Gang Chomba
Platinum Member
- Feb 29, 2008
- 20,734
- 4,869
Dini ni uongo unaoelekea kupitwa na wakati...
Padri wa kanisa
Katoliki Parokia ya Cheju
Zanzibar,Joseph Mwangamba
amemwagiwa tindikali na kujeruhiwa
usoni na kifuani
source..East Africa Radio.
Wale mabinti wa kizungu walivaa vimini ikasemwa ndio sababu ya kuwamwagia - Sasa huyu Padre nae amevaa nini???
Waislam tuache ujinga wa kushikiliwa vichwa kwa manufaa ya wachache......huu si ubinadamu hata kidogo wala hakuna thawabu kwa matendo haya ya kinyama
Haya mambo yatatugharimu sana hata kwa vizazi vijavyo
...znz ni kisiwa cha udini...!
hii sasa ni to much! Shein nchi imemshinda!
mkuu; ishu hapa si waislam wala wakristo, Ishu hapa ni makundi ya uhalifu ambayo hayajadhibitiwa. Ikumbukwe kwamba uhalifu hufanywa na watu na watu hawa wanaweza kuwa na dini zao ila sio dini hizo zinazowatuma watu kufanya uhalifu.Muhalifu bila kujali dini yake ni muhalifu tu na anayedhuriwa bila kujali dini yake ni lazma atetewe.Binafsi naamini watu wanaoyahusisha matukia haya na dini fulani (yoyote iwayo) ni wale wale wanaoyafanya matukio husika ambao mimi naamini lengo lao ni kuchochea migogoro ya kidini.Kwa hiyo wanapomdhuru kiongozi hivyo halafu wakawa wanachochea "watakuwa ni watu wa dini fulani", na siku nyingine anadhuriwa kiongozi wa dini nyengine; basi utasikia tena wanachochea "Watakuwa ni wale wa dini nyengine" basi mgogoro unakuwa na muhalifu anakuwa kafikia lengo.Nadhani sisi tujaribu kujiepusha kuwa sehemu ya kumfanya muhalifu kufikia lengo la kuichonganisha jamii. ANAYEFANYA UHALIFU ABEBE MSALABA WAKE MWENYEWE.Nina mashaka na Mungu anayeabudiwa na Waislamu. Sithani kama ni Mungu yule tuaminiye ndo Muumba Mbingu na Dunia. Nadhani hawa jamaa wana Mungu wao