Paka wa Muhimbili

Paka wa Muhimbili

Mbona kuna siku pale mombasa ukonga nilikuwa nakula kitimoto ya kukaanga na ndizi zangu za kukaanga na soda pepsi baridi pembeni nilimpa paka kipande cha kitimoto akakipenda sana tena alikimbia nacho kwenye kona akawa anakula ili asisumbuliwe, wanakula kiti moto!
wa Muhimbili hawali
 
Mbona kuna siku pale mombasa ukonga nilikuwa nakula kitimoto ya kukaanga na ndizi zangu za kukaanga na soda pepsi baridi pembeni nilimpa paka kipande cha kitimoto akakipenda sana tena alikimbia nacho kwenye kona akawa anakula ili asisumbuliwe, wanakula kiti moto!

Tunatamanishana......!!!!!!
 
Dhumuni Lao Hasa Ni Nini Pale Mhimbili? Urembo Au Ni Kwa Kazi Maalumu
 
anachosema ni kweli maana mtaa ninaokaa paka wapowapo na pia kuna mabucha ya nguruwe mengi tu ila sijawahi ona paka kwenda kuvizia makombo zaidi ya mbwa. mshana jr je hii yaweza kuwa sababu kwanini wachawi wanawatumia paka na si mbwa kwenye shughuli zao?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom