Ambiele Kiviele
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 15,271
- 29,934
Paka Halisi Ile Kitu Haram Kwake Unataka....Paka halisi ile kitu kwake haramu
Kusema Nin Mkulugenzi.....??
Paka Halisi Ile Kitu Haram Kwake Unataka....Paka halisi ile kitu kwake haramu
Akija atakuambia hao wanao zaba ndo Paka fake wasio zaba ni halisi........case closed.paka kitimoto wanazaba kama kawaida, hapo umetulisha mabangayeye
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀Mbona kuna siku pale mombasa ukonga nilikuwa nakula kitimoto ya kukaanga na ndizi zangu za kukaanga na soda pepsi baridi pembeni nilimpa paka kipande cha kitimoto akakipenda sana tena alikimbia nacho kwenye kona akawa anakula ili asisumbuliwe, wanakula kiti moto!
Noma noma mkuuKama unadhani wale ni paka wanyama unaowafahamu tafakari mara mbili....wengi pale ni binadamu kwenye umbo la mnyama
Wale paka wana vituko mwanzo mwisho ....kitimoto ni haramu kwa paka! Pilipili pia! Chachandu ndo kabisaaa lakini pale wapo ambao ukiwapa makombo kama ukiweka chini hawali kama hayana viungo hawali ..hata ukiwapa kwa masimango hawali wanakuangalia na kijicho pembe...hawa si paka wape ndimu uone mziki wake.....
Hyo mbaya mi namchangia mbich na yakuiva kuna siku alikamata kifaranga cha kuku nikakuta manyoya tu hatar.si ni walivyozoeshwa,sie paka wetu kazoeshwa nyama mbichi ukimpa iliyopikwa hali