Padre amwagiwa Tindikali huko Zanzibar

Padre amwagiwa Tindikali huko Zanzibar

Status
Not open for further replies.
nini sababu ya crusade?.
Hawa watu hawaelewi lolote, na wala hawaelewi crusade ni kitu gani, na sidhani kama hilo neno amewahi kulisikia.

Kama mtu alisoma akafika form 3 tuu, na akasoma kitabu cha Things Fall Apart cha Achebe; basi mtu huyo hawezi kusema maneno kama "ukiristo ni dini ya amani; na mungu anajipigania". Tatizo kujiita umesoma ni kitu kimoja, na kuwa msomi ni kitu kingine kabisa.
 
Tunapochangia huu uzi, ni Lazima kwanza tutenganishe ugaidi na uislam.
Siku hizi kutenganisha ni ngumu. wapi ambapo hii dini ina majority halafu inaishi kwa amani na wengine? Nchi zao wenyewe hakukaliki.
 
Siku hizi kutenganisha ni ngumu. wapi ambapo hii dini ina majority halafu inaishi kwa amani na wengine? Nchi zao wenyewe hakukaliki.

Bado haimaanishi waislam wote ni magaidi na magaidi wote wanatetea uislam.
 
da hii inasikitisha sana swala hapa ni Muungano! lakini mbona wakristu ndio wanaonewa!...
 
Huo ni mpango u s a ili apate sababu ya kuingia tz kuvuna mafuta na gesi hao ni fbi na wala sio uamusho sema watz uwezo wao wa kuchambua mambo mdogo ,

Unaleta uongo wa kitoto kabisa.
 
Nina mashaka na Mungu anayeabudiwa na Waislamu. Sithani kama ni Mungu yule tuaminiye ndo Muumba Mbingu na Dunia. Nadhani hawa jamaa wana Mungu wao


We mbururla kweli, kwasababu Zenji wengi ni waislamu basi kila kinachotokea huko unahusisha na dini, kwahiyo Mbeya kwakuwa majority ni wakristo ni sahihi kukosoa ukristo kwa matukio ya kupiga nondo watu na kuchuna ngozi? Pumb.avu kweli wewe.
 
Ripoti ya CIA imeishia wapi mbona haiwekwi hadhwarani? Je kuna siri gani kati ya Serikali ya JMTz na kanisa Katoliki huko? Tujiulize kwanini ni kwa makasisi wa kanisa hilo tu?
 
hivi hiyo ni kata k au?
Nilitaka nikulaani lakini baada ya kuangalia picha mara ya pili ninakuonea huruma na kukusikitia sana. Mungu wa kweli na akupe rehema na neema yake upate kubadilika. huyu mzee ni kama baba yako mzazi. Nimejiuliza ni chuki ya namna gani iliyokujaa mpaka unaleta utani wa namna hii kwa mzee kama huyu. Huoni jinsi nguo zilivolika kwa acid?
 
sitakanyaga tena Zanzibar hata kama watakuwa wanagawa hela , potelea mbali !

Unawapa ushindi? Kwako waje ila kwao usithubutu?

Dawa yao ni ku-make U-turn kwa Watanganyika kuamua sasa Katiba iseme serikali moja. Full stop!!!!
 
AL - MAIDA 5:51
51. Enyi mlio amini!
Msiwafanye Mayahudi
na Wakristo kuwa ni
marafiki. Wao ni
marafiki wao kwa wao.
Na miongoni mwenu
mwenye kufanya urafiki

* 51. Enyi mlio amini! Si
halali kwenu
kuwachukua Mayahudi
na Wakristo mkawafanya
ndio marafiki zenu. Wao
hao ni sawa sawa katika
kukufanyieni uadui. Na
mwenye kufanya urafiki
nao, basi ni kundi moja
nao. Na hakika
Mwenyezi Mungu
hawaongoi wanao
jidhulumu nafsi zao kwa
kufanya urafiki na
makafiri.

kama utafuatilia post za nyuma kidogo utaona hizo nimeainisha kuwa hizo aya zinazo ulinda uislam dhidi out siders. katika biblia yesu anasema wala msizitupe lulu zenu mbele ya nguruwe watazikanyaga na kugeuka na kuwararua. iweje sisi waislam tuwe na urafiki wa kukupeni siri za duwa nyeti. lakini sura nyingine inasema "m/mungu hakukatazeni kuwatendea wema wasiokuwa waislam hali yakuwa hawajakufanyieni uwadui"
jamani tunaomba msome
 
Hapo hapo JWTZ wako bize kutaka kupambana na JF wakati mambo ya msingi kama haya hawatolei ufafanuzi wa kutosha na kuchukua hatua stahiki....
 
Kama walimuua hata Rais wao, hawa watu sio wa kuamini kabisa. Tuwaache peke yao, tuvunje Muungano tu, coz ni hatari kwetu kwa kutokuwa na mpaka wa kinchi na watu waliokubuhu kwenye uhalifu kwa kiwango hiki kila kukicha. Mungu awalaani wote walioshiriki ktk uhalifu huu.

Kukatwa albino viungo na hili ni upi uhalifu uliokubuhu?
 
Hii habari nimetoka kuiangalia Sky News sasa hivi!!
basi ni wazi CIA wana mkono katika hili,hao waandishi wa sky news,mirror etc kila ikitokea issue zenj,wanairusha ndani ya dakika kumi.isije kuwa wanacreate matukio kwa lengo maalumu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom