P.Kagame na Rwanda mimi sidanganyiki, sijui wengine!

P.Kagame na Rwanda mimi sidanganyiki, sijui wengine!

Inama nkusweke hhhaa!! Fuatilia Uzi...hizo 100mW ilikuwa fikra tu zamuanzisha uzi, sio kweli
 
Nchi yako inapenda kweli iwe na Raia wenye Akili kubwa kama za Wanyarwanda sema tu ndiyo hivyo tena haiwezekani.
Nimekufuatilia sana nikajua utakuwa na kitu cha maana cha kusema nilichoona ni mipasho tu... Mwisho nikagundua kumbe we ni boya tu
 
Nimekufuatilia sana nikajua utakuwa na kitu cha maana cha kusema nilichoona ni mipasho tu... Mwisho nikagundua kumbe we ni boya tu

Tangia lini ' Mpuuzi / Popoma ' akamuelewa ' Mwerevu ' aliyetukuka?
 
Huna IQ ya Kuijadili na wala Kuielewa Rwanda vyema ila sana sana ninachoweza kukuambia tu ni kwamba muda si mrefu Rwanda hii hii ya Rais ' Mpambanaji ' na ' Makini ' Paul Kagame unayoidharau inakwenda Kuizidi nchi yako Kimaendeleo katika Nyanja nyingi japo tayari kwa upande wa Akili ( Upeo ) kuanzia Wewe hadi Wananchi wako wote wa nchi uitokayo ( ambayo kwa bahati mbaya siijui ) hamjaweza hata kuwafikia kwa 25%.
Mwambie Rwanda ndo ulikozaliwa na ndio kwenu.
 
Hiyo Megawatts 100 ni Umeme unaitumiwa na nchi ya Rwanda, hivyo hata huo wa ktk Kongo na kwingineko unafanya hiyo 100 MW!
Data za wapi hizo,tupe source.
Mpaka mwaka 2018,Rwanda walikuwa wanazalisha 218 MW.Link hiyo hapo chini.
 
Naona amekimbia ha ha
Nae inaelekea hajui akina nani wana IQ kubwa huko
 
Back
Top Bottom