Padre amwagiwa Tindikali huko Zanzibar

Padre amwagiwa Tindikali huko Zanzibar

Status
Not open for further replies.
Taarifa zote tunazo. Waliotaka kumuua ni kundi LA wakristo askari waliotumwa na kanisa. A cha uzabizabina. Majina tunayo.

Kama majina unayo itakua vizuri sana ukitufungua ufahamu, yan unaonyesha akilini kwako ni ZERO kabisa, nyie ngojeni na zanzibar yenu aichukue muarabu muone atakachowafanya, kuhatarisha maisha ya watu na nchi yetu kuitia doa,
 
Haya matukio mnayatengeneza wenyewe makafiri ili mpate kuwasulubu waislam,hamtofanikiwa kwa hilo.

[MENTION]Bobwe [/MENTION] soma hapa chini maana ya kafir, fundi msati ametusaidia.

hapa ndipo tatizo lilipo uislam jambo lakwanza kulitangaza ni kusoma maana ukisoma hauta kuwa na fikra mgando KAFIR ni neno la lugha ya kiarabu kiswahili maana yake MPINGAJI waimani flan hivyo huwa halichagui ukristo wala uislam yeyote anaweza kulitumia kwamaana ileile ikawa ni sahihitu lisiwaume
 
Last edited by a moderator:
Siwachukii waislamu bali nauchukia uislamu
Hawa waislamu ni kaka,Dada,Wajomba na shangazi zetu Kifupi ni ndugu zetu na kila cku tunao majumbani mwetu lakini uislamu unachowafundisha nina shaka nacho kwani hata makundi mengi ya kigaidi yako upande wao na inasikitisha sana pale mtu kabla ya kujitoa muhanga anasema Allah Akubar ni aibu sana kwani hakuna Mungu mkubwa anayesapoti huu unyama labda wa uislamu tu.
 
Kama majina unayo itakua vizuri sana ukitufungua ufahamu, yan unaonyesha akilini kwako ni ZERO kabisa, nyie ngojeni na zanzibar yenu aichukue muarabu muone atakachowafanya, kuhatarisha maisha ya watu na nchi yetu kuitia doa,

Nawafananisha na MTU ANAYEJIIBIA NGUO ZAKE MWENYEWE NA KUZIFICHA KWENYE KABATI KISHA ANATANGAZA AMEIBIWA...zero hamna elimu
 
Wakristo sisi ni wazito pia kuchukua hatua,hata mkwara tuu tulishindwa kupiga kwa yale matukio mawili ya awali (Arusha na Zanzibar) kushinikiza watawala wachukue hatua,mpaka siku attempt afanywe kwa mwadhama kardinali ndo tutajua hali si shwari.
Viongozi wetu sharti watoe matamko,hali si shwari kabisa.
 
Kwa nini unahusisha vitendo vya kihalifu na uislamu na waislamu? Kwa ninu unatoa hukumu kuwa ni waislamu ndio wamefanya? Uislam ni dini ya amani, na IMEKATAZA kuwadhuru watu wa imani nyigine. Usichanganye dini na matendo binafsi ya watu wachache wanaofanya uhalifu kwa maslah yao ya kisiasa



Quran (4:76) - "Those who believe fight in the cause of Allah…"
 
Wakristo wanafundishwa kusamehe, lakini ndugu zetu wao wanafundishwa KURIPA kisasi
 
Mzizi uchumbuliwe kuwa wale jamaa wa pili wana tatizo na upande athirika..refer maneno ya LEMA mjengoni..mkulu anaulea kwa woga
CD zenye undani wa uleaji huo bado hatujaziona hadharani.. ngoja tusubiri.
 
Sasa naanza kumwelewa mmarekani na vita yake ya uislamu chini ya mwamvuli wa ugaidi.mia
 
Mimi nawashangaa nyinyi wa dini nyingine akiuliwa au akipigwa sheikh mnasema gaidi ila mchungaji ama padri mnachooonga, mi naona wamekosea bora wangemuua tu tuheshimiane!!!

Natamani angekuwa ni baba yako alafu uongee ivyo...tatizo hamna utu na chuki tuu ndo zimewajaa hamna lolote la zaidi watoto wa ma mdogo mna tabu sana
 
hapa ndipo tatizo lilipo uislam jambo lakwanza kulitangaza ni kusoma maana ukisoma hauta kuwa na fikra mgando KAFIR ni neno la lugha ya kiarabu kiswahili maana yake MPINGAJI waimani flan hivyo huwa halichagui ukristo wala uislam yeyote anaweza kulitumia kwamaana ileile ikawa ni sahihitu lisiwaume

Kafir nimshenzi asiye na ustaarabu wa dini(huku tunawaita wapagani).....haswa ya kiislam...si lazima awe mpingaji...huu upingaji ni dhana manyotaka iingiza ili waonekane ni wachokozi..wanaowapinga....hata km hawawakubali si lazima wawapinge....(kuna tofauti ya opposing na ignoring)...Dhan aya kupinga ndio inayojaribu jenga dhana y akuhalilalisha waislam kuwashambulia..kwa gia ya kujilinda.

Si wapagani wote wana time na waislam au dini nyingine...wachache huwa na upinzani haswa pale dini nyingine zinapowaharamisha na kuanza washambulia.

Waislam wanaamini kuwa wawo ndio wana ustaarabu best na pekee(dini pekee ya kweli ) unaistahili kuwepo ktk hii dunia..hapo ndipo shida inapoanzia..
 
Pole padre Mwangamba Tunaomba uwasamehe kwa sababu hao walofanya ubaya huu hawajui kitu ni MAJAHILI kweli haitowasaidia kitu wala haitoengeza chembe katkia imani zao. kama ni wafuasi wa siasa kali basi wamepotea, kama ni wakereketwa wa chama cha siasa basi ni vurugu na mchezo mchafu wa wanasiasa kufitini Wananchi na kutia hofu viongozi wa Dini Fulani WHY ?? inastaajabisha Zanzibari kufikia unyama aina huu !! Wapi Uungawana wa kisiwani Mlikuwa watu wema na Mfano lukuki wenye kuheshimika kijamii,Mlikuwa wenye tamthilia watu kuwaiga Ustaarabu wenu, mlikuwa waungwana katika elimu za Dunia na elimu za Akhera zenye kuunga udugu na Ujirani mwema Taswira na Picha zenu sasa mnazipakaa matopeee kwanini? Wazanzibar rudini kwa Moula wenu " FEAR GOD" hayo hayatasaidia kitu Siye wote ni watoto wa miezi tisa(9months born) na siye wote tumetoka kwa Adam na Adamu katoka kwenye udongo.!! Ndugu zetu ,wananchi wenzetu just STOP and stand together to fight Terror~!! kumbuka siku utakayo simama mbele ya al-JABBAR al-QAHAAR al-MUTAKABIR.... utajibu nini kwa ubaya huu? Tafadhalini rudisheni akili kukichwa na Musta-Ghafirru na muombe msamaha wa kweli. Kwa pamoja tuzuiee na kusimamisha at once.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom