kwikwi, teh teh, mnaanza kung'ang'ania dar sasa, hapo mtatoka hata kwa magreda...Ndugu, kabla hujamrudisha mzanzibari yoyote kutoka darisalama, utaondoka wewe kwanza kurudi sengerema. Wazanzibari siyo watu wa kuja hapa darisalama. Darisalama imewahi kuwa sehemu ya Zanzibar. Sengerema hatuna uhusiano nayo wowote.
achana na ilunga. kwanza umtaje kwa heshma sio kubwata bwaaaa
Wale mabinti wa kizungu walivaa vimini ikasemwa ndio sababu ya kuwamwagia - Sasa huyu Padre nae amevaa nini???
Waislam tuache ujinga wa kushikiliwa vichwa kwa manufaa ya wachache......huu si ubinadamu hata kidogo wala hakuna thawabu kwa matendo haya ya kinyama
Haya mambo yatatugharimu sana hata kwa vizazi vijavyo
Sema usalama wao Ritz. Imani yao ya kidini ndio inayowatesa hivi. Utadhani Mungu naye ana DINI!Hii hali sasa inatisha usalama wetu umekuwa mdogo sana, serikali fanyeni kazi yenu kuwasaidia raia na haya majanga ya tindikali...pole sana Padre kwa mtihani uliyopata Mungu atakujalia.
Hauko sahihi hata kidogo. Huo ni ugaidi tu. Uislam sio ugaidi ila kuna magaidi ambao ni waislamu.
Nina mashaka na Mungu anayeabudiwa na Waislamu. Sithani kama ni Mungu yule tuaminiye ndo Muumba Mbingu na Dunia. Nadhani hawa jamaa wana Mungu wao
majanga tena zanzibar ,padri wa kanisa katoliki amemwgiwa maji yanayodhaniwa ni tindikali leo majira ya saa kumi jioni hii
alikuwa antoka kwenye internet cafe. chanzo cha habari chanel ten
nitakusaidia, uislam uondoe kitengo cha propaganda dhidi ya ukristo! Kuna tuvyuo twa kufundisha kutafsiri Biblia tofauti na kuaminisha kuwa Issa ni YESU na eti Biblia Takatifu imechakachuliwa.
USHAURI: Hakuna jina la YESU kwenye Korani hivyo msilitamke. Mumkome YESU wetu
kwikwi, teh teh, mnaanza kung'ang'ania dar sasa, hapo mtatoka hata kwa magreda...
Wewe utakuwa mgonjwa wa akili kama sikosei au ni mvivu kama mlenda!Yaani unakuja kutoa comment zako uk 12 huko nyuma koote Tangia uk 1-12 wamechangia wanaJF wakaelezea vyanzo tofauti vitatu huoni/hujui bado unauliza!Anayekuruka nani kati yako na mleta bandiko au wewe ndo umemwagia iyo kityu asa unataka kujua vyombo gani vimeripoti uharamia huo.Kwa msaada wako tutani ..ITV,Radio 1...Weka source mkuu mnaanza kazi yenu kukurumbuka tu
Nina mashaka na Mungu anayeabudiwa na Waislamu. Sithani kama ni Mungu yule tuaminiye ndo Muumba Mbingu na Dunia. Nadhani hawa jamaa wana Mungu wao
Kukurumbuka ndio nini??Weka source mkuu mnaanza kazi yenu kukurumbuka tu