Padre amwagiwa Tindikali huko Zanzibar

Padre amwagiwa Tindikali huko Zanzibar

Status
Not open for further replies.
Zanzibar what the hell is happening
una uhakika waislam ndio wamefanya hivi ebu achana na fikra zako za mgando, alipigwa sheikh ponda risasi mkasema gaidi sasa padri ndio ana thamani sana? Acheni ushabiki Mungu wangu ndio Mungu wako hata kama hutaki

Wale mabinti wa kizungu walivaa vimini ikasemwa ndio sababu ya kuwamwagia - Sasa huyu Padre nae amevaa nini???
Waislam tuache ujinga wa kushikiliwa vichwa kwa manufaa ya wachache......huu si ubinadamu hata kidogo wala hakuna thawabu kwa matendo haya ya kinyama
Haya mambo yatatugharimu sana hata kwa vizazi vijavyo
 
Huo ni uongo, Mzee Ruksa na Aboud Jumbe wote wamezaliwa bara, na wote wamekuwa marais Zanzibar. Wazanzibar wanawajua watu wa bara wanaofanana nao na pia wanawajua watu wa bara wasiofanana nao. Hakuna mtu wa pwani ya Tanganyika ambaye hana ndugu wa damu kabisa Zanzibar.

Sijajua unakataa nini hapo? Nakwambia yaliyonikuta hayo uliyoandika nayajua yote.
 
Nina hasira sana na hao wapumbavu wanaofanya hivyo vitendo. Wasitegemee kwamba hatuta retaliate, let them wait and see. They want war we gon' give them war. To hell with 'muungano'
 
Nina mashaka na Mungu anayeabudiwa na Waislamu. Sithani kama ni Mungu yule tuaminiye ndo Muumba Mbingu na Dunia. Nadhani hawa jamaa wana Mungu wao

Mbona unatoa hukum umejuaje kama aliyemmwagia ni muislam. Last time alimwagiwa wakaja fbi lakini hatujajuzwa nani mhusika. Leo hii mmejisahaulisha na kuanza kutuhumu waislam? Ivi na arusha aliyerusha bomu ni muislam?
 
Ndugu, kabla hujamrudisha mzanzibari yoyote kutoka darisalama, utaondoka wewe kwanza kurudi sengerema. Wazanzibari siyo watu wa kuja hapa darisalama. Darisalama imewahi kuwa sehemu ya Zanzibar. Sengerema hatuna uhusiano nayo wowote.

Ni mwendawazimu tu ndiye anayeweza kukubali huu utahira
 
sababu ni upuuzi wenu wa kung'ang'ania kuwa Ustaadh Issa ni YESU. Mngekuwa mnaandamana na hata kuuana kwa kumponda Issa hakuna ambaye angewajali. Jina la YESU liko kwenye Biblia tu. Hakuna hata kanisa moja linalosema YESU ni Issa, ila ninyi tu
hiyo sio point .
 
sababu ni upuuzi wenu wa kung'ang'ania kuwa Ustaadh Issa ni YESU. Mngekuwa mnaandamana na hata kuuana kwa kumponda Issa hakuna ambaye angewajali. Jina la YESU liko kwenye Biblia tu. Hakuna hata kanisa moja linalosema YESU ni Issa, ila ninyi tu

soma kwanza kabla ya kuamini.usikubali kulishwa kila kitu.
 
Nawajua hawa wenzetu waislam tumeishi nao vizuri ni watu wacha Mungu ila kwa sasa nadhani kuna dini nyingine imeibuka inajiita waislam wanaochafua imani safi iliyokuwepo. Hawa ndio wanaoamini katika jihad, kuua, kujiripua nakadhalika. Nadhani Waislam wema mnatakiwa muwajue kwamba dini yenu imeingiliwa na Anti-God na Anti uislam

wanaamini kuwa wakifanya hivyo wanapata thawabu kwa Mungu wao, sijui Mungu wao anakula damu za watu. shit tuepushie mbali na watu hawa
 
mkisha patwa na maswahibu mnaushambulia uislam pasi na elimu.
mambo ya znz yapo kisiasa zaidi kuliko dini,kasome.

>Kama ni la kisiasa anaefanya ni dini gani? Ni kutokana na dini yake kumwakikishia pepo afanyapo hivyo!
 
Wazanzibar ni watu wa amani sana na huu utakuwa ni mchezo wa wale wanaogogopa kuiona ZNZ ikiwa huru. Hatuwezi kumeza propaganda za kijinga kama hizi, haingii akilini mtu mwenye akili timamu akammwagia tindikali au kufanya jaribio lolote la kutaka kumdhuru kiongozi wa kidini au yeyote yule.

Nadhani ni muda muafaka kwa wananchi kuilazimisha serikali kuweka wazi uchunguzi na uwajibishaji wa wanaofanya hivi vitendo kama kweli haya yanafanywa na wananchi wa kawaida!

kapimwe akili .au umeshakunywa gongo?
 
>Kama ni la kisiasa anaefanya ni dini gani? Ni kutokana na dini yake kumwakikishia pepo afanyapo hivyo!

kwa hiyo kesi ya maganga ndio wahukumiwe wanyamwezi wote.

soma kwanza ndo upate hoja
 
dar,tanga,pwani,mtwara kihistoria ni himaya ya zenj.

Kama unauelewa hata kidogo wa 'logic' kwa 'premise' yako hiyo hiyo Z'bar ni sehemu ya Tanganyika....na tukitumia hiyo 'premise' Rwanda, Burundi, Malawi na Ziwa tanganyika zima na sehemu zote za goma ni Tanganyika kwa maantki hiyo Kongo na Tanganyika ni nchi moja sijui unanielewa vile!!!
 
Mungiki walikuwa wengi sana lakini Kibaki alipoanza kuwachapa risasi bila mjadala, haikupita mda wakapoa kama makondoo... Nadhan Shein anawalea UAMSHO...

>Serikali ya ccm imeexpaya deti
 
The payback is near....mark my words and save this thread....this is too much!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom