P-Funk naye aishukia Clouds FM

P-Funk naye aishukia Clouds FM

R.I.P NGWAIR, Ingawa sijaelewa kitu hapa. Kwa maneno haya ya p.funk ndio kusema sababu za kifo cha Ngwair ni "mapouda"
 
just wondering why he never said so, when the man was still alive.......................................


Soma maelezoya kimombo..amekujibu tayari kuwa mwazohakufanya hivyo ili kijana Ngwea aishi mjini..means asimualibie promo.

Anyway that is not so important, we have lost our beloved son,brother, uncle and musician..R.I.P Mangweha Jr.
 
PFunk angefunguka zaidi am sure he knws inside out ya issue hii au hizi.
RIP Clouds Media group

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
waacheni walalamike wenyewe wasanii, kwanini mashabiki ndo mwayaongea hayo?? ina maana ninyi ndo mnajua sana ama???? matusi makubwa mnatukana kwny social networks mbalimbali, ina maana jide ndo aliyewaambia mtukane ama nini??? amkeni vjana, ninyi mnatukana wenzenu wana enjoy maisha, wakati huo muda unaotumia kutukana ungekuwa ushafanya mambo mengi tu

na wewe huu mda unaotumia kuposu huu ujinga wako ungekuwa umefanya la
maana mbona kucha kutwa haukauki hum ndani..........,jaribu kutumia ubongo
kufikiri wewe

sugu,jide sio wasanii nao wamekua mashabiki siku hizi......,
 
Kwasababu clouds fm wanajidai kumjali ngwea baada ya kifo while enzi za uhai wake walikua hawapigi nyimbo zake.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Mbona nyimbo zake zimepigwa sana na hata wimbo wake wa mwisho alitambulisha xxl
 
kitu muhimu hapa ni kujua NANI ANA HATI/HAKI MILIKI YA NYIMBO ZA NGWEAR.......kuproduce nyimbo ya mtu sio kuwa na haki miliki hasa kwa watu wa bongo flava....wengi wanaproduce wanalipwa hela zao then msanii anaenda kuuza kazi yake kwa wahindi/distributor peke yake.....producer kashalipwa chake imeisha....je P Funk ana haki miliki ya nyimbo za ngwear??? kama hana hawezi kuwaambia clouds fm wasipige hizo nyimbo....mwenye mamlaka hayo ni mmiliki wa haki za nyimbo za ngwear.....
 
'kwani mbona kwa tetesi hata mercedes benz,top in down na wengine wengi tu mbona wanakula unga na wana rekodi ambazo zimetengenezwa na majani ya chai mbona zinachezwa kwenye mawingu kwa asiseme zote zisipigwe akasisitiza za MIMI tu ndo zisipigwe au anasubiri na wao mpaka wafe ndo aseme hataki rekodi zao zipigwe...............in other way he has a right to do so by authority coz he iz the owner kwa mana dogo alikuwa label pale hivyo kazi zote ziko chini yake sio,ana mamlaka ila aseme zote za wasanii wake wala unga atakuwa ameweka usawa kiasi flani sio.............habari yako FANANI WA H.B.C naskia na wewe upo JF bwana,au'
 
Jinga hilo lirudi shule kwanza likajifunze kuandika vizuri. Nyambaaaf kabisa.
 
Pfunk aache unafiki apige marufuku nyimbo zote za Bongo records zisipigwe Clouds
 
Majani anavuta sana majani kwake kuna fuka mimoshi daily na huyo ngwair na wenzie wamejifunzia studio yake mimoshi
 
Hebu mtu anilazimishe kuamini kuwa Majani kweli ametamka hivi kwani kama ni ukweli mbona hii ni kuleta utani msibani. Hiyo picha ya majani na maelezo......labda kama makabila yao yana utani wa asili..

Nionavyo mimi MAJANI ndio kioo cha jamii ya wala unga, jina lake lenyewe (linamhukumu) anaipromote kwa sababu yeye anaona inampa faida, Sasa ni ajabu baba mzinzi na mlevi aishi kuhubiri kwa familia yake kuacha ulevi na uzinzi. Ukiwa mzinzi na mwanao akawa mzinzi alafu unatoka nje na kutafuta mchawi....hiki ni kituko.
 
Apige marufuku nyimbo zote za Bongo recorda zisipigwe clouds kama ana ubavu huo, sio coz Ngwear kafariki ndo anatafuta pa kutokea
 
Majani anavuta sana majani kwake kuna fuka mimoshi daily na huyo ngwair na wenzie wamejifunzia studio yake mimoshi
 
Hebu mtu anilazimishe kuamini kuwa Majani kweli ametamka hivi kwani kama ni ukweli mbona hii ni kuleta utani msibani. Hiyo picha ya majani na maelezo......labda kama makabila yao yana utani wa asili..

Nionavyo mimi MAJANI ndio kioo cha jamii ya wala unga, jina lake lenyewe (linamhukumu) anaipromote kwa sababu yeye anaona inampa faida, Sasa ni ajabu baba mzinzi na mlevi aishi kuhubiri kwa familia yake kuacha ulevi na uzinzi. Ukiwa mzinzi na mwanao akawa mzinzi alafu unatoka nje na kutafuta mchawi....hiki ni kituko.

Ni kichekesho ati, labda keshavuta jamani
 
So JK kasaidia mwenye kiuno chembamba macho kungu na tattoo mapajani (RAY C)na kuacha kijana wa kitaa!
 
Kwahiyo na yeye anavuta Bangi kutokana na stress za Clouds Fm au?! Clouds inawezekana ni wanyonyaji kweli wa kazi za wasanii lakini hii sio sababu ya kuhusisha kifo cha Ngwair na stress za kuvuta bangi na other drugs
 
Kwasababu clouds fm wanajidai kumjali ngwea baada ya kifo while enzi za uhai wake walikua hawapigi nyimbo zake.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

sasa kusema hivyo wakati jamaa ashakuwa marehemu kutamsaidia nini marehemu, angesema akiwa hai kipindi anaitwa clouds kwenye interview anaenda.
anadai kuwa clouds ndio wamemfanya marehemu afikie kutumia madawa na hapo hapo akadai kuwa hakusema kwakuwa hakutaka kumzibia mirija inayomfanya aishi mjini, sasa kumbe aliona kuwa rafiki yake anapotea na tatizo la kupotea kwake alilijua lakini hakusema.
Ukweli clouds inawanyonya wasanii, lakini pfunk naye mnafiki mbona wakati wametoa single yao ile put your hands up alikubari kwenda kufanyiwa interview clouds akiwa na team yake nzima. wakati anaenda ina maana alikuwa amesahau kama wana mnyonya ngwair, kama wanamnyonya nature, kama wanawanyonya wasanii.
 
[h=3]"SITAKI KUSIKIA NYIMBO ZA NGWEA ZIKIPIGWA CLOUDS FM.\..WAO NDO WALIOMFANYA AANZE KUVUTA BANGI ILI KUONDOA MAWAZO"...P FUNK[/h]


Muda mfupi uliopita djchoka amepokea simu kutoka kwa Producer mkongwe hapa bongo anayejulikana kwa jina la P ---- Majani na kumuuomba aipokee msg hii hapa chini na kuwaomba watanzania walijue hili na baadae atatoa barua rasmi.

Na Yeye nani Alimfanya Aanze kuvuta Bange?
 
Labda Majani aiambie jamii kuwa alijitahidi kiasi gani kuhakikisha kuwa marehemu anaacha unga ?

Alifanya nini kumuepusha Ngwair na frastruation hizo za clouds na kumpeleka sehemu sahihi ?

Langa aliacha unga, Je majani aliwahi kuomba ushauri kwa langa ni jinsi gani alifanikiwa kutoka huko ili amsaidie marehemu ?

Kama producer hebu tuambie kina Diamond wanakabiliana vipi na hizo "frastruations" za clouds, ili muwasaidie na wengine ?

Bado hujachelewa, Wapo wasanii kibao wanaendelea kula unga, Jitolee uwasaidie..waonyeshe njia sahihi watoke kwenye "frastruation" za clouds. usingoje tena waondoke ndio utoe kauli.

Kwa kumalizia......marehemu baba yangu alikuwa na tabia moja...anakusikiliza unavyoongea alafu ukimaliza anakuuliza...HIVI WAKATI UNAONGEA HUWA UNAJISIKIA ? (do you hear yourself )
 
Back
Top Bottom