Paka wangu analea mtoto wa panya.

Paka wangu analea mtoto wa panya.

Mamzalendo

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2010
Posts
1,670
Reaction score
558
Juzi kaka anayetusaidia kazi alikamata panya watatu mmoja mkubwa, wawili wadogo lakini mkubwa na mdogo mmoja akawaua akampa paka wangu ambaye naye amezaa watoto watatu akawala wale waliokufa. akamtupia paka wangu katoto kamoja ka panya kaliko hai huwezi amini alikachukua hadi kwenye box walipo watoto wake mpaka leo kale kapanya kapo hai na kanalala na hao watoto wa nyau na mama nyau yupo! hapa nyumbani tumekumbwa na mshangao hivi kuna mtu alishaona hili? na je huyu paka ana akili timamu?
 
Amewakilisha ya mama Salima mtoto wa mwenzio ni wako!
 
Inanikumbusha jinsi JK na serikali yake wanavyowalea MAFISAD na kuwasafisha BUNGENI......mtuma post ametumia lugha ya PICHA
Juzi kaka anayetusaidia kazi alikamata panya watatu mmoja mkubwa, wawili wadogo lakini mkubwa na mdogo mmoja akawaua akampa paka wangu ambaye naye amezaa watoto watatu akawala wale waliokufa. akamtupia paka wangu katoto kamoja ka panya kaliko hai huwezi amini alikachukua hadi kwenye box walipo watoto wake mpaka leo kale kapanya kapo hai na kanalala na hao watoto wa nyau na mama nyau yupo! hapa nyumbani tumekumbwa na mshangao hivi kuna mtu alishaona hili? na je huyu paka ana akili timamu?
 
Inanikumbusha jinsi JK na serikali yake wanavyowalea MAFISAD na kuwasafisha BUNGENI......mtuma post ametumia lugha ya PICHA

inawezekana halafu sisi tuliingia kichwa kichwa kumbe ni fumbo, mtu mwenyewe alotuma ni mamamzalendo.
 
Hahah...anakalea bana kanonenone...! tokea lini ukaona mtu anakula kifaranga!??lol
 
Hahah...anakalea bana kanonenone...! tokea lini ukaona mtu anakula kifaranga!??lol

acha mambo ayo wewe, embu peleka katoto kako kwenye zizi la chui tuone km chui itakalea kwanza au ndo niaje.
 
Juzi kaka anayetusaidia kazi alikamata panya watatu mmoja mkubwa, wawili wadogo lakini mkubwa na mdogo mmoja akawaua akampa paka wangu ambaye naye amezaa watoto watatu akawala wale waliokufa. akamtupia paka wangu katoto kamoja ka panya kaliko hai huwezi amini alikachukua hadi kwenye box walipo watoto wake mpaka leo kale kapanya kapo hai na kanalala na hao watoto wa nyau na mama nyau yupo! hapa nyumbani tumekumbwa na mshangao hivi kuna mtu alishaona hili? na je huyu paka ana akili timamu?
Paka hali panya waliokufa
 
Jamani hiyo hapo nimeattach hope mtakiona kipanya na mkia wake ntapiga nyingine hadi uso mkaone kamenisumbua kidogo
 

Attachments

  • CIMG0530.JPG
    CIMG0530.JPG
    29.8 KB · Views: 201
Jamani hiyo hapo nimeattach hope mtakiona kipanya na mkia wake ntapiga nyingine hadi uso mkaone kamenisumbua kidogo

Aaa mama, hawa paka hawana sababu ya kumla huyo panya; kwanza ni kichanga hajui kitu-watapata dhambi tu kumla. Pili paka wameshiba hao, ukiwasahau ndani siku mbili bila chakula utakuta wamemla halafu wanalia kuomboleza!!! te teh!
 
This is a busness opportunity given to you. Katafute quality vidoe camera, uchukue ma event kibao ya hao paka na huyo panya, fanya uchunguzi ujue ni kwanini iko hivyo ukauze kwenye TV za mbele huko. Huwezi jua bana, unaeza kupata viilaki kibao mkuu.
 
Back
Top Bottom