Jof3
JF-Expert Member
- Jan 28, 2013
- 663
- 324
hivi gaidi mkuu shehe ilunga alishakamatwa!!???
achana na ilunga. kwanza umtaje kwa heshma sio kubwata bwaaaa
hivi gaidi mkuu shehe ilunga alishakamatwa!!???
Ndiye huyu Padre?
Mkuu Matukio haya ya Viongozi wa dini kumwagiwa tingikali; si huko zanzbar tu, na wala si wachungaji tu. Hata mashekhe pia tumeona.Wanaofanya matukio haya ni kundi linalofahamika vyema.Serikali na vyombo vya usalama vinalifahamu kundi hilo vyema.wanajua vyema kwamba lengo la kundi hilo ni kuchochea vita vya kidini ili kuhamishia tension yote huko na kuacha mambo mengine lakini hawajachukua hatua.Mimi ninachokisema; Serikali hii haitoweza kukwepa lawama kwa madhara yote yatakayojitokeza.Haya yanatokea katikati ya mhemko wa Katiba mpya ya Muungano na Muundo wa Muungano huo,
Zingatieni matukio ya nyuma kisha ulizeni serikali ya Zanzibar na ya Jamhuri zimefikia wapi katika kuchukua hatua?
Mkikosa jibu rudini chini kwa tafakuri pembuzi, kisha ulizeni nani yupo juu ya serikali mpaka akatamalaki katika uga huo?
Mkimaliza yote utulieni na serikali, muiulize lengo lake litatimia kama jamii fulani imekataa ukandamizwaji?
Inauma sana, inauma sana,
Inauma hasa unapomuina muuaji akikufumba macho kwa bakuli la tume,
Kama Mungu ulivyo wa haki, na iwe vile upendavyo katika ardhi ya Zanzibar na katika Ardhi ya Tanganyika,
Watawala wakaidi na useme nao kwakufungua fikra za watu wako na wawe huru chini ya uvuli huu wa mauti!
hahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaView attachment 111741
vipofu mabubu viziwi ndio wanaweza kudanganyika na expenderble way of tactics.
1.si muda mrefu tangia freeman mbowe kutolewa nje bungeni.ambapo ilipekea wabunge wa cuf na nccr kutoka nje kwa vurugu.
2.the main issue ilikuwa zanzibar kutoshirikishwa katika mabadiliko ya rasimu
3.huu uwasi wa uamsho hauendani na recent event yoyote ya hivi karibuni.
namalizia kwa kusema msidandie treni kwa mbele kwa lile msilo lijuwa.
>Hiyo picha inamwonyesha padre akiwa amemwagiwa tindikali lakini hana msaada wowote kutoka kwa hao washenzi waliomzunguka!
Serikali legelege....
>Mkristo kamwe hawezi kupata haki zanzibar...!Wazanzibar ni watu waajabu wasio na upendo.. Mungu wao hana upendo kwa wanadamu wenzao.. Mungu wao anawataka kuwauwa wasiofungamana nao! NADHANI HIZI NI DINI ZA IBILISI...
Sababu ya yote haya ni woga wa kuchukua hatua!
Zenji si salama kwa wakristo.
Ni kweli mkuu watu hawaujui uislamu lakini wao ndio wakwanza kuhukumukama hawautaki ukafiri,suluhisho ni kuwamwagia watu tindikali?
Msitake kuleta tafrani ambazo hazina uhalisia,
Ieleweke hasa,kipi wanagombania,usitake kuamsha hisia za watu waje waseme kwamba wanaofanya ivo ni waislam,hakuna kipengele katika uislam kinachohalalisha ukatili kama huo kwa watu wa iman zingine,
Kama huna cha kuandika ni vema ukakaa kimya,
Hayo mambo yanafanywa na waislamu. Dalili zote ni wao. Huku Bara hatumwagii mapadri tindikali wala shehe.HAO WAISLAMU WANAOFANYA HAYO hawawezi kulazimisha kueneza uislamu kwa njia za kipuuzi kama hizi.
Nina mashaka na Mungu anayeabudiwa na Waislamu. Sithani kama ni Mungu yule tuaminiye ndo Muumba Mbingu na Dunia. Nadhani hawa jamaa wana Mungu wao
Wazanzibar ni watu wa amani sana na huu utakuwa ni mchezo wa wale wanaogogopa kuiona ZNZ ikiwa huru. Hatuwezi kumeza propaganda za kijinga kama hizi, haingii akilini mtu mwenye akili timamu akammwagia tindikali au kufanya jaribio lolote la kutaka kumdhuru kiongozi wa kidini au yeyote yule.
Nadhani ni muda muafaka kwa wananchi kuilazimisha serikali kuweka wazi uchunguzi na uwajibishaji wa wanaofanya hivi vitendo kama kweli haya yanafanywa na wananchi wa kawaida!
Wana JF,
Nina habari mbaya za Padre Mwang'amba wa Kanisa Katoliki Zanzibar kumwagiwa tindikali huko Mlandege katika cafe ya Sun Shine.
More information to follow.
Nina mashaka na hii dini inayoenezwa kwa kumwaga damu za binadamu wengine