Padre amjeruhi mpenzi

Padre amjeruhi mpenzi

TIQO

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2011
Posts
13,786
Reaction score
2,102
Padre aliye kuwa akisoma chuo cha Ardhi Dar Celestine John Nyaumba wa kanisa katoliki Homboro Dodoma, amemjeruhi mpenzi wake vile vile ni mzazi mwenzie wa maili mbili Dodoma alimwita Dar aje ale bata akatoka nae nje ya jiji Kibaha, hapo ndipo alimjeruhi kwa kumgonga na gari kisha kumkata panga kichwani.
 
Uzinzi ni kiboko
Chanzo cha kumjeruhi ni nini?
 
Kama namuona vile. Yaani dada kasimamishwa hapo. Akarudi rivasi akamgongelea mbali. Afu akashuka na panga akamkata kichwani!
Padri alinogewa the forbidden fruit ehh?
 
Padre aliye kuwa akisoma chuo cha Ardhi Dar Celestine John Nyaumba wa kanisa katoliki Homboro Dodoma, amemjeruhi mpenzi wake vile vile ni mzazi mwenzie wa maili mbili Dodoma alimwita Dar aje ale bata akatoka nae nje ya jiji Kibaha, hapo ndipo alimjeruhi kwa kumgonga na gari kisha kumkata panga kichwani.

Huyu Padre kashindwa kuhubiri neno la Mungu kaamua kutembeza ngono! Aibu tupu!
 
Kama namuona vile. Yaani dada kasimamishwa hapo. Akarudi rivasi akamgongelea mbali. Afu akashuka na panga akamkata kichwani!
Padri alinogewa the forbidden fruit ehh?

chezea utamu wa tunda? Kuna wengine hawari, hawalali kwa sababu ya kulimendea.
 
Uzinzi ni kiboko
Chanzo cha kumjeruhi ni nini?

Kumbuka huyu dada alikuwa sister padre alikuwa anamla mzigo toka zamani, akadaka mimba ikabidi avue kilemba. Chanzo cha ugomvi pesa za matunzo ya mtoto wao huyo wa miaka 3.
 
Huyu Padre kashindwa kuhubiri neno la Mungu kaamua kutembeza ngono! Aibu tupu!

Sasa hivi ananyea debe kibaha polisi kwa shambulio la kudhuru mwili.
 
Padre aliye kuwa akisoma chuo cha Ardhi Dar Celestine John Nyaumba wa kanisa katoliki Homboro Dodoma, amemjeruhi mpenzi wake vile vile ni mzazi mwenzie wa maili mbili Dodoma alimwita Dar aje ale bata akatoka nae nje ya jiji Kibaha, hapo ndipo alimjeruhi kwa kumgonga na gari kisha kumkata panga kichwani.

hehehhee,nilipoiskia hii habar nilibaki nacheka tu,mwenye uwezo atafute gazeti la nipashe jumapili la LEO
 
Inawezekana ni kweli lakini sikubaliani kabisa na maelezo yaliyotolewa, Wanajamvi kumbukeni kanisa katoliki halina kiongozi yoyote wa kiroho anayeoa! Hivyo kama huyo ameoa siyo padre tena bali ni mwanajumuia kama kawaida, Inawezekanaje padre huyo akafanye tukio litakalomharibia nadhiri yake huku akijua haruhusiwi kuwa na mke?
 
Padre aliye kuwa akisoma chuo cha Ardhi Dar Celestine John Nyaumba wa kanisa katoliki Homboro Dodoma, amemjeruhi mpenzi wake vile vile ni mzazi mwenzie wa maili mbili Dodoma alimwita Dar aje ale bata akatoka nae nje ya jiji Kibaha, hapo ndipo alimjeruhi kwa kumgonga na gari kisha kumkata panga kichwani.

Naona alidhamiria kumdhuru huyu dada, kwa nini amjeruhi kwa panga baada ya kumgonga na gari?
 
Inawezekana ni kweli lakini sikubaliani kabisa na maelezo yaliyotolewa, Wanajamvi kumbukeni kanisa katoliki halina kiongozi yoyote wa kiroho anayeoa! Hivyo kama huyo ameoa siyo padre tena bali ni mwanajumuia kama kawaida, Inawezekanaje padre huyo akafanye tukio litakalomharibia nadhiri yake huku akijua haruhusiwi kuwa na mke?

Mkuu padre alikuwa anakula mzigo wa huyo dada akiwa sister alivyo pigwa mimba na padre huyo akaamua kuvua kilemba mtoto sasa ana miaka 3 chanzo cha mgogoro ni huyo dada kutaka pesa nyingi za kumtunza huyo mtoto.
 
Ni kweli mkuu aseme hata mpenzi tu basi tumuelewe mke hapana,ila hawa majamaa ni vitombi na mafirauni mbaya ogopa shule zao utashangaa mtoto akirud nyumban anaanza kubadilika swaga na kuanza vdole juu ujue tayar washampakua
Inawezekana ni kweli lakini sikubaliani kabisa na maelezo yaliyotolewa, Wanajamvi kumbukeni kanisa katoliki halina kiongozi yoyote wa kiroho anayeoa! Hivyo kama huyo ameoa siyo padre tena bali ni mwanajumuia kama kawaida, Inawezekanaje padre huyo akafanye tukio litakalomharibia nadhiri yake huku akijua haruhusiwi kuwa na mke?
 
Kweli siku hizi ni ngozi ya kondoo tu kumbe ndani mbwa mwitu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom