Mapadre wanaoingia kwenye utumishi wa Mungu wakiwa kweli na imani na wamevutwa na wito na kutafuta ukamilifu wapo wengi tu. Tunawafahamu walio waaminifu na wanaishi vema sana wakiwa waaminifu kwa useja wao, wapo wanaoishi kitakatifu na wanafanya uchungaji vizuri pia.
Wapo wachungaji/na viongozi wa dini nyingine wanaooa pia na kuanguka dhambini pia, hata dhambi za uzinzi na ubakaji. Au unataka nikupe mifano?
Kuoa au kutooa si kigezo cha kuwa waaminifu. Kigezo kikubwa ni kuwa kuna wengine wanaingia huko kama ajira tu wajikimu kimaisha huku wakiwa hawakiamini hicho wanachoishi. Hao wanakuwa na shida wakiwa kwenye dini yoyote ile.
ITEGAMATWI ameliona hili[/QU
NI KWELI