chikutentema
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 7,730
- 5,013
Nje ya muungano Zenji kama Rwanda
Kivipi kama ni ukubwa kijiografia Rwanda ni Kubwa maana wilaya ya Bahi mkoani dodoma ni kubwa kwa nchi ya znzbar
Nje ya muungano Zenji kama Rwanda
Nina mashaka na Mungu anayeabudiwa na Waislamu. Sithani kama ni Mungu yule tuaminiye ndo Muumba Mbingu na Dunia. Nadhani hawa jamaa wana Mungu wao
duh,nilitaka kujibu dry,ngoja nijizuie kwanza
Zenji si salama kwa wakristo.
kuna kitu hapa sielewi sheikh kamwagiwa tindikali mara padre huko zanzibar kandayaziwa nako sheikh kamwagiwa tindikali hivi hapa uislam unaingiaje kwa wale mnao husisha uislam .....
Kivipi kama ni ukubwa kijiografia Rwanda ni Kubwa maana wilaya ya Bahi mkoani dodoma ni kubwa kwa nchi ya znzbar
wanaamini kuwa wakifanya hivyo wanapata thawabu kwa Mungu wao, sijui Mungu wao anakula damu za watu. shit tuepushie mbali na watu hawa
Aise Im expecting to go there next week kikazi...aise nimeogopa sana, na naenda HQ kuomba kubadilishwa haraka sana, siwezi tena kwenda kufanya kazi huko ,dah...Im highly bit scared!!
Muungano uvunjwe, machogo hamtakiwiiiiiiii
Nilikuwa natafuta jibu zuri la kumpa huyu mtu, naona umemaliza mkuu.Kwa hiyo kwa Wazanzibar kuwepo binadamu mwezao asiye muislamu ni dhambi, ila ushoga na madawa ya kulevya ruksa? Huyo mungu wenu ni wa ajabu sana. He is more or less a Satan!
Wana JF,
Nina habari mbaya za Padre Mwang'amba wa Kanisa Katoliki Zanzibar kumwagiwa tindikali huko Mlandege katika cafe ya Sun Shine.
More information to follow.