P.Kagame na Rwanda mimi sidanganyiki, sijui wengine!

P.Kagame na Rwanda mimi sidanganyiki, sijui wengine!

Nchi yako inapenda kweli iwe na Raia wenye Akili kubwa kama za Wanyarwanda sema tu ndiyo hivyo tena haiwezekani.


Bado unazunguka tu, Mada inahusu uwezo wa Unyarwanda kutumia Umeme wa 100 MW tu, sasa inawezekana vipi? Hivyo viwanda tunavyoambiwa, vinatoa wapi huo umeme? Ndicho ninachotaka kusikia na wala siyo TZ yetu vs Unyarwanda!
 
Bado unazunguka tu, Mada inahusu uwezo wa Unyarwanda kutumia Umeme wa 100 MW tu, sasa inawezekana vipi? Hivyo viwanda tunavyoambiwa, vinatoa wapi huo umeme? Ndicho ninachotaka kusikia na wala siyo TZ yetu vs Unyarwanda!

Hopeless!
 
Mna akili kubwa za namna Gani ?heheheheh


Ngojeni wahutu wapatw upenyo tena hahahahah
Rwanda ni bomu la kutegwa ardhini, linasubiri mtu aliguse tu lilipuke. Na likilipuka madhara yake ni makubwa.

Ukatili anaoufanya PK na ambavyo anakandamiza free speech vitakuja kulipuka vibaya sana. Hawa Wahutu walio 85% na hawana sauti kwenye nchi yao wanahifadhi duku siku haya sana.
 
Rwanda ni bomu la kutegwa ardhini, linasubiri mtu aliguse tu lilipuke. Na likilipuka madhara yake ni makubwa.

Ukatili anaoufanya PK na ambavyo anakandamiza free speech vitakuja kulipuka vibaya sana. Hawa Wahutu walio 85% na hawana sauti kwenye nchi yao wanahifadhi duku siku haya sana.
 
Huna IQ ya Kuijadili na wala Kuielewa Rwanda vyema ila sana sana ninachoweza kukuambia tu ni kwamba muda si mrefu Rwanda hii hii ya Rais ' Mpambanaji ' na ' Makini ' Paul Kagame unayoidharau inakwenda Kuizidi nchi yako Kimaendeleo katika Nyanja nyingi japo tayari kwa upande wa Akili ( Upeo ) kuanzia Wewe hadi Wananchi wako wote wa nchi uitokayo ( ambayo kwa bahati mbaya siijui ) hamjaweza hata kuwafikia kwa 25%.
Kule kwetu kwa mtogole hili ndo linaitwa chambo!
 
Hivi Popoma unawezaje kusema Wanyarwanda wana akili kuliko sisi Watz? Kamal wangekuwa na akili, wangeuana kwa tofauti za kukabila? Wangekuwa wanasalitiana na kuzunguka dunia nzima kuchafuana?
 
Maendeleo Ya Rwanda Ni Siasa Tu Za Kubana Vyombo Vyao Vya Habari

Habari Zinazotoka Nchini Umo Nyingi Hazina Uhalisia Na Takwimu Ni Za Kupika, Nimekutana Na Wanyarwanda Wengi Ila Wanasema Ukweli Maisha Yao Ya Kawaida Ni Magumu .

Kama Magufuli Anavyobana Uhuru Wa Kujieleza Ili Aonekane Analeta Maendeleo Lakn Uhalisia Ni Zero.
 
Hivi Popoma unawezaje kusema Wanyarwanda wana akili kuliko sisi Watz? Kamal wangekuwa na akili, wangeuana kwa tofauti za kukabila? Wangekuwa wanasalitiana na kuzunguka dunia nzima kuchafuana?
Mpaka mnaimport wabunge toka Rwanda(mb Kiteto)
 
Ngoma inayompa PK umaarufu haina tofauti saana kimission na ile ile iliyompa umaarufu wa kupindukia hayati bwana Madiba.Sio kingine, ni kulinda maslahi ya mabwanyenye ; Rejea ripoti mbali mbali za UN atleast Kwa wasio na access ya mambo ya ndani.
 
Mpaka mnaimport wabunge toka Rwanda(mb Kiteto)
Si bora Sisi tumechukua mbunge. Wao tumewaazima mtaalamu kabisa Prof. Rwakabamba akawa na waziri kabisa..akaingia kwenye kabineti. Kama ni trick basi tumewapiga parefu. Kuingia kabineti sio sawa na kuingia bungeni.
 
Jamie yoyote inayouana, wenyewe Kwa wenyewe basi haina akili.
 
Hadi sasa mada kuu haijatolewa majibu alaf wengine tunasubiria wanaojua tujifunze,mtoa mada labda rudia swali asee,
 
Si bora Sisi tumechukua mbunge. Wao tumewaazima mtaalamu kabisa Prof. Rwakabamba akawa na waziri kabisa..akaingia kwenye kabineti. Kama ni trick basi tumewapiga parefu. Kuingia kabineti sio sawa na kuingia bungeni.
Nawao wame wapa Presde nani zaidi
 
Huna IQ ya Kuijadili na wala Kuielewa Rwanda vyema ila sana sana ninachoweza kukuambia tu ni kwamba muda si mrefu Rwanda hii hii ya Rais ' Mpambanaji ' na ' Makini ' Paul Kagame unayoidharau inakwenda Kuizidi nchi yako Kimaendeleo katika Nyanja nyingi japo tayari kwa upande wa Akili ( Upeo ) kuanzia Wewe hadi Wananchi wako wote wa nchi uitokayo ( ambayo kwa bahati mbaya siijui ) hamjaweza hata kuwafikia kwa 25%.
Ndio vizuri kukaa na kujidanganya
Hivyo
Rwanda Tofauti na Kigali wapi kuna maendeleo
Mjibu hoja vizuri
Leo Hii Mpanda inapelekewa Umeme wa 100MW
Wakati nchi nzima ya Rwanda ina 100MW
Anzia haop acha mijisifa isio na Uhalisia
 
Back
Top Bottom