MOTOCHINI
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 29,035
- 35,171
Nje ya Kigali Rwanda ni HovyoKila kitu kuhusu Rwanda kiko overrated kasoro Ubaya wa Kagame
Angalia Mji wapili Baada ya Kigali
Nje ya Kigali Rwanda ni HovyoKila kitu kuhusu Rwanda kiko overrated kasoro Ubaya wa Kagame
Madikteta wote duniani huwa wanapenda kuonekana wanaleta Sana maendeleo. Hubana vyombo vya habari na kupika takwimu. Hii ndio tabia kuu ya madikteta wote.Kila kukicha tunaletewa habari moto moto jinsi gani Unyarwanda inavyopiga hatua kwenda mbele kimaendeleo, mara sijui wanaassemble magari, sasa nasikia wanatengeneza smart phones, yote heri na hongera zao.
Mimi langu ni moja, Rwanda ina watu zaidi ya milioni 11 na mpaka leo hii ina uwezo wa kuzalisha umeme wa Megawatts 100 (100 MW) tu, hivyo viwanda wanapawa na nini, generator, au?
Mimi sidanganyiki, labda hao wengine, 100 MW hakuna kitu utafanya, ...
Kiongozi hebu wewe msaidie mshkaji kuleta source ya kuonyesha umeme wao ni MW 100.Installed capacity siyo actual capacity ya mfumo wa nishati. Kuna masuala ya efficiency hapo!! Sidhani kama mifumo yao ya umeme kwa ujumla wake inaweza kuwa na capacity factor zaidi ya 40%. Sasa ukichukua hiyo 218MW ukatafuta capacity factor yake unakuta haizidi 40% kiasi kwamba kusema Rwanda wana umeme wa uhakika wa 100MW nikuwasingizia. Hii ni kwa mujibu wa takwimu mlizoleta.
Hivyo, mleta mada anaweza kuwa na hoja.
C.c: Kabare12 na wa kupuliza
Unaonaje ukipewa namba ya kagame ili umpigie mlijadili hilo
Ulishatembelea wapi huko kwingine ambako ni hopeless? BTW Hata Kigali kwenyewe umefika?Rwanda is based on kigali
Huko kwingine ni hopeless
Ni Makosa makubwa kulinganisha maendeleo ya Rwanda na Tanzania. Hizi nchi japo ni jirani, hazifanani. Kwa hiyo mnapoteza muda wenu tu. Pili nchi hizi kama nchi zote duniani zina geniuses na idiots. Angalieni sana msiangukie kundi la pili.Wewe mwenye 1500 MW umeweza hata Kuutumia tu huo Umeme ili uwe na Viwanda vyako vya Kutengenezea Chupi za Wananchi wako kiasi kwamba hadi hivi leo uachane na Kutegemea Chupi za Mitumba zinatoka katika Viwanda vya wenye Akili zao huko Ulaya? Wakati mkiteseka na Rwanda yenyewe inazidi Kuwakimbia Kimaendeleo na Kimkakati huku nyie mkibaki kupiga tu ' mark time ' Kimaendeleo hadi leo wakati hata kupata Uhuru mliwatangulia Warwanda.
Ameshaambiwa IQ yake ndogo, asije akatia aibukazi ipo kweli kweli mpe hii namba amuulize +250785981100
Natetea na kupinga nini?hueleweki
RWANDA POWER AFRICA FACT SHEET
ENERGY SECTOR OVERVIEW
The Government of Rwanda envisions transitioning from a developing country to a middle-income country. To achieve this goal, the government is targeting 100% electricity access by 2024. Rwanda is endowed with natural energy resources including hydro, solar, and methane gas. It currently only has 218 MW of installed generation capacity. According to the International Energy Agency (IEA), Rwanda’s national electrification rate is estimated at 30% (12% in rural areas, 72% in urban areas).
Source: https://www.usaid.gov/powerafrica/rwanda
Haya weka source yako kuonyesha wana generate 100MW.
Kila kitu kuhusu Rwanda kiko overrated kasoro Ubaya wa Kagame
Wivu tu!Kila kukicha tunaletewa habari moto moto jinsi gani Unyarwanda inavyopiga hatua kwenda mbele kimaendeleo, mara sijui wanaassemble magari, sasa nasikia wanatengeneza smart phones, yote heri na hongera zao.
Mimi langu ni moja, Rwanda ina watu zaidi ya milioni 11 na mpaka leo hii ina uwezo wa kuzalisha umeme wa Megawatts 100 (100 MW) tu, hivyo viwanda wanapawa na nini, generator, au?
Mimi sidanganyiki, labda hao wengine, 100 MW hakuna kitu utafanya, ...
So unachobisha hapo ni nini?Hata 218mw hamna kitu. Nchi yote mnaweza kutumia jenereta 2 tu. Ingekuwa angalau 500 _600 mw tungeanza kuwasoma.
Upo sahihiAfu hizo simu nina wasiwasi nazo serikari yetu ya Tanzania izikague ipasavyo kama watazileta Tanzania kwa matumizi ya watu isije ikawa mbinu ya Rwanda kuchukua siri za nnchi yetu (kufanya inteligensia) ikawa rahisi kutudukua na ikawa shida Hapo Baadae Kwa kudukua taarifa muhimu(siri za nnchi)
So unachobisha hapo ni nini?
Nadhani hata hayo mashamba umependelea,nadhani unatosha kuwashia vyoo vya pale ubungo.218 bado ndogo sana labda kwa bongo ukwashia mashamba ya mpunga ya mbarali
elezea 100mw zinaendeshaje viwanda vyote hivyo,acha kupiga kachabariWewe mwenye 1500 MW umeweza hata Kuutumia tu huo Umeme ili uwe na Viwanda vyako vya Kutengenezea Chupi za Wananchi wako kiasi kwamba hadi hivi leo uachane na Kutegemea Chupi za Mitumba zinatoka katika Viwanda vya wenye Akili zao huko Ulaya? Wakati mkiteseka na Rwanda yenyewe inazidi Kuwakimbia Kimaendeleo na Kimkakati huku nyie mkibaki kupiga tu ' mark time ' Kimaendeleo hadi leo wakati hata kupata Uhuru mliwatangulia Warwanda.
pale dodoma palikuaga na generator,miaka ya 90 likauzwa sijui kenya,lile generator linawasha umeme rwanda yote na burundiHata 218mw hamna kitu. Nchi yote mnaweza kutumia jenereta 2 tu. Ingekuwa angalau 500 _600 mw tungeanza kuwasoma.
Ukabila ni ugonjwa mbaya sana! ukiugua ugonjwa huo unakuwa mjinga wakutupwa! haya bwana watu wamekusikia mko vizuri sana nyie, nyie siyo wafrica ni waisarael tena mmebarikiwa sana sana. Nyie ni watu wa pekee sana.Kawaulize hao Wahutu wako hapa Juzi kati Waliwauwa ' Kikatili ' kabisa Wanyarwanda Mji ulio Mpakani ila ' Revenge ' yetu Kwao haikuwa ya Kitoto kwani tulichowafanya katika ' Oparesheni ' ndogo tu na ya muda mchache imeacha Majonzi makubwa huko Kwao Burundi na wanashindwa hata Kulalamika UN na Kwingineko kwakuwa kila Mtu ameshajua kuwa Wao hasa kupitia Serikali yao ndiyo wamekuwa ' Wachokozi ' Kwetu. Na siyo tu Burundi bali hata Wanajeshi wa nchi yako unayotoka Mkuu ( ambayo kwa bahati mbaya siijui ) nao wakitaka Kupata Kipigo cha ' Kishalubela ' kutoka kwa Wanyarwanda chini ya Jeshi letu Imara na ' lililobarikiwa ' Kivita, Kimbinu na Kimkakati la RDF tunawakaribisha kisha tutakachowafanya mtajuta hata kwanini ' mlituchokoza ' Wanyarwanda ( Watutsi ) Sisi.