P.Kagame na Rwanda mimi sidanganyiki, sijui wengine!

P.Kagame na Rwanda mimi sidanganyiki, sijui wengine!

Huna IQ ya Kuijadili na wala Kuielewa Rwanda vyema ila sana sana ninachoweza kukuambia tu ni kwamba muda si mrefu Rwanda hii hii ya Rais ' Mpambanaji ' na ' Makini ' Paul Kagame unayoidharau inakwenda Kuizidi nchi yako Kimaendeleo katika Nyanja nyingi japo tayari kwa upande wa Akili ( Upeo ) kuanzia Wewe hadi Wananchi wako wote wa nchi uitokayo ( ambayo kwa bahati mbaya siijui ) hamjaweza hata kuwafikia kwa 25%.
Post yake ina hoja moja tu ya msingi: source of power ni nini?, ungejibu hilo kwanza kisha ndo ulete mahaba yako————————
 
Kila kukicha tunaletewa habari moto moto jinsi gani Unyarwanda inavyopiga hatua kwenda mbele kimaendeleo, mara sijui wanaassemble magari, sasa nasikia wanatengeneza smart phones, yote heri na hongera zao.

Mimi langu ni moja, Rwanda ina watu zaidi ya milioni 11 na mpaka leo hii ina uwezo wa kuzalisha umeme wa Megawatts 100 (100 MW) tu, hivyo viwanda wanapawa na nini, generator, au?

Mimi sidanganyiki, labda hao wengine, 100 MW hakuna kitu utafanya, ...
Acha utani hata mza inatumia zaidi ya megawatt 100. Inaweza kuwa kweli maana tangu nizaliwe sijawahi ona kitu made in Rwanda.
 
Cha Kushangaza hivi sasa ndiyo mnahangaika Kuijenga nchi yenu wakati mlipata Uhuru Kitambo tu lakini Rwanda chini ya Jemedari Paul Kagame a.k.a Genius ndani ya muda mfupi tu Rwanda inafanya makubwa hadi hata Mataifa Makubwa yanaishangaa na kuipongeza mno huku tayari hata WB ( Benki ya Dunia ) imeshairabiria makubwa Kiuchumi nchi ya Rwanda ndani ya muda mfupi ujao.
Bado hujamjibu alie leta mada
Watu 11m kwa 100MW
Hii ipoje
Naomba unionyeshe kipya nje ya Kigali
Au hata hiyo hiyo Kigali Maendeleo yapi zaidi ya Usafi!!
Kamji nakatembea kwa miguu masaa 5 kameisha
 
Kila kukicha tunaletewa habari moto moto jinsi gani Unyarwanda inavyopiga hatua kwenda mbele kimaendeleo, mara sijui wanaassemble magari, sasa nasikia wanatengeneza smart phones, yote heri na hongera zao.
Mimi langu ni moja, Rwanda ina watu zaidi ya milioni 11 na mpaka leo hii ina uwezo wa kuzalisha umeme wa Megawatts 100 (100 MW) tu, hivyo viwanda wanapawa na nini, generator, au?
Mimi sidanganyiki, labda hao wengine, 100 MW hakuna kitu utafanya, ...
Rwanda is a #shitshole,wezi wa mali za DRC,hata hicho kiwanda cha smartphone ni cha mwekezaji jamaa toka Dubai,I have been there,wananchi wake wanaishi kwa woga,they are not comfortable at all.FEAR FEAR FEAR...!
 
Huna IQ ya Kuijadili na wala Kuielewa Rwanda vyema ila sana sana ninachoweza kukuambia tu ni kwamba muda si mrefu Rwanda hii hii ya Rais ' Mpambanaji ' na ' Makini ' Paul Kagame unayoidharau inakwenda Kuizidi nchi yako Kimaendeleo katika Nyanja nyingi japo tayari kwa upande wa Akili ( Upeo ) kuanzia Wewe hadi Wananchi wako wote wa nchi uitokayo ( ambayo kwa bahati mbaya siijui ) hamjaweza hata kuwafikia kwa 25%.
Nothing there in rwanda zaidi ya kujimwambafai,na kujipigia promo za kufa mtu mpaka huko U.K, Ni nchi ambayo haina lolote zaidi ya kujipamba USONI KWA LIPI STIKI NA SHADOW NA TABASAMU FEKI LA NGUVU ILI IONEKANE IKO VIZURI,KUMBE NI NYOKO KABISA.
 
Kawaulize hao Wahutu wako hapa Juzi kati Waliwauwa ' Kikatili ' kabisa Wanyarwanda Mji ulio Mpakani ila ' Revenge ' yetu Kwao haikuwa ya Kitoto kwani tulichowafanya katika ' Oparesheni ' ndogo tu na ya muda mchache imeacha Majonzi makubwa huko Kwao Burundi na wanashindwa hata Kulalamika UN na Kwingineko kwakuwa kila Mtu ameshajua kuwa Wao hasa kupitia Serikali yao ndiyo wamekuwa ' Wachokozi ' Kwetu. Na siyo tu Burundi bali hata Wanajeshi wa nchi yako unayotoka Mkuu ( ambayo kwa bahati mbaya siijui ) nao wakitaka Kupata Kipigo cha ' Kishalubela ' kutoka kwa Wanyarwanda chini ya Jeshi letu Imara na ' lililobarikiwa ' Kivita, Kimbinu na Kimkakati la RDF tunawakaribisha kisha tutakachowafanya mtajuta hata kwanini ' mlituchokoza ' Wanyarwanda ( Watutsi ) Sisi.
Unamisifa mingi, tabia zenu kama ndio hizo mnafaa kuitwa wayahudi wa kiafrika, hamna lolote baraka ya misifa mingi
 
A
Cha Kushangaza hivi sasa ndiyo mnahangaika Kuijenga nchi yenu wakati mlipata Uhuru Kitambo tu lakini Rwanda chini ya Jemedari Paul Kagame a.k.a Genius ndani ya muda mfupi tu Rwanda inafanya makubwa hadi hata Mataifa Makubwa yanaishangaa na kuipongeza mno huku tayari hata WB ( Benki ya Dunia ) imeshairabiria makubwa Kiuchumi nchi ya Rwanda ndani ya muda mfupi ujao.
Acha ramli hakuna kitu hapo you have nothing so far

Mtahitaji 50 years kuifikia Tanzania
 
M
Maisha mema ila msije Kujidanganya Udogo wa Kijiografia ndiyo Ushindi wenu Kwetu. Tutawapigeni kama Kuku vile na hamtoamini. Naomba kujua Mkuu Wewe unatoke nchi gani kati ya Kenya, Tanzania, Uganda, Burundi na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo?
Mshapigwa kijiiografia
 
Kila kukicha tunaletewa habari moto moto jinsi gani Unyarwanda inavyopiga hatua kwenda mbele kimaendeleo, mara sijui wanaassemble magari, sasa nasikia wanatengeneza smart phones, yote heri na hongera zao.

Mimi langu ni moja, Rwanda ina watu zaidi ya milioni 11 na mpaka leo hii ina uwezo wa kuzalisha umeme wa Megawatts 100 (100 MW) tu, hivyo viwanda wanapawa na nini, generator, au?

Mimi sidanganyiki, labda hao wengine, 100 MW hakuna kitu utafanya, ...
Anatafuta huruma pindi wale wakimbizi wahutu walikimbilia Congo wataporudi kumfurusha asaidiwe eti kaleta maendeleo Kigali
 
Huna IQ ya Kuijadili na wala Kuielewa Rwanda vyema ila sana sana ninachoweza kukuambia tu ni kwamba muda si mrefu Rwanda hii hii ya Rais ' Mpambanaji ' na ' Makini ' Paul Kagame unayoidharau inakwenda Kuizidi nchi yako Kimaendeleo katika Nyanja nyingi japo tayari kwa upande wa Akili ( Upeo ) kuanzia Wewe hadi Wananchi wako wote wa nchi uitokayo ( ambayo kwa bahati mbaya siijui ) hamjaweza hata kuwafikia kwa 25%.
Elezeni hiyo 100 mw itafanyaje kazi acheni kujamba na kujifanya mabingwa wa matusi jibu HOJA. Ukisha jibu hoja ndio ongelea hiyo 1500mw.

Jibuni HOJA acheni kulia lia na kujijambia na kujifanya sijui mna IQ Kubwa. Kama IQ kubwa mbona mnashindwa kujibu Hoja ndogo kama hiyo.

Naona niishie hapo dada zenu wazuri sana msije mkachukia nikakosa vyote samahani kama nimewauzi shemeji zangu.
 
Wewe siyo Mnyarwanda, Mnyarwanda hawezi kuongea hivyo, hayo ni mambo sensitive sana kwa Wanyarwanda wote, na hawawezi kuyaongelea juu juu hivyo kama ufanyavyo wewe.

Sema uko obsessed na Wanyarwanda lkn wewe siyo Mnyarwanda!
Big point...... Wanyarwanda wako very sensitive on issue of tribal hawaropoki hovyo nimeishi nao nimesoma nao nimezaa nao, iknow them ni wasiri sana on such issues
 
Huna IQ ya Kuijadili na wala Kuielewa Rwanda vyema ila sana sana ninachoweza kukuambia tu ni kwamba muda si mrefu Rwanda hii hii ya Rais ' Mpambanaji ' na ' Makini ' Paul Kagame unayoidharau inakwenda Kuizidi nchi yako Kimaendeleo katika Nyanja nyingi japo tayari kwa upande wa Akili ( Upeo ) kuanzia Wewe hadi Wananchi wako wote wa nchi uitokayo ( ambayo kwa bahati mbaya siijui ) hamjaweza hata kuwafikia kwa 25%.
NINA HAKIKA WEWE NI MTUSI MFIA NA MFUASI WA kagame UNA CHUKI NA WA TZ NA NCHI YETU HIVYO THREADS UNAZOANZISHA HUMU JF KUHUSU TZ TUTAKUA HATUCHANGII MBAGUZI SANA ILA NYUZI ZA KWENU HUKO TUTAKUPA USHAURI
N.B UBAGUZI WENU NA KUJIONA BOTA UTAWARUDISHA 1994
 
Kila kukicha tunaletewa habari moto moto jinsi gani Unyarwanda inavyopiga hatua kwenda mbele kimaendeleo, mara sijui wanaassemble magari, sasa nasikia wanatengeneza smart phones, yote heri na hongera zao.

Mimi langu ni moja, Rwanda ina watu zaidi ya milioni 11 na mpaka leo hii ina uwezo wa kuzalisha umeme wa Megawatts 100 (100 MW) tu, hivyo viwanda wanapawa na nini, generator, au?

Mimi sidanganyiki, labda hao wengine, 100 MW hakuna kitu utafanya, ...
Shithole country
 
NINA HAKIKA WEWE NI MTUSI MFIA NA MFUASI WA kagame UNA CHUKI NA WA TZ NA NCHI YETU HIVYO THREADS UNAZOANZISHA HUMU JF KUHUSU TZ TUTAKUA HATUCHANGII MBAGUZI SANA ILA NYUZI ZA KWENU HUKO TUTAKUPA USHAURI
N.B UBAGUZI WENU NA KUJIONA BOTA UTAWARUDISHA 1994
Usikonde huyo mbona anajulikana. Alishawai kuanzishiwa uzi wa kumjadili humu Upo
 
Back
Top Bottom