Ponda alishasema "Mtu yoyote asiyekuwa mwislamu ni kafiri, na makafiri lazima wauwawe ili dola ya kiislamu isimame." Naona wanatekeleza maagizo.
tunaomba ushahidi.
lakini ngoja tuweke sawa jambo hili.
jamii yoyote inayo jitegemea huwa inataratibu za kujihami na uadui wowote kutoka nje.hata tanzania ipo sheria ya uhaini dhidi ya serikali. kwa hiyo kama utaunguzumza uislam katika sheria ya kujihami hilo haliusiani na kadhia hii.
na suala uadui dhidi ya dini ya m/mungu sio kipindi cha muhammad peke yake ,hata yesu kwenye biblia anasema wala msidha nalikuja kuleta amani la bali upanga. lakini mbele akaeleza kwamba fitina itatokea kati ya ndugu na ndugu kwa sababu ya kumfuata yeye.
sasa kama una ushahidi kuwa uislam umefundisha kumdhuru mtu asie na hatia naomba unisaidie mkuu.
nini sababu ya crusade?.Ndugu yangu,Debe tupu haliachi kupiga kelele.Dini inayomwamini Mungu wa kweli huwa ni tulivu na Isiyo na Jazba kwani inajua Mungu wake ni Mwenye Nguvu na ana uwezo wa Kujipigania.
Wazanzibar ni watu wa amani sana na huu utakuwa ni mchezo wa wale wanaogogopa kuiona ZNZ ikiwa huru. Hatuwezi kumeza propaganda za kijinga kama hizi, haingii akilini mtu mwenye akili timamu akammwagia tindikali au kufanya jaribio lolote la kutaka kumdhuru kiongozi wa kidini au yeyote yule.
Nadhani ni muda muafaka kwa wananchi kuilazimisha serikali kuweka wazi uchunguzi na uwajibishaji wa wanaofanya hivi vitendo kama kweli haya yanafanywa na wananchi wa kawaida!
Haitatokea KAMWE kwamba eti TANZANIA NI NCHI YA WAISLAM PEKE YAO AU WAKRISTO PEKE YAO, Nasema KAMWE HAITATOKEA. Ni MWEHU TU NDIYE ANAWAZA HILO LITATOKEA SIKU MOJA!!
Mimi ni muislamu khamsu swalawatu labda hujanielewa. Alichokisema ritz ndio uislamu khaswa unatufundisha.
Wazanzibar ni watu wa amani sana na huu utakuwa ni mchezo wa wale wanaogogopa kuiona ZNZ ikiwa huru. Hatuwezi kumeza propaganda za kijinga kama hizi, haingii akilini mtu mwenye akili timamu akammwagia tindikali au kufanya jaribio lolote la kutaka kumdhuru kiongozi wa kidini au yeyote yule.
Nadhani ni muda muafaka kwa wananchi kuilazimisha serikali kuweka wazi uchunguzi na uwajibishaji wa wanaofanya hivi vitendo kama kweli haya yanafanywa na wananchi wa kawaida!
Hayo mambo yanafanywa na waislamu,dalili zote ni wao.
Huku bara hatumwagii mapadri tindikali wala shehe.HAO WAISLAMU WANAOFANYA HAYO hawawezi kulazimisha kueneza uislamu kwa njia za kipuuzi kama hizi.