Padre amwagiwa Tindikali huko Zanzibar

Padre amwagiwa Tindikali huko Zanzibar

Status
Not open for further replies.
Niliwahi kusikia kipindi kimoja kwenye runinga kuhusu historia ya mtume muhamad ya kuwa kipindi chake cha kueneza dini alitafutwa na maadui zake ili auwawe kwa kujiepusha alikimbilia ethiopia wakati huo na ilikuwa nchi inayoongozwa na wakristo,je kama wakristo ni makafiri,mtume alifata nini ethiopia,sidhani kama haya ni maagizo ya mtume bali haya sio maagizo ya mtume bali wanachokifanya sasa ni tofauti na kile alichoagiza mtume,kwa sasa hadi watoto tunawafundisha kuwa wakristo ni makafiri,je tunawalea katika misingi ipi watoto wetu kama sio ya chuki na uuaji.

Nasikia kafiri maana yake ni mtu asiye na dini.watakuwa wanachanganya kama kubeep na kudipu
 
Kuna watanganyika humu wanawachukia sana wazanzibari. Lakini watanganyika hao hao wanaipenda sana Zanzibari. Katika pita pita zangu za kusoma vitabu, nimewahi kumsoma mtu anayeitwa Hendrik Verwoerd. Huyu jamaa ndiye aliyesimamisha ile sera ya ubaguzi wa rangi Afrika Kusini. Kwa ufupi, huyu jamaa aliwachukia sana waingereza kwa sababu alikuwa akiwaona kuwa waingereza ni Liberals na wanausaliti uzungu. Basi alipata Scholarship ya kwenda kusoma Uingereza akaikataa na akaamua kwenda kusoma Ujerumani ambako ubaguzi ulikuwa ndiyo mtindo wa maisha.

Sasa nilichojifunza kutoka kwa Verwoerd ni kufanya mambo/maamuzi kwa mujibu wa kanuni. Kama huwapendi wazanzibari, basi ichukie na Zanzibari. Kwani lazima muwapelekee dini yenu wakati mnajua kwamba hawaitaki?

Hii tindikali ni matokeo tuu, jee chanzo ni nini? Wajinga wanaacha kutazama chanzo cha matatizo, wanaangalia matokeo ya matatizo. Mbona padri wa biharamulo au peramiho hamwagiwi tindikali?
wanasema kuwa waliambiwaga waeneze dini yao kila kona ya dunia.
 
na sisi tutaanza kuwawinda wazanzibar waliojazana bara!

Hapana tusifanye hivyo. sisi watu wa bara tumelelewa vyema sana uvumilivu na ustahimilivu.....na ndio maana mi nasema wilaya yao ya Zanzibar tuwaachie manake yatawashinda tu. Hawa watu wazenji wavivu juzi juzi mkrugenzi wa Zantel kawatimua watu zaidi ya 120 kazi kuwa hawana tija kama wa bara wabunge wao wakataka kumtoa macho maana ni walewale.

Pili, Umeme unatoka bara tuachane kwa usalama ili tuwauzie umeme, pia nyanya zinatoka bara-Tanga pia tutawauzia nyanya

Tatu, Mwaka 2010 nasikia kambi ya Mafunzo ya jeshi makutupora waliwekwa kikosi tofauti na watz wa bara ili wapunguziwe zoezi maana wangekufa waishe ni rojo rojo.
 
kuna kitu hapa sielewi sheikh kamwagiwa tindikali mara padre huko zanzibar kandayaziwa nako sheikh kamwagiwa tindikali hivi hapa uislam unaingiaje kwa wale mnao husisha uislam .....
 
na sisi tutaanza kuwawinda wazanzibar waliojazana bara!

Ndugu, kabla hujamrudisha mzanzibari yoyote kutoka darisalama, utaondoka wewe kwanza kurudi sengerema. Wazanzibari siyo watu wa kuja hapa darisalama. Darisalama imewahi kuwa sehemu ya Zanzibar. Sengerema hatuna uhusiano nayo wowote.
 
Hata mitume wa awali walipitia mateso makali tu Yakobo alikatwa kichwa, Yohana mbatizaji alikatwa kichwa, Petro alisulubishwa msalabani kichwa chini, Paulo nae pia alipigiliwa msalabani haya hayana budi kutokea ila neno la Bwana lazima lihubiriwe kila mahali kwa mataifa na makabila yote,, mungu ampe nguvu apone haraka aendelee kupiga neno huko Zanzibar na kwingineko Roho atakapomtuma.
 
wanaamini kuwa wakifanya hivyo wanapata thawabu kwa Mungu wao, sijui Mungu wao anakula damu za watu. shit tuepushie mbali na watu hawa
 
Zanzibar sio mahali salama tena kwa WAKRISTO.!!
Tusikimbilie huko,ila ukweli wa mambo ni kwamba hao wahalifu wamejiridhisha kwamba serikali yetu haipo na ndo maana wanafanya wanavyotaka,kwa hiyo si sahihi kuwa si salama kwa wakristo peke yao kwani kuna sheikh wa huko asha onja joto ya jiwe,alipigwa na kitu cha tindikali,serikali inapaswa kuamka kwenye huu usingizi wa pono iliolala ili wananchi wasiishi kwa hofu kwenye nchi yao.Vyombo vya dola viache kusumbuana na vyama vya siasa hasa vya upinzani vikimbizane na hawa wahalifu.
 
Ni muda muafaka wafanyakazi waliopo zanzibarkutokea bara kulipwa posho ya kufanya kazi mazingira hatarishi “risk allowance”

Kwa idadi ya wabara walioko kule dah itakuwa pesa ndefu.
 
Nina mashaka na Mungu anayeabudiwa na Waislamu. Sithani kama ni Mungu yule tuaminiye ndo Muumba Mbingu na Dunia. Nadhani hawa jamaa wana Mungu wao

Acha uzoba wewe, Mbona sheikh huko huko zenj kamwagiwa tindikali, Arusha Sheikh karipuliwa na Bomu,wasichana wa Kiingereza wamemwagiwa Tindikali, hao ni wahalifu kama wahalifu wengine na ndio maana hutasikia tukikuhoji waliojaza Watutsi kanisani wakaita Interahamwe wawauwe kisa tu wanatofautiana vimo na Urefu wa sura na Pua, uhalifu upigwe vita usianzishe chokochoko za kidini!
 
Mimi naamini hii imefanywa na watawala na si waislamu, imefanywa ili kupoteza sura ya suala la znz kutoshirikishwa katiba mpya. Waislamu ni ndg zetu, tusichukiane kwa mbegu zinazopandwa na watawala tukakamilisha malengo yeo.
Suala la mbowe kufukuzwa bungeni na suala la znz kutoshirikishwa ktk katiba mpya liliwaleta pamoja wapinzani, na wananchi hvyo lazma itatafutwa mbinu ya kuwagawanya tena

wewe ndugu yangu una macho ya kuona.

mimi hii naifananisha na ile ya BABU WA ROLIONDO.ni mbinu ya kugeuzwa ili maandamano ya nchi nzima sitishwe.na hii itafanikiwa kwa sababu wakristo ni watu wa matukio ya muda,wanawe hisia mbele uchunguzi nyuma.
siku zote tunasema elimu iwekwe mbele imani iwe nyuma.
yaani kabla ya kuamini kitu chochote hata awe mungu kwanza inatakiwa elimu yake umjue alivyo na anataka nini ndio ukubali kuamini.
binaadamu unatakiwa kuwa na elimu ya (mlinganyo) yaani kulinganisha mambo sio kukurupuka na hisia za imani.
 
Acha uzoba wewe, Mbona sheikh huko huko zenj kamwagiwa tindikali, Arusha Sheikh karipuliwa na Bomu,wasichana wa Kiingereza wamemwagiwa Tindikali, hao ni wahalifu kama wahalifu wengine na ndio maana hutasikia tukikuhoji waliojaza Watutsi kanisani wakaita Interahamwe wawauwe kisa tu wanatofautiana vimo na Urefu wa sura na Pua, uhalifu upigwe vita usianzishe chokochoko za kidini!
Mkuu basi tusaidie ili kuondoa huu mkanganyiko... kwani huko Z'bar walengwa wa tindi tamu(kali) ni akina nani maana mkanganyiko huu utapelekea wake kuwakimbia sasa, maana hawajui nani anayefuatia
 
Ni muda muafaka wafanyakazi waliopo zanzibarkutokea bara kulipwa posho ya kufanya kazi mazingira hatarishi “risk allowance”
 
Waislam siku zote yakitokea matukio ya kinyama kama hayo huwa tunalaani lakini wakristo walio wengi huwa wanafurahi madhila kama haya yanapowakuta waislam mfano alipopigwa risasi Sheikh Ponda,humu humu jamii forum,tena walidiriki kusema bora huyo Gaidi angekufa,hao ndio baadhi ya wakristo,lakini sisi waislam tunalaani vitendo vya kinyama kama hivyo.

Ili kukomesha matukio kama haya lazima wakristo na waislam tushirikiane kwa pamoja kuibana serikali ili iwasake wahusika wote na hatimaye wapewe adhabu kali ili iwe fundisho kwa wanahusika na matendo ya kinyama kama hayo

sababu ni upuuzi wenu wa kung'ang'ania kuwa Ustaadh Issa ni YESU. Mngekuwa mnaandamana na hata kuuana kwa kumponda Issa hakuna ambaye angewajali. Jina la YESU liko kwenye Biblia tu. Hakuna hata kanisa moja linalosema YESU ni Issa, ila ninyi tu
 
>Ubaguzi ni kitu kibaya sana hivi hao waliosimama wakishangaa hawakuweza kumpa msaada? Kisa ni mkristo? Wazanzibari acheni hizo... Dini haitaki mambo ya kishenzi kama haya... Kama inayakubali itakuwa dini ya shetani!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom