Chocs
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 8,437
- 4,828
A na B yote sawa.duh! Sio kwamba wanajiwezesha wenyewe?
A na B yote sawa.duh! Sio kwamba wanajiwezesha wenyewe?
Mbona mapadre wengi tu wana familia...
Mapadre wanaoingia kwenye utumishi wa Mungu wakiwa kweli na imani na wamevutwa na wito na kutafuta ukamilifu wapo wengi tu. Tunawafahamu walio waaminifu na wanaishi vema sana wakiwa waaminifu kwa useja wao, wapo wanaoishi kitakatifu na wanafanya uchungaji vizuri pia.Kwanini wanazuiwa kuoa?
Hivi kwani hairuhusiwi mtu kuacha kazi ya upadre akawa raia wa kawaiada? Mbona Dr Slaa aliweza?Badala ya kuendelea kuwa wanafiki kwa kulitumikia kanisa kwanini usikae pembeni tu uache wenye upako waendeleee?? Kuna rafiki ya ngu mmoja alishawahi kusema kuwa wengine wanakimbilia upadre kukwepa njaa tu za mtaani sasa napata picha halisi.
Inawezekana ni kweli lakini sikubaliani kabisa na maelezo yaliyotolewa, Wanajamvi kumbukeni kanisa katoliki halina kiongozi yoyote wa kiroho anayeoa! Hivyo kama huyo ameoa siyo padre tena bali ni mwanajumuia kama kawaida, Inawezekanaje padre huyo akafanye tukio litakalomharibia nadhiri yake huku akijua haruhusiwi kuwa na mke?
Kwani Padre Slaa anatafuna kwa kificho ? MUNGU gani huyo aliyeagiza kwenye kitabu gani kuwa Mwanaume rijali asiwe na MKE ? Hivi ninyi mnachezea ile makitu eeeenh ? Kardinali Pengo naye wale watoto wake kule Tunduru sijui wanaendeleaje jamani ??[Slaa keshavua cheo alichokuwa nacho wakati akiwa kiongozi wa kanisa, kufuatana na taratibu za kanisa yeye sio padre tena, Suala la pengo kama una ushahidi fuata taratibu za kanisa kushtaki vinginevyo ni hakuna ratio katika hili.ni bora tu ukae kimya kabla ya kuuonyesha tanzania na ulimwengu upumbavu wako
Inawezekana ni kweli lakini sikubaliani kabisa na maelezo yaliyotolewa, Wanajamvi kumbukeni kanisa katoliki halina kiongozi yoyote wa kiroho anayeoa! Hivyo kama huyo ameoa siyo padre tena bali ni mwanajumuia kama kawaida, Inawezekanaje padre huyo akafanye tukio litakalomharibia nadhiri yake huku akijua haruhusiwi kuwa na mke?
hukubaliani nini?hbr haisemi kuwa kaoa bali alikuwa na mahusiano ya kingono na huyo ccta,mapadre wengi wana kashfa hizo ila ziko chini ya makapeti,wengine wana wtt wanawasomesha kabisa wanadai ni mayatima wanawasaidia,[ kwani kila kiandikwacho na gazeti la nipashe ni ukweli wenyewe? Kwanza kabisa kwanini mwandishi ameishia tu kusema padre? Bila maelezo yakinifu,
Mbona mapadre wengi tu wana familia...
hukubaliani nini?hbr haisemi kuwa kaoa bali alikuwa na mahusiano ya kingono na huyo ccta,mapadre wengi wana kashfa hizo ila ziko chini ya makapeti,wengine wana wtt wanawasomesha kabisa wanadai ni mayatima wanawasaidia,[ kwani kila kiandikwacho na gazeti la nipashe ni ukweli wenyewe? Kwanza kabisa kwanini mwandishi ameishia tu kusema padre? Bila maelezo yakinifu,
kama huamini fuatilia mkuu,ukibaini sio kweli rudi na data jamvini kukanusha,ila kashfa ya ngono kwa mapadre wa kanisa katoliki zinazidi kushika kasi,wajitazame.
Sasa hivi ananyea debe kibaha polisi kwa shambulio la kudhuru mwili.
hlo lipo. Ila wanazo kwa uwazi?
Huyu Padre kashindwa kuhubiri neno la Mungu kaamua kutembeza ngono! Aibu tupu!