Pole yake, hafu unapoandika uwe makini,ulikuwa unakimbilia nini sasa!!?, kupost au?!
Zenji si salama kwa wakristo.
Juzi Marekani walitaka kupeleka majeshi kumaliza vita ndani ya Syria, usiku ule ule wapinzani wakaenda kuwachinja wakristo ambao Assad alikuwa amewapa ulinzi wakaishi kwa amani miaka yote. Ilipofika asubuhi Kesho yake , siku ambayo dunia ilitegemea kumsikia Obama atangaze vita stori ilibadilika akasema tuache diplomacy ichukue mkondo. (hakuna tena haja ya kutuma majeshi kumuondoa Assad)
Vita imeachwa iendelee watajijua wenyewe
Utamaduni wa tindikali Zanzibar umekuwa sehemu ya maisha ya kila siku, nadhani nimewahi kusikia masheikh kama watatu au wawili nao walimwagiwa tindikali. Hii hali tukiiacha iendelee itakuja kuwa kama Syria tu.
Kwa kifupi nikiwa Zanzibar halafu namuona kijana ana kidumu mkononi anatembea kuja upande wangu lazima nipige risasi hewani
Mwenye akili na aelewe
hatari ni hatari lakini salamaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!View attachment 111743
Mpaka wawamalize au muwachie wapumuweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee! bila shaka wanaagiza tindikali kwa mameli, na wanayo nyingi wala haiishi, mtakwisha nyinyi.
View attachment 111737
Waislam siku zote yakitokea matukio ya kinyama kama hayo huwa tunalaani lakini wakristo walio wengi huwa wanafurahi madhila kama haya yanapowakuta waislam mfano alipopigwa risasi Sheikh Ponda,humu humu jamii forum,tena walidiriki kusema bora huyo Gaidi angekufa,hao ndio baadhi ya wakristo,lakini sisi waislam tunalaani vitendo vya kinyama kama hivyo.Wana JF,
Nina habari mbaya za Padre Mwang'amba wa Kanisa Katoliki Zanzibar kumwagiwa tindikali huko Mlandege katika cafe ya Sun Shine.
More information to follow.
Haya sasa, inasemekana kumbe padri huyu alikuwa anamgegeda mwanamke aliyeachika wa bwana Mohamed Tawaqal mkazi wa Kisima majongoo. Bw. Tawaqal aliwahi kumpa onyo padri huyu kwamba mahusiano ya Padri na bi Munawwar, ambaye ni mtalaka wa bwana Tawaqal yamesababisha jitihada za Bw. Tawaqal za kurudiana na mkewe zisizae matunda; alisikika akisema sheha wa kisima majongoo bwana Omary Turist, au Enchaidi.
Wajaamen, habari ndiyo hiyo.
mapadri wenyewe hawa dizayni ya yule mzee wa bonde la mpunga, usishangae kusikia tindikali hewani kila siku.
Wewe ni --------.
Hapa umenena!
duh,nilitaka kujibu dry,ngoja nijizuie kwanzamkuu ndo unajua leo? Hebu pitia hapa upate zaidi. Www.bibleprobe.com
mzee wa kujifichia magari una bastola au ndiyo iliyotumika soweto Arusha.Juzi Marekani walitaka kupeleka majeshi kumaliza vita ndani ya Syria, usiku ule ule wapinzani wakaenda kuwachinja wakristo ambao Assad alikuwa amewapa ulinzi wakaishi kwa amani miaka yote. Ilipofika asubuhi Kesho yake , siku ambayo dunia ilitegemea kumsikia Obama atangaze vita stori ilibadilika akasema tuache diplomacy ichukue mkondo. (hakuna tena haja ya kutuma majeshi kumuondoa Assad)
Vita imeachwa iendelee watajijua wenyewe
Utamaduni wa tindikali Zanzibar umekuwa sehemu ya maisha ya kila siku, nadhani nimewahi kusikia masheikh kama watatu au wawili nao walimwagiwa tindikali. Hii hali tukiiacha iendelee itakuja kuwa kama Syria tu.
Kwa kifupi nikiwa Zanzibar halafu namuona kijana ana kidumu mkononi anatembea kuja upande wangu lazima nipige risasi hewani
Mwenye akili na aelewe
Z'bar nimeishi miaka saba hata ukiwa muislam hawakuamini kwa kuwa umetoka bara,utaulizwa ulizaliwa muislam au ulibadili?