Padre amwagiwa Tindikali huko Zanzibar

Padre amwagiwa Tindikali huko Zanzibar

Status
Not open for further replies.
Kwa nini unahusisha vitendo vya kihalifu na uislamu na waislamu? Kwa ninu unatoa hukumu kuwa ni waislamu ndio wamefanya? Uislam ni dini ya amani, na IMEKATAZA kuwadhuru watu wa imani nyigine. Usichanganye dini na matendo binafsi ya watu wachache wanaofanya uhalifu kwa maslah yao ya kisiasa

Dunia inakwenda prove kwa kutumia waislam..kuwa shida ni uislam.....unafiki wa Russia , na urafiki wake wa siri na US pale Syria na proposal ya Putin ya uongo ni njia ya kuwatosa Waasi bila mpa kichwa Bashar, na bila let achuki kwa US toka kwa waasi, na kwa Russia na Bashar.....Wanajua idadi ya mujahideen waliopo pale wanaopigana na kuua wakristu wanaolazimishwa kupigana vita upande wa hawa brotherhood na terrorist wengine si ya kuchezea..wanajua kumtoa mashir kunaweza waletea mambo ya ajabu sana..na unafiq wa waislam ktk issue km hizi ni sawa na akina kova na matendo ya Polisi na CCM nchini kwetu.

Nadhani Waislam badala ya kupoteza muda kuwaambia watu kwa maneno matupu ..sijui ni dini ya amani, sijui kuhusisha dini..halafu watu wanashuhudia mambo yanazidi kuwa mabaya nyie mnabai piga hizo hadithi tuu....mlitakiwa muanza kuwakanya wenzenu...mpigane nao hadi waache fany ahayo mambo kwa jina la dini yenu....Hapo tutaaminiana.
 
Wandugu tusikimbilie kutengeneza dhana. Tusubiri watu wa inteligensia watoe majibu. Kisha kulihusianisha hili ni dini ni mapema mno. Jambo moja liko wazi lakini, Zanzibar is increasingly becoming unsafe hasa kutokana na matukio ya tindikali. Sidhani kama kuna uislamu unaofundisha ujinga kama huu. Mtume wao hakufundisha hivyo! Hata inasemwa kuwa alikuwa na huruma hata akaoa mke wa miaka sita/saba hivi.

huruma? Unajua ni watu wangapi kaua? Kuoa mtoto wa miaka sita (Aisha) ni huruma?
 
kama ni hakimu nakufunga kifungo cha maisha unataka uthibitishie umma kuwa pls ni mashia?


ndio maana naanza kumuelewa Assad wa syria kuwafuta kwenye uso wadunia,,wasuni ndio chanzo cha vurugu duniani washia hawana matatizo.
 
Jesus alikuwa na powerful msg..utaujua mti kwa matunda yake...............Gospel ni powerful sana...ni kitu unachoweza sikia na ku ignore ila wengine wanatumia hadi silaha kukabilina nayo.....bado hawapati imani.


KUPIGANA NA UJUMBE WA INJILI NI KUFANYA KAZI BURE.....SASA UNAHITAJI KUCHOMA SI BIBLIA ZOTE,PIA KUCHOMA SERVER ZOTE DUNIANI NA ANGANI.KUUHAMISHA UJUMBE WA INJIL NI KM KUJIUA..KUNA SEHEMU NYINGI SANA UMEJIWEKA..MAHAKAMANI, KTK SAYANSI, KTK UCHUMI...KTK JAMII NA KTK KUKIMBIZA GIZA SHETANI.....
 
Padri wa kanisa
Katoliki Parokia ya Cheju
Zanzibar,Joseph Mwangamba
amemwagiwa tindikali na kujeruhiwa
usoni na kifuani
source..East Africa Radio.

tuwaulize wakina HAMY-D, LUKOSI, RITZ etc ili watupe majibu kwani wanajua haya manbo. swala la unga wamekataa kulizungumzia labda hili watajaribu. Au labda wamekimbilia dodoma kuangalia maana ya kuwa mtu makini!
ili w
 
sisi Mungu wetu hakuwambwa msalabani wala hakuwahi kufa na hakuwahi kupigwa picha !

ila anaishi Makkah na pia shetani yuko huko huko kama ukuta na mnampiga mawe! Allah huyo huyo aliruhusu mtume wako kuoa mtoto wa chekechea (Aisha).
Huyo huyo Allah alisema ukijitoa muhanga utakuta mabikra wanasubiri dushelele lako!
 
umeona eeh?.

Watu wanakuwa brain washed na mahubiri ya upanga kwa upanga then wanaua wenzao wasiowakubali kiimani,si mnamkumbuka yule mnyama Ghailan aliyelipua ubalozi ni mzawa wa huto huto tu visiwa.
 
Ndg yang kua muungwana kwan hakuna sheikh aliewah mwaguwa acid? So na cc 2seme nn kuhusu ukristo wenu??

Mbona ilikemewa sana humu....ila mara nyingine ugomvi wa waislam huwa hawapendi sana kafir kuingilia hata km vurugu hizo huingia hadi kwa kafir..ndio maana WANATAKA MAHAKAMA YA KADHI...
 
Hii ni dhambi kubwa itakayo mtavuna JK na ccm, wao ndio wanzilishi wa udini chini mwavuli wa ulinzi wa ccm,sasa angalia yote yanayotokea hapa nchini, Ndugu zangu watanzania bara tuungane kuiondoa ccm imekuwa ni laana juu ya nchi hii, wangapi wamemwagiwa na kuawa na hakuna hata mmoja aliyekamatwa?
SHAME UPON KIKWETE NA UONGOZI WAKO WA KIPUMBAVU.
Padri wa kanisa
Katoliki Parokia ya Cheju
Zanzibar,Joseph Mwangamba
amemwagiwa tindikali na kujeruhiwa
usoni na kifuani
source..East Africa Radio.
 
Sasa naanza kumwelewa mmarekani na vita yake ya uislamu chini ya mwamvuli wa ugaidi.mia

Mimi nimemwelewa sheikh mtani wangu nilipombana kuhusu "Majinn na ufugaji wake unavyohitaji damu " aliniambia dini yake ni uganga.....
 
sisi Mungu wetu hakuwambwa msalabani wala hakuwahi kufa na hakuwahi kupigwa picha !

ila anaishi Makkah na pia shetani yuko huko huko kama ukuta na mnampiga mawe! Allah huyo huyo aliruhusu mtume wako kuoa mtoto wa chekechea (Aisha).
Huyo huyo Allah alisema ukijitoa muhanga utakuta mabikra wanasubiri dushelele lako!
 
sisi Mungu wetu hakuwambwa msalabani wala hakuwahi kufa na hakuwahi kupigwa picha !

haha..dhan ya Mungu ni pana sana....ila ni simple sana kwa Waaminio Mungu wa Yesu......sifa za mungu wako pia ni controversial hasw aikizingatia mnavyojitahidi mfanyia kazi, mnavyojitahidi mlinda na kufumba watu midomo sifa zake mbaya, mnavyojitahidi mwekea mipaka....hardly unaweza niconvince km ana nguvu zaidi ya wafuasi wake.....muda huu tuu nimetoka shuhudia binti analilia damu na kung`at wengine.. mama yake akimpa damu anatulia, sheikh kachoma ubani binti katulia....ila wenyewe wanasema ni routine...ni zoezi la kisa siku.....

Kwa mwendo huu damu yenye thamani itakuwa ya wakristu........
 
ila anaishi Makkah na pia shetani yuko huko huko kama ukuta na mnampiga mawe! Allah huyo huyo aliruhusu mtume wako kuoa mtoto wa chekechea (Aisha).
Huyo huyo Allah alisema ukijitoa muhanga utakuta mabikra wanasubiri dushelele lako!

Sawia mkuu wangu.sumu ya neno ni neno.
 
Nina mashaka na Mungu anayeabudiwa na Waislamu. Sithani kama ni Mungu yule tuaminiye ndo Muumba Mbingu na Dunia. Nadhani hawa jamaa wana Mungu wao

acha ujinga ww, kwahiyo kila tukio la tindikali ni waislam?
 
Mkuu unapochangia hoja ni busara sana kutotoa maneno yanayoweza kumjeruhi mwingine kiimani,kisaikolojia n.k. maandishi yako yanajeruhi dini uliyoitaja na kuilalamikia. Kumbuka uislamu ni dini inayohubiri amani, usichanganye dini na matendo binafsi ya watu.
Zanzibar ni zaidi ya uijuavyo, kutuhumu matukio hayo kuwa yanafanya na waislamu ni makosa makubwa. Ni mahakama pekee yenye mamlaka ya kutoa hukumu. Kwa nini unahukumu kwa hisia tu? Au ndio great thinkers wanatakiwa wawe hivyo? Acha chuki za kidini, tutulie tuviache vyombo vya usalama vifanye kazi yake.

kaendeleeni kugalagala kwenye msikiti wa kariakoo kutwa huku mkisubiri tende za uarabuni,
endeleeni na uvivu wenu tutawaamisha wote hapa mjini mjazane huko mbagala, tumeanzia mbezi, bunju hadi bagamoyo tutafika hadi wote mkimbilie mafia au rufiji
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom