P.Kagame na Rwanda mimi sidanganyiki, sijui wengine!

P.Kagame na Rwanda mimi sidanganyiki, sijui wengine!

Hujaenda vijijini kuona maendeleo ya Rwanda wewe. Kila mtu anapewa ng'ombe mmoja ili apate maziwa na akizalisha anagawia jirani.
Mara ya mwisho kutembelea Rwanda, ulikuwa kijiji gani ?
 
Mtu mmoja afafanue hilo tafadhali. Au viwanda vya kutengeneza smart mobile phone havutumii umeme!
Afu hizo simu nina wasiwasi nazo serikari yetu ya Tanzania izikague ipasavyo kama watazileta Tanzania kwa matumizi ya watu isije ikawa mbinu ya Rwanda kuchukua siri za nnchi yetu (kufanya inteligensia) ikawa rahisi kutudukua na ikawa shida Hapo Baadae Kwa kudukua taarifa muhimu(siri za nnchi)
 
Wewe mwenye 1500 MW umeweza hata Kuutumia tu huo Umeme ili uwe na Viwanda vyako vya Kutengenezea Chupi za Wananchi wako kiasi kwamba hadi hivi leo uachane na Kutegemea Chupi za Mitumba zinatoka katika Viwanda vya wenye Akili zao huko Ulaya? Wakati mkiteseka na Rwanda yenyewe inazidi Kuwakimbia Kimaendeleo na Kimkakati huku nyie mkibaki kupiga tu ' mark time ' Kimaendeleo hadi leo wakati hata kupata Uhuru mliwatangulia Warwanda.
Jibu swali mkuu...
 
Kila kukicha tunaletewa habari moto moto jinsi gani Unyarwanda inavyopiga hatua kwenda mbele kimaendeleo, mara sijui wanaassemble magari, sasa nasikia wanatengeneza smart phones, yote heri na hongera zao.

Mimi langu ni moja, Rwanda ina watu zaidi ya milioni 11 na mpaka leo hii ina uwezo wa kuzalisha umeme wa Megawatts 100 (100 MW) tu, hivyo viwanda wanapawa na nini, generator, au?

Mimi sidanganyiki, labda hao wengine, 100 MW hakuna kitu utafanya, ...

Mkubwa nakubaliana na wewe. Tatizo la Watanzania wengi ni walaini kulaghaiwa. Kinachotangazwa kuwa ni kizuri over and over na endapo kipo madarakani ndicho Watanzania watakachokuwa attracted nacho. Hawa wanaopinga udadisi wako maana ni udadisi tu uliofanya ni moja ya wanaolaghaiwa kirahisi. Time will tell kama Rwanda itakuwa kama watu ambao hawajatoka nje ya mikoa yao wanavyodhani ilivyo..
 
Kila kukicha tunaletewa habari moto moto jinsi gani Unyarwanda inavyopiga hatua kwenda mbele kimaendeleo, mara sijui wanaassemble magari, sasa nasikia wanatengeneza smart phones, yote heri na hongera zao.

Mimi langu ni moja, Rwanda ina watu zaidi ya milioni 11 na mpaka leo hii ina uwezo wa kuzalisha umeme wa Megawatts 100 (100 MW) tu, hivyo viwanda wanapawa na nini, generator, au?

Mimi sidanganyiki, labda hao wengine, 100 MW hakuna kitu utafanya, ...
Hivi huwezi kufanya research nyingine ya maana,kwa nini roho inakuuma ukisikia positive stories juu ya Rwanda?
Rwanda bado iko chini katika sekta nyingi tuu..Umeme ukiwemo..Lakini umejalibu ku compare na ulipo..
Labda tu kwa kukujulisha asilimia 34% ya wananchi wa Rwanda wana umeme..
Wakati Tanzania ni asilimia 32% ya wananchi wana umeme..Source nimekuwekea:::
Story yako imejaa wivu, Rwanda is not competing with anyone, we know we still have a lot to do ndio maana pale wenzetu wanapotembea sisi tunakimbia..
Just 25years back we were at 0, now at least economically we are at the same level or even above with our neighbors
.
 
Hivi huwezi kufanya research nyingine ya maana,kwa nini roho inakuuma ukisikia positive stories juu ya Rwanda?
Rwanda bado iko chini katika sekta nyingi tuu..Umeme ukiwemo..Lakini umejalibu ku compare na ulipo..
Labda tu kwa kukujulisha asilimia 34% ya wananchi wa Rwanda wana umeme..
Wakati Tanzania ni asilimia 32% ya wananchi wana umeme..Source nimekuwekea:::
Story yako imejaa wivu, Rwanda is not competing with anyone, we know we still have a lot to do ndio maana pale wenzetu wanapotembea sisi tunakimbia..
Just 25years back we were at 0, now at least economically we are at the same level or even above with our neighbors
.


Sasa haya yote ya nini? Nimeuliza kuhusu 100 MW zinatoshaje kuendesha Viwanda kama hivyo + kuhudumia zaidi ya watu milioni 11? Hivi inaweza kuita hiyo chuki kweli?
 
Sasa haya yote ya nini? Nimeuliza kuhusu 100 MW zinatoshaje kuendesha Viwanda kama + kuhudumia zaidi ya watu milioni 11? Hivi inaweza kuita hiyo chuki kweli?
OK, kwakujibu swali lako nikwamba, Rwanda kama nchi nyingi za kiafrica bado ina viwanda vichache sana kwa hiyo umeme uliopo unavitosheleza..sijasikia kiwanda kimefungwa sababu ya umeme kukosekana..
Harafu vijijini umeme wanaotumia sanasana ni taa na radio tu,kwahiyo consumption ipo chini..
Katika habari yako nikama hutaki kuamini unavyovisoma kwenye media..
 
Sasa haya yote ya nini? Nimeuliza kuhusu 100 MW zinatoshaje kuendesha Viwanda kama + kuhudumia zaidi ya watu milioni 11? Hivi inaweza kuita hiyo chuki kweli?

Hizo MW 100 umezitoa wapi?

Currently Rwanda has 218 MW of installed generation capacity. According to the International Energy Agency (IEA).
 
Hizo MW 100 umezitoa wapi?

Currently Rwanda has 218 MW of installed generation capacity. According to the International Energy Agency (IEA).


Hata wewe mwenyewe nina uhakika hauamini ulichokiandika, unachokitetea na kukipinga!
 
Hata wewe mwenyewe nina uhakika hauamini ulichokiandika, unachokitetea na kukipinga!

Natetea na kupinga nini?hueleweki

RWANDA POWER AFRICA FACT SHEET
ENERGY SECTOR OVERVIEW

The Government of Rwanda envisions transitioning from a developing country to a middle-income country. To achieve this goal, the government is targeting 100% electricity access by 2024. Rwanda is endowed with natural energy resources including hydro, solar, and methane gas. It currently only has 218 MW of installed generation capacity. According to the International Energy Agency (IEA), Rwanda’s national electrification rate is estimated at 30% (12% in rural areas, 72% in urban areas).

Source: https://www.usaid.gov/powerafrica/rwanda

Haya weka source yako kuonyesha wana generate 100MW.
 
Hiyo Megawatts 100 ni Umeme unaitumiwa na nchi ya Rwanda, hivyo hata huo wa ktk Kongo na kwingineko unafanya hiyo 100 MW!
Mkuu nadhani kufanya assembly ya gari inaweza kutumia umeme kidogo kuliko umeme wa kufyatua engine block, gears, block zake, difu na kadhalika...ufyatuaji wa components hizo unahitaji umeme / nishati ya gesi/ mafuta mwingi kuendesha hizo " foundry" za kuyeyusha vyuma nakadhali. Hii pia inaweza kuwa sababu kwa kuanzisha hiyo kiwanda ya kuasembo simu. Nikosolewe nilipokosea. Karibu.
 
Installed capacity siyo actual capacity ya mfumo wa nishati. Kuna masuala ya efficiency hapo!! Sidhani kama mifumo yao ya umeme kwa ujumla wake inaweza kuwa na capacity factor zaidi ya 40%. Sasa ukichukua hiyo 218MW ukatafuta capacity factor yake unakuta haizidi 40% kiasi kwamba kusema Rwanda wana umeme wa uhakika wa 100MW nikuwasingizia. Hii ni kwa mujibu wa takwimu mlizoleta.
Hivyo, mleta mada anaweza kuwa na hoja.
C.c: Kabare12 na wa kupuliza
 
Sisi tumeomba source ya data alizotoa..manake sisi tumeweka credible source..Siamini kwamba actual capacity inaweza kuwa less than 50% of the installed capacity that is too much sanasana kwa nchi kama Rwanda ambapo uwajibikaji nimkubwa..
 
Kila kitu kuhusu Rwanda kiko overrated kasoro Ubaya wa Kagame
 
Hivi huwezi kufanya research nyingine ya maana,kwa nini roho inakuuma ukisikia positive stories juu ya Rwanda?
Rwanda bado iko chini katika sekta nyingi tuu..Umeme ukiwemo..Lakini umejalibu ku compare na ulipo..
Labda tu kwa kukujulisha asilimia 34% ya wananchi wa Rwanda wana umeme..
Wakati Tanzania ni asilimia 32% ya wananchi wana umeme..Source nimekuwekea:::
Story yako imejaa wivu, Rwanda is not competing with anyone, we know we still have a lot to do ndio maana pale wenzetu wanapotembea sisi tunakimbia..
Just 25years back we were at 0, now at least economically we are at the same level or even above with our neighbors
.
32%
Labda ya mwaka 2010
Umeitembelea nchi kweli
Unaijua Tanzania kweli
Tuambie Ukiitoa Kigali
Mji gani unaweza Shindana na miji ya Tanzania nje ya Dar kwa maendeleo

Au hiyo Kigali tofauti na Usafi kipi Kipya na cha maana kilichopo!
Rwanda haina lolote ni kelele zabure
 
Back
Top Bottom