusu? Mkuu wa DART amekusanya kiasi gani cha fedha kwa shughuli hii? Waziri analitambua hili?
Inasikitisha sana.