Kama ni kitendawili, jibu ninalo: Jk kumjenga zitto!
<br /><b>Paka hali panya waliokufa</b>
Juzi kaka anayetusaidia kazi alikamata panya watatu mmoja mkubwa, wawili wadogo lakini mkubwa na mdogo mmoja akawaua akampa paka wangu ambaye naye amezaa watoto watatu akawala wale waliokufa. akamtupia paka wangu katoto kamoja ka panya kaliko hai huwezi amini alikachukua hadi kwenye box walipo watoto wake mpaka leo kale kapanya kapo hai na kanalala na hao watoto wa nyau na mama nyau yupo! hapa nyumbani tumekumbwa na mshangao hivi kuna mtu alishaona hili? na je huyu paka ana akili timamu?
Umerudi Mkuu, tulikukosa sana. Natumai mambo yote poa!Hahah...anakalea bana kanonenone...! tokea lini ukaona mtu anakula kifaranga!??lol
Mimi ni mfugaji mzuri wa paka inategemea na paka lakini wanakula kabisa<br />
<br />
Nakubaliana na wewe Mkuu. PAKA HALI PANYA ALIYEKUFA WALA ALIYEHAI. Just atawaua tu na kuchezea chezea lakini hali. Mtoa mada hapo juu sijui anataka kutujaribu akili zetu? Au !!!!
<br />paka genius hilo linamsubiri akue akue anone kwanza kuna siku utaenda utakuta manyoya