sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,045
Ni kitu gani unakiogopa tangu utotoni umeshindwa kuacha kukiogopa
Najua kuna wengine mpaka wanafaika 30 bado wanaogopa sindano (manesi wana siri nyingi), siwezi kuwacheka maana tunatofautiana tu vitu vya kuogopa.
Binafsi huyu mdudu wa kuitwa nyigu akiingia chumba nilichomo huwa nakosa amani kabisa kila muda naweweseka siwezi kutulia hata kidogo, ni miaka mingi sana imepita tangu nikiwa huyu mdudu anipe somo na nikiri nilimchoza lakini hii kumbukumbu nimeshindwa kuifuta kabisa
Najua kuna wengine mpaka wanafaika 30 bado wanaogopa sindano (manesi wana siri nyingi), siwezi kuwacheka maana tunatofautiana tu vitu vya kuogopa.
Binafsi huyu mdudu wa kuitwa nyigu akiingia chumba nilichomo huwa nakosa amani kabisa kila muda naweweseka siwezi kutulia hata kidogo, ni miaka mingi sana imepita tangu nikiwa huyu mdudu anipe somo na nikiri nilimchoza lakini hii kumbukumbu nimeshindwa kuifuta kabisa