Mkuu unapotosha paka anakula kitimoto.Paka halisi ile kitu kwake haramu
Una uhakika una nini??Asante ila nina ushahidi na ninachokinena
Wala sitothubutu kukutenga mtani. Nisamehe tu kwa kuadimika humu jamviniUmenitenga kweli mtani wangu.
Kama unadhani wale ni paka wanyama unaowafahamu tafakari mara mbili....wengi pale ni binadamu kwenye umbo la mnyama
Wale paka wana vituko mwanzo mwisho ....kitimoto ni haramu kwa paka! Pilipili pia! Chachandu ndo kabisaaa lakini pale wapo ambao ukiwapa makombo kama ukiweka chini hawali kama hayana viungo hawali ..hata ukiwapa kwa masimango hawali wanakuangalia na kijicho pembe...hawa si paka wape ndimu uone mziki wake.....
ukiwapa ndimu wanafanya ninUngempiga mitama tuKuna siku nimewahi mstua mmoja akanidindishia kiajabu sana.wale paka noma sana.
.
Huyu nilikutana naye maeneo ya wodi ya Mwaisela. Hiyo siku ndo nilijua nina kipaji cha riadha...
Ntashiriki Marathon mwaka huu
![]()



paka ananipa wakat mgumu kumtambua
Kati ya hao wanaovimba kuna ambao si halisi lakini wengine ni kiburi tuuHivi mshana Jr kawaida paka ukimfukiza anakimbia
Wapo wale Ambao ukimfukuza wala hajigusi ndio kwanza anafura nakutaka kukurukia hawa nao ni paka halisi ????
Niani uo? Hanini akufanye uadimikeWala sitothubutu kukutenga mtani. Nisamehe tu kwa kuadimika humu jamvini
