Padre amwagiwa Tindikali huko Zanzibar

Padre amwagiwa Tindikali huko Zanzibar

Status
Not open for further replies.
Sijui kwannini nalipenda jina Tanganyika na nalichukia jina Tanzania
 
Acha hizo mambo wewe,
why are you so judgmental?
Umeambiwa waliofanya ivo ni waislam?
Huku bara hakuna waislam na uislam?mbona hayo matukio hatuyaskii?
Watu kama wana ajenda zao,wahukumiwe kwa hizo ajenda zao,usije toa maoni kwa kuwa umeona population kubwa ya huko ni muslims,acha kabis mawazo ya kunyoosheana vidole,tuheshimiane,tuchunge mihemko ya iman zetu

Waislamu, wanaochochewa na wazanzibar wenye asili ya kiarabu, hawaitakii mema nchi yetu na wanataka zanzibar waitawale wao
 
Wanaendelea ketenda vitendo vya kinyama maana hawana wakuwakamata, tangia Fr Mushi hadi Mzungu wa juzi nani amekamatwa nakama amekamatwa amechuliwa hatua gani!!!! ninamashaka na vyombo vyetu vya usalama.Hawa watu inatakiwa wakamatwe wanyongwe hadi kufa. ndio dawa ya washenzinwakuny
 
Acha hizo mambo wewe,
why are you so judgmental?
Umeambiwa waliofanya ivo ni waislam?
Huku bara hakuna waislam na uislam?mbona hayo matukio hatuyaskii?
Watu kama wana ajenda zao,wahukumiwe kwa hizo ajenda zao,usije toa maoni kwa kuwa umeona population kubwa ya huko ni muslims,acha kabis mawazo ya kunyoosheana vidole,tuheshimiane,tuchunge mihemko ya iman zetu
Hata kama unatetea ni kweli kabisa wahubiri wenu wanahamasisha hayo akina ilunga akina ponda dhambi hiyo itawatafuna na mwisho aibu. Uovu wanaoupanda wa kuona kwamba wakristo ni wa baya ndiyo unaanza kutoa matunda yake. Na serikali inapalilia tu kwa sababu wanaona ni wa kristo kuna siku Yatawageuka Mungu wetu atatupigania WAKRISTO amini usiamini ushindi upo. Wenyewe wanadhani watashinda kwa kuwadhuru watu mmojammoja matokeo ya imani na siasa kuhubiriwa kwenye nyumba za ibada kwa jaziba na matusi kwa imani zingine. Huko Somalia yalianza hivihivi makundi
 
Hebu pitia tena hizi post zako kisha jiulize unamuwakilisha nani? maana katika zanzibar au Tanganyika hatuna ubaguzi wa

kiimani wa aina hii, unatowa wapi ujasili wakijinga kufanya uchochezi usio na tija au faida yoyote kwa wanadamu kwa

ujumla wake?

Namshukuru Mungu kwa kutonipa kichwa kama cha Bobwe.
Hawa ndo wanaowaza kwa kutumia viungo kukalia.
 
mkuu; ishu hapa si waislam wala wakristo, Ishu hapa ni makundi ya uhalifu ambayo hayajadhibitiwa. Ikumbukwe kwamba uhalifu hufanywa na watu na watu hawa wanaweza kuwa na dini zao ila sio dini hizo zinazowatuma watu kufanya uhalifu.Muhalifu bila kujali dini yake ni muhalifu tu na anayedhuriwa bila kujali dini yake ni lazma atetewe.Binafsi naamini watu wanaoyahusisha matukia haya na dini fulani (yoyote iwayo) ni wale wale wanaoyafanya matukio husika ambao mimi naamini lengo lao ni kuchochea migogoro ya kidini.Kwa hiyo wanapomdhuru kiongozi hivyo halafu wakawa wanachochea "watakuwa ni watu wa dini fulani", na siku nyingine anadhuriwa kiongozi wa dini nyengine; basi utasikia tena wanachochea "Watakuwa ni wale wa dini nyengine" basi mgogoro unakuwa na muhalifu anakuwa kafikia lengo.Nadhani sisi tujaribu kujiepusha kuwa sehemu ya kumfanya muhalifu kufikia lengo la kuichonganisha jamii. ANAYEFANYA UHALIFU ABEBE MSALABA WAKE MWENYEWE.
Mkuu ebu natuite nyeupe iwe nyeupe na nyekundu iwe nyekundu, wala hatuna sababu ya kupinga ukweli wa udini kuwa nyuma ya mashambulio haya. Mimi naishi zanziba nakwambia ukweli halisi, vinginevyo jiulize kwanini hawashambuliwi raia wa kawaida isipokuwa viongozi wa kanisa na wachache wa misikiti wenye msimamo wa kati?! Hata shambulio la akina dada wa uingeleza lilitokana na dini kwamba wamevaa mavazi yasiyo ya kiarabu!
 
Huu muungano ungeishia hapa ulipofikia na kila mtu arudi kwao period! Tukiendelea namna hii, kitaachofuata ni ujirani mbaya. Heri uishe sasa tubakie kama majirani wema
 
Hakuna cha waislam wala nini hapo. Sheikh kamwagiwa acid znz. Mkurugenzi wa baraza la manispaa kamwagiwa acid nae, wale wadada wa kizungu, hao ni wahuni tu waso kazi wanataka kuchanganya watu. Cha muhimu serikali ni kupambana na watu wa aina hio kwani inaonekana matukio kama haya yanashamiri lkn hakuna anaekamatwa kama watu hawajaendelea wafanyeje? Hali ishakua ya hatari hata kwa sisi raia wa kawaida mana si ajabu kesho na keshokutwa hata mimi yakanikuta haya Yarab salama. Mchana kweupe mtu anamwagiwa tindikali tena hakamatwi, kweli ndo kuna ulinzi na usalama kwa wananchi .


AL - MAIDA 5:51
51. Enyi mlio amini!
Msiwafanye Mayahudi
na Wakristo kuwa ni
marafiki. Wao ni
marafiki wao kwa wao.
Na miongoni mwenu
mwenye kufanya urafiki
nao, basi huyo ni katika
wao. Hakika Mwenyezi
Mungu hawaongoi watu

* 51. Enyi mlio amini! Si
halali kwenu
kuwachukua Mayahudi
na Wakristo mkawafanya
ndio marafiki zenu. Wao
hao ni sawa sawa katika
kukufanyieni uadui. Na
mwenye kufanya urafiki
nao, basi ni kundi moja
nao. Na hakika
Mwenyezi Mungu
hawaongoi wanao
jidhulumu nafsi zao kwa
kufanya urafiki na
makafiri.
 
Nina mashaka na Mungu anayeabudiwa na Waislamu. Sithani kama ni Mungu yule tuaminiye ndo Muumba Mbingu na Dunia. Nadhani hawa jamaa wana Mungu wao

UMEFIKA MBALI tuache vyombo vya usalama ving'amue maana huu sasa nimsafara wa mamba
 
Itafika hatua wakristo tutasema tumechoka, kwanini tuonewe? mara risasi mara tindikali, kwanini watu wamungu? halafu serikali inasema inafanyajuhuudi watu wakamatwe wapiiiiiiii? haya mambo ya mwisho, lakini mwisho wake utakuwa mbaya
 
Ripoti ya CIA imeishia wapi mbona haiwekwi hadhwarani? Je kuna siri gani kati ya Serikali ya JMTz na kanisa Katoliki huko? Tujiulize kwanini ni kwa makasisi wa kanisa hilo tu?

AL - MAIDA 5:51
51. Enyi mlio amini!
Msiwafanye Mayahudi
na Wakristo kuwa ni
marafiki. Wao ni
marafiki wao kwa wao.
Na miongoni mwenu
mwenye kufanya urafiki
nao, basi huyo ni katika
wao. Hakika Mwenyezi
Mungu hawaongoi watu

* 51. Enyi mlio amini! Si
halali kwenu
kuwachukua Mayahudi
na Wakristo mkawafanya
ndio marafiki zenu. Wao
hao ni sawa sawa katika
kukufanyieni uadui. Na
mwenye kufanya urafiki
nao, basi ni kundi moja
nao. Na hakika
Mwenyezi Mungu
hawaongoi wanao
jidhulumu nafsi zao kwa
kufanya urafiki na
makafiri.
 
Wana JF,

Nina habari mbaya za Padre Mwang'amba wa Kanisa Katoliki Zanzibar kumwagiwa tindikali huko Mlandege katika cafe ya Sun Shine.

More information to follow.

attachment.php

Hii kitu huku zanzibr tunaita juice ya ukwaju,nooumaaaaa..
 
watanzania hatuja fika wenyewe hapa tulipo tumefikishwa kwa uroho wa misaada tunalipa gharama za st.kadha na isc- #4ndeshens
 
Hayo mambo yanafanywa na waislamu,dalili zote ni wao.
Huku bara hatumwagii mapadri tindikali wala shehe.HAO WAISLAMU WANAOFANYA HAYO hawawezi kulazimisha kueneza uislamu kwa njia za kipuuzi kama hizi.

Ficha Upumbavu wako wewe, ni bora kukaa kimya kama huna cha kuchangia!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom