mwagavumbi 11
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 1,254
- 44
hii ni hatari, pole sana padri Joseph Magambahatari ni hatari lakini salamaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!View attachment 111743
hii ni hatari, pole sana padri Joseph Magambahatari ni hatari lakini salamaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!View attachment 111743
Tunafanya makosa makubwa sana kuhusisha wenzetu waislamu na kila tukio la kumwagiwa tundikali watumishi wa Mungu huko Zanzibar ambao si Waislamu. Inawezekana wanaofanya hivyo dini zao ni Uislamu lakini si kwamba Uislamu ndio umewatuma wafanye hivyo na sidhani kwamba uislamu unaagiza waislamu kuwadhuru wasio waislamu. Labda tujiulize swali mara moja, kwa nini inapotokea Muislamu flani akiinde kuiba kwa kutumia silaha kwenye nyumba ya Mkristo hatusemi ni Waislamu? Au pale Mkristo anapoenda kuiba kwenye nyumba ya Muislamu kwa kutumia bastola na pengine kusababisha vifo hatusemi ni Wakristo?
Ninachojua Mimi kuna watu wanataka kutumia mgongo wa dini kuvuruga amani Zanzibar na Tanzania kwa ujumla. Ni vyema Watanzania mkalijua hili mapema. Ni mwendelezo ya matukio ya ki-uoga. Pole sana Padri, poleni Wakatholic wote na Waislamu wote mlioguswa na tukio hili baya..
mbona ya sheikh ponda mnafurahia na yapadre mnahuzunika,kumbe mkuki kwa nguruwe
Tunafanya makosa makubwa sana kuhusisha wenzetu waislamu na kila tukio la kumwagiwa tundikali watumishi wa Mungu huko Zanzibar ambao si Waislamu. Inawezekana wanaofanya hivyo dini zao ni Uislamu lakini si kwamba Uislamu ndio umewatuma wafanye hivyo na sidhani kwamba uislamu unaagiza waislamu kuwadhuru wasio waislamu. Labda tujiulize swali mara moja, kwa nini inapotokea Muislamu flani akiinda kuiba kwa kutumia silaha kwenye nyumba ya Mkristo hatusemi ni Waislamu? Au pale Mkristo anapoenda kuiba kwenye nyumba ya Muislamu na bastola pengine kusababisha vifo hatusemi ni Wakristo?
Ninachojua Mimi kuna watu wanataka kutumia mgongo wa dini kuvuruga amani Zanzibar na Tanzania kwa ujumla. Ni vyema Watanzania mkalijua hili mapema. Ni mwendelezo ya matukio ya ki-uoga. Pole sana Padri, poleni Wakatholic wote na Waislamu wote mlioguswa na tukio hili baya..
Acha undumilakiwili wako,unauhakika waislam wamefanya huo unyama,said kubenea nani alimwagia tindikali,maneja wa home shopping center,sheikh Soraga,wale waingereza.Serikali iseme nani anayofanya matendo haya.Nina mashaka na Mungu anayeabudiwa na Waislamu. Sithani kama ni Mungu yule tuaminiye ndo Muumba Mbingu na Dunia. Nadhani hawa jamaa wana Mungu wao
[h=5]Padri wa kanisa Katoliki Parokia ya Cheju Zanzibar,Anselmo Mwangamba amejeruhiwa usoni na kifuani baada ya kumwagiwa tindikali.[/h]
Sorce: I T V Breaking news!!!!!
Nina mashaka na Mungu anayeabudiwa na Waislamu. Sithani kama ni Mungu yule tuaminiye ndo Muumba Mbingu na Dunia. Nadhani hawa jamaa wana Mungu wao
Haya sasa, inasemekana kumbe padri huyu alikuwa anamgegeda mwanamke aliyeachika wa bwana Mohamed Tawaqal mkazi wa Kisima majongoo. Bw. Tawaqal aliwahi kumpa onyo padri huyu kwamba mahusiano ya Padri na bi Munawwar, ambaye ni mtalaka wa bwana Tawaqal yamesababisha jitihada za Bw. Tawaqal za kurudiana na mkewe zisizae matunda; alisikika akisema sheha wa kisima majongoo bwana Omary Turist, au Enchaidi.
Wajaamen, habari ndiyo hiyo.
mapadri wenyewe hawa dizayni ya yule mzee wa bonde la mpunga, usishangae kusikia tindikali hewani kila siku.